Kwanini Simba ikae nafasi ya pili badala ya Azam?

Kwanini Simba ikae nafasi ya pili badala ya Azam?

1.Simba kashinda goli nyingi ugenini

2. Simba ajafungwa nyumbani ata goli moja.

3. Azam kafungwa nyumbani kwake.

4.simba alianza kufikisha hizo point kabla hata ya azam.

5. Azam hajalalamika hili ila cha ajabu mwiko nyuma ndo wanalalamika.
Huna akil mbumbumbu mkubwa wew
 
Back
Top Bottom