Ni human nature, sisi binadamu ni mammalian tupo group moja na mbwa,nimechagua mbwa mfano uwe rahisi, mbwa wapo wa aina tofauti kuna Wakali,wenye akili, waoga na wengine akili hamna,
unachoweza fanya ni kuwachanganya wale waoga na akilindogo na wale mbwa wakali na akili hivyo wata adapt zile tabia, lakini hiyo haiwaondolei nature yao ya uoga hiyo ni dog nature,nature ipo tu
na binadamu ni hivyohivyo hatufanani kuanzia physical appearance mpaka internally, angalia mzungu,mhindi,muafrika,mchina nakadhalka hatufanani why? na hai ishii hapo Kwenye appearance tu mpaka internally thinking capacity zina differ ,human nature hiyo
na ushaidi upo wazi tu angalia kila mtu ana territory yake, sasa angalia kila mmoja anachokifanya jibu unalo, hiyo ndio thinking capacity ya hao watu na ndio human nature ni ukweli mchungu ,
mwanasayansi robert Watson anasema namnukuu, sisi wazungu tunafanya makosa makubwa tunapokaa na mwafrika na ku discuss matatizo ya dunia yetu tukiamini akili zetu na zao ziko sawa. mimi nimemuelewa sijui wenzangu