Kwanini Simba ikae nafasi ya pili badala ya Azam?

1.Simba kashinda goli nyingi ugenini

2. Simba ajafungwa nyumbani ata goli moja.

3. Azam kafungwa nyumbani kwake.

4.simba alianza kufikisha hizo point kabla hata ya azam.

5. Azam hajalalamika hili ila cha ajabu mwiko nyuma ndo wanalalamika.
Huna akil mbumbumbu mkubwa wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…