sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nimeona kuna chuki na makasiriko ya hali ya juu sana kwa wanasimba kuona timu mabingwa wa nchi mara nyingi zaidi yao wanashiriki ligi ya super cup.... haya makasiriko ni vp tena 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka nikukamue manyonyo 😂😂Kalale sasa
Toa utopolo wako hapaNimeona kuna chuki na makasiriko ya hali ya juu sana kwa wanasimba kuona timu mabingwa wa nchi mara nyingi zaidi yao wanashiriki ligi ya super cup.... haya makasiriko ni vp tena [emoji23][emoji23]
Halafu yangu yapo chiniMpaka nikukamue manyonyo 😂😂
Manyonyoooo 😂😂 na tunawanyonyoa upya jumamosi,,,,bumbavuuu!!Toa utopolo wako hapa
Yani utopolo wanahangaika kweli na hbr zao za uongo jmn. Hapo roho zinawauma na kuwakereketaUtopolo mtaacha lini kuanzisha nyuzi zinazozidi kuthibitisha kauli ya Haji Manara kuwa nyie ni hamnazo?
Wamesikia wapi huu udaku wako na wamekasirikia wapi? Aliyewaroga nyie ameshakufaNimeona kuna chuki na makasiriko ya hali ya juu sana kwa wanasimba kuona timu mabingwa wa nchi mara nyingi zaidi yao wanashiriki ligi ya super cup.... haya makasiriko ni vp tena 😂😂
Ya ndondo cupSuper cup ipi mnayoenda?
Ndio utani wa jadi ulivyoNimeona kuna chuki na makasiriko ya hali ya juu sana kwa wanasimba kuona timu mabingwa wa nchi mara nyingi zaidi yao wanashiriki ligi ya super cup.... haya makasiriko ni vp tena [emoji23][emoji23]
Kuna utani ni CHUKI, Yanga wana utani, Simba wao wanachojua ni CHUKI. Most of Simba Fans are stupid.Sasa hao si watani mkuu, hapo watashindwa kuwatania, wala hakuna la ziada mkuu