Kwanini Simba wamechukia sana baada ya kusikia Yanga atashiriki kwenye super cup

Kwanini Simba wamechukia sana baada ya kusikia Yanga atashiriki kwenye super cup

Kuna utani ni CHUKI, Yanga wana utani, Simba wao wanachojua ni CHUKI. Most of Simba Fans are stupid.

Kitu cha kawaida wao huingiza chuki, sasa Yanga wamesema hawana tena huo utani wa jadi wawapo uwanjani ni Kichapo mwanzo mwisho, maana hakuna haja ya utani ikiwa watu wanachukia vitu vidogo.

Jmosi KICHAPO kingine mpaka akili ziwakae sawa mbwa hawa.
Sasa kwann ulie?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Relaaaaaxxxxxx!!!
 
Kwani hawa Simba weak vipi[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji782][emoji782][emoji782][emoji780][emoji780]
FB_IMG_1659386937628.jpg
 
Nimeona kuna chuki na makasiriko ya hali ya juu sana kwa wanasimba kuona timu mabingwa wa nchi mara nyingi zaidi yao wanashiriki ligi ya super cup.... haya makasiriko ni vp tena 😂😂
Thibitisha kama uto mtashiriki, pia thibitisha hayo makasiriko ya Simba. Mnajitekenya wenyewe na kujichekesha wenyewe kama machangudoa wanapokuwa kwenye mawindo yao.
 
Back
Top Bottom