Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Ukiangalia pamoja na teknolojia kuwa kubwa.
Hospitali kuwa nyingi
Madawa kuwa mengi
Ila watu wanakufa wakiwa na umri mdogo Sana.
Life expectancy Kama imeshuka.
Kwenye familia yangu hakuna MTU hata mmoja mwenye umri wa miaka 80+ yrs.
Ila Bibi yangu alifariki mwaka 2003 alikufa na 84.
Sasa hivi MTU kutoboa 50 imekuwa kasheshe na akitoboa 50 tayari Ana kisukari, pressure na magonjwa Kama yote.
Hospitali kuwa nyingi
Madawa kuwa mengi
Ila watu wanakufa wakiwa na umri mdogo Sana.
Life expectancy Kama imeshuka.
Kwenye familia yangu hakuna MTU hata mmoja mwenye umri wa miaka 80+ yrs.
Ila Bibi yangu alifariki mwaka 2003 alikufa na 84.
Sasa hivi MTU kutoboa 50 imekuwa kasheshe na akitoboa 50 tayari Ana kisukari, pressure na magonjwa Kama yote.