Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
- Thread starter
- #21
Hao mwaka huu watajionyesha umbumbumbu wao asilia.Mmh maajabu hayatakuja kuisha, hizi akili huwa ni zenu kabisa au mnaazimwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mwaka huu watajionyesha umbumbumbu wao asilia.Mmh maajabu hayatakuja kuisha, hizi akili huwa ni zenu kabisa au mnaazimwa?
Sawa rafiki..kila mtu na kanuni yake..basi wawashushe tuu Simba ikae hapo namba 3...ili wana Uto wawe na amani..Rafiki yangu kipenzi.
Mleta hoja ana hoja sana.
Ukweli ni kwamba alipaswa awe namba tatu sio kwa ubora bali kimtiririko wa herufi na asingepungukiwa na kitu
Ndio kanuni hiyo,vipi Ihefu na Kagera?Kigezo hapo kinaweza kuwa issue ya nidhamu mleta uzi hebu tuletee statistics kwenye angle hii huenda ndiyo iliyoamua yupi akae juu
Vipi Ihefu na Kagera?Ingekuwa ligi imefika tamati ungekuwa na hoja lakini ndiyo kwanzaaaaa asubuhi. Kama vipi andikeni barua FIFA, huu utoto sasa.
Mpira unaendeshwa kwa kanuni na sheria zake wala si kuwafurahisha Simba kama wafanyavyo TFF.Sawa rafiki..kila mtu na kanuni yake..basi wawashushe tuu Simba ikae hapo namba 3...ili wana Uto wawe na amani..
Hiyo sio sababu mama kipenzi.Sawa rafiki..kila mtu na kanuni yake..basi wawashushe tuu Simba ikae hapo namba 3...ili wana Uto wawe na amani..
Badala ya kujibu kwa hoja unakuja kukata mauno,sema basi kilichoangaliwa,kama unajua halafu unashambulia bila fact we ni mwehu tu kama wehu wengineMmh maajabu hayatakuja kuisha, hizi akili huwa ni zenu kabisa au mnaazimwa?
Dah! hii kanuni mpyaSimba magoli mawili wamefungwa kwa mechi ya ugenini,tena mechi moja, wakati Azam kafungwa magoli mawili akiwa nyumbani kwa mechi mbili.
Tofauti magoli mawili kwa mechi moja na magoli mawili kwa mechi mbili ,magoli ya kufungwa ukiwa nyumbani na magoli ya kufungwa ukiwa ugenini
Sasa kwani hata wakikaa hapo kuna tofauti gani? Kama point ni zile zile...nadhani mmeshaelezewa huko why Simba wapo hapo...nadhani ina mantiki hyo hoja ya huyo mtoa hoja baba kipenzi...Hiyo sio sababu mama kipenzi.
Hoja kuu ni tff na taasisi nyingi nchini wanazibeba Yanga na simba kitu ambacho kinaua mpira
Hakuna hio kanuni ya magoli ya ugenini labda head to head8:6.. Simba imefunga goli nyingi ugenini zaidi ya azam
Kasome kanuni za TFF zipo kwenye mitandao...simba amekuwa wa pili kwa sababu kafunga goli nyingi ugenini kuliko azam,,,Hakuna hio kanuni ya magoli ya ugenini labda head to head
Kalpana kama anachokisema ni kweli, unatakiwa uukubali ukweli hata kama unakuumaIpeleke ya 3 ili uwe na amani....naona toka jana hamjalala...waambie wawadrop Simba hapo namba 3..
mmesoma hakuna hio kitu labda kuna mpya zimetoka leoKasome kanuni za TFF zipo kwenye mitandao...simba amekuwa wa pili kwa sababu kafunga goli nyingi ugenini kuliko azam,,,
Endelea kukata mauno siku zote wanaangalia herufi za mwanzo iweje Simba?Badala ya kujibu kwa hoja unakuja kukata mauno,sema basi kilichoangaliwa,kama unajua halafu unashambulia bila fact we ni mwehu tu kama wehu wengine