Kwanini Simba huingiza kikosi kamili kwenye kombe la mapinduzi?

Kwanini Simba huingiza kikosi kamili kwenye kombe la mapinduzi?

Mimi naona Simba wako sawa Kwa wakati walionao. Kocha kaja mpya kapata bahati ya kupata mashindano yasiyo rasmi kutekeleza mbinu zake sasa afanyeje. Lakini pia ligi iko mbali huenda ikarudi mwezi wa pili naona hana cha kupoteza. Hata Yanga mwisho wa siku watalazimika tu kutafuta mechi za kirafiki ili wajiweke fiti.
Ahaa
 
Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita

Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.

2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.

3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu

NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Sababu ni hii hapa!
 

Attachments

  • IMG-20240105-WA0000.jpg
    IMG-20240105-WA0000.jpg
    51.4 KB · Views: 1
Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita

Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.

2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.

3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu

NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Wanatafuta wa kuwaacha mkuuu
Uswazee
 
Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita

Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.

2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.

3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu

NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Kuna kanuni inawazuia?
 
Back
Top Bottom