Kwanini siponi Amoeba? Je, kuna uhusiano gani kati ya Amoeba na Minyoo ya Ascaris?

tafuta post za mtu anajiita baosita,alitoa tiba yake humu na mimi nimepona..vitunguu swaumu ndo tiba
 
ndio..dawa ya yule jamaa kiboko

asante kwa ushuhuda, mkuu, wacha na sisi tuitumie. umetumia mara moja tu au unarudia rudia mara kadhaa. mi nilitumia mara tatu sijapona na inavochefua nikaona ntasababisha magonjwa mengine bure
 
Dumelambegu

Ulipona hii Amoeba, manake hujatupa mrejesho ni tiba gani ilikusaidia.
 
Last edited by a moderator:

mkuu hizo dalili ulizotaja ninazo na nimeenda kupima hospital mpaka kiasi cha kupigwa x-rays naambiwa sina matatizo ya moyo wala kifua. Nikapewa dawa za kusafisha mapafu lakini bado tatizo ni lile lile. pia kwa miaka 3 mfululizo nimekuwa mtu ambaye sina hamu ya kula kabisa. kasoro siharishi
 
Nimepata elimu ya kutosha kwa maelezo ya wataalamu humu na shuhuda za wagonjwa wa amoeba Asanten saana,mbarikiwe wana jf nami nina shida hii mpaka nmeshindwa kusoma.nitaanza kufanyia kazi ushauri wa dawa,tiba mbadala hizo na mengine yote...viva jf
 
Dumelambegu ulitumia Dawa gani kutibu vdonda vya tumbo?
Nisaidie aisee
 
Naam nimewasikiliza ote wadau ushauri vado nimzuri tu samahani kwa kiswahili changu mana mimi simswahili, tatizo ilo bado linanisumbua ata mm kwaio dawa upatw mganga wakienyeji akupe majimajani flani upige mwino mana unapo chelewa ata mapafu yataharibika
 
Saidieni wagonjwa ndg zangu madaktari ikiwezekana wasikiana na mgonjwa huyu umuite mzungunze Ana kwa ana.


Wengi tunaumwa mno
 
Nina tatizo km lako sema nini na mgongo sasa unauma,nahangaika sana,napata choo kinamakamasi,Mara ingine sipati ama napata kidogo,Mara ingine najihisi km nnavidonda njia ya haja,
Bado napambana,nimeamua kutafuta mitishamba,
 
Kwa siku ngapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…