Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

Kwanza kabisa si sahihi kusema waafrika ni masikini. There are divides and these divides are extreme in contrast. They are like our "class" systems in the fact that there are rich and poor. The only difference is that their rich are VERY rich and their poor are VERY VERY poor.

The extremely wealthy part of Africa has a good diamond and oil trade going on. The rich part of Africa (and the governing bodies that rule) keep the money they have from this trade, all to their selves. They do not care for the poor part of their own country and choose to seclude it and abuse it to help their trade prosper. Yes, the "west" could easily stop doing trade with them, but why should they? It's not the "wests" fault that Africa's leaders are a bunch of selfish horrible people who don't care about their own people.

The poor majority of Africans suffers because their government leaders are horrible people who care for nothing but their own wealth. Just as most governments are the same I might add, except, African governments are very extreme and harsh in their judgement.

hapana mkuu...we are all poor...hao matajiri unaowasema wamefanya nn cha maana katika bara hili??sisi ni masikini wa kila kitu kuanzia kifedha,kiakili,kasoro rasilimali
 
Umeandika hujui genetics wala baiolojia, halafu unataka kujadili akili ya binadamu kwa kuangalia rangi ya ngozi tu, siyo?

Sikutegemea ungejibu kistarabu hivyo umerudi kwenye Mstari! okeey! sasa bwana mkubwa ni hivii,humu watu wanajadiliana, hakuna mtu anaejua kila kitu hivyo wewe unaejua genetics unawaelezea wadau hapa jamani hii issue ipo hivi na hivi,hakuna ligi hapa kwamba anatafutwa bingwa nop ni majadiliano umeona! haya sasa bwana mkubwa chondechonde tuelezee hayo magenetics inakuwaje, kumbuka ni majadiliano sio ligi ahsante
 
Sikutegemea ungejibu kistarabu hivyo umerudi kwenye Mstari! okeey! sasa bwana mkubwa ni hivii,humu watu wanajadiliana, hakuna mtu anaejua kila kitu hivyo wewe unaejua genetics unawaelezea wadau hapa jamani hii issue ipo hivi na hivi,hakuna ligi hapa kwamba anatafutwa bingwa nop ni majadiliano umeona! haya sasa bwana mkubwa chondechonde tuelezee hayo magenetics inakuwaje, kumbuka ni majadiliano sio ligi ahsante

Ushasema hujui baiolojia wala genetics, sina hata pa kuanzia. Naweza kuanza kwa kukuuliza race ni nini, myu mweupe no mani na mweusi ni nani, lakini nitakuwa kama nakuonea tu, kwa sababu ushasema hujui baioloijia wala genetics.

Halafu kutaka mie uliyeniita kenge nikufundishe wewe kutakufanya wewe uwe nani?

Mjusi au guluguja?
 
Ushasema hujui baiolojia wala genetics, sina hata pa kuanzia. Naweza kuanza kwa kukuuliza race ni nini, myu mweupe no mani na mweusi ni nani, lakini nitakuwa kama nakuonea tu, kwa sababu ushasema hujui baioloijia wala genetics.

Halafu kutaka mie uliyeniita kenge nikufundishe wewe kutakufanya wewe uwe nani?

Mjusi au guluguja?

Hii ndio shida yako, humu hakuna shule, halafu unaamini wewe ndio mwalimu wa jf,na usijipe ujiko kusema nimekwambia unifundishe, nimeshakwambia humu ni majadiliano na hakuna shule humu watu humu wanaandika uongo,umbea, ukweli nakadhalka ni juu ya msomaji mwenyewe kuchuja ukweli na uongo,kwa hiyo kumbe ukiandika unaona unawapa watu shule, wee kweli kenge! watu wanashule zao humu kaka, wewe hujistukii tu lakini ni mshamba ,minajua mtu ana andika magenetics kumbe unaona jf ni shule kwa hiyo lectural tukulipe , eti sijui hata pa kuanzia anzia mkndn kwako,shwain!
 
Hii ndio shida yako, humu hakuna shule, halafu unaamini wewe ndio mwalimu wa jf,na usijipe ujiko kusema nimekwambia unifundishe, nimeshakwambia humu ni majadiliano na hakuna shule humu watu humu wanaandika uongo,umbea, ukweli nakadhalka ni juu ya msomaji mwenyewe kuchuja ukweli na uongo,kwa hiyo kumbe ukiandika unaona unawapa watu shule, wee kweli kenge! watu wanashule zao humu kaka, wewe hujistukii tu lakini ni mshamba ,minajua mtu ana andika magenetics kumbe unaona jf ni shule kwa hiyo lectural tukulipe , eti sijui hata pa kuanzia anzia mkndn kwako,shwain!

Ushasema huna unachojua kuhusu baiolojia wala genetics, unaendekeza umbeya na unazi.

Endelea. Kwa hivyo utanishinda.
 
Hii ndio shida yako, humu hakuna shule, halafu unaamini wewe ndio mwalimu wa jf,na usijipe ujiko kusema nimekwambia unifundishe, nimeshakwambia humu ni majadiliano na hakuna shule humu watu humu wanaandika uongo,umbea, ukweli nakadhalka ni juu ya msomaji mwenyewe kuchuja ukweli na uongo,kwa hiyo kumbe ukiandika unaona unawapa watu shule, wee kweli kenge! watu wanashule zao humu kaka, wewe hujistukii tu lakini ni mshamba ,minajua mtu ana andika magenetics kumbe unaona jf ni shule kwa hiyo lectural tukulipe , eti sijui hata pa kuanzia anzia mkndn kwako,shwain!
ulianza vizuri ila hayo matusi hapo mwisho yamedhihirisha ni jinsi gani ulivyo mvivu wa kumeza dawa zako za kichaa na una bahati mamoderator wamerudisha simu walizoazima kwa wenyenazo
 
umasikini unasabishwa na watu wavivu wa kufikiri kama wewe watu ambao wanauliza maswali ambayo majibu yao yameganda vichwani mwao sasa kama unaambiwa kwamba kuna divides unachobisha ni nn au bangi.........
 
Mbona unajibu kwa lugha isiyo ya kiistarabu ilihali mwenzio kakujibu kiistarabu kabisa. Jaribu kutumia reasonable language and always try to be wise when you argue.
Remember tuna mitazamo tofauti so you should keep that in your mind.
Umeandika kwamba huna uelewa wowote kuhusu genetics na baiolojia ya binadamu.

Then acha kuandika vitu usivyoelewa.

Ukifuata logic tu unaweza kubishana na watu wanaosema dunia ni mviringo kwa sababu kwa mujibu wa logic yako fupi kibaraza chako kinaonekana kiko flat.

Wewe unasema huna uelewa wowote kuhusu genetics na baiolojia ya binadamu halafu unataka ku judge akiki za watu jwa kuangalia rangi ya ngozi?

Wewe unayepima akiki za watu kwa kuangaloa rangibya ngozi bila kukia chochote kuhusu baiolojia au genetics una akili kweli?
 
Mtu akisoma nilicho andika mimi na hiki ulicho andika wewe ni wewe ndio huna akili, jibu hoja mimi hoja yangu ipo hapo ubaoni tena kwa zalau nimekwambia hiyo ni logic tu,nikisubili hayo ma genetics yako nione kumbe huna cha genetic wala nini,hawa watu wote waliopost humu wanajua genetics ?wewe shusha hizo genetics zako tuone, umepewa logic tu ushapoteza mwelekeo, Kama huwezi kujadili hapa fungua thread yako Waite wenzako mliosoma genetics mjadili genetics zenu kenge we!

mkuu achana nae huyo keshaanza kutoa povu.
Mimi nimekuelewa kabisa na ninakubaliana na wakuu wengine. Mimi nimiongoni mwa wanaotatizwa na swali hili, lakini nimegundua kuwa tuna tatizo katika mbongo zetu. Our thinking capacity is very low and infact we're poorly organised.
 
Mkuu wa Anga hili Sio Mungu..mwenye fedha na Mali na fahari zote ni shetani..God is the owner but kashetani Ndo karuler..Mungu anaona vyote na trust me Mungu anatupenda Afrika..naomba uanze kuhesabu maafa mangapi yanatokeaga Uko unakosema kumeendelea ambazo Sisi maskini hatujawahi gusa..tafakari mwenyewe naomba nsianze mahubiri apa bt I hope u got wat am tryng to deliver

mkuu maafa gani tena?
Mbona huku kuna ebola, ukimwi, malaria, kipindupindi, na majanga mengi ambayo kimsingi yanaua watu wengi saana.
Kuna haja ya kulifikiria hili kwa mapana zaidi na si kuhusianisha umaskini wetu na Mungu,
 
Ushasema huna unachojua kuhusu baiolojia wala genetics, unaendekeza umbeya na unazi.

Endelea. Kwa hivyo utanishinda.

Nikwambie Mara ngapi hakuna ligi humu ni majadiliano,yaani wewe ukiandika humu kumbe unashindana, umeona ushamba wako sasa badilika lectural wa jf.
 
Mimi naamini waafrika sisi sio masikini ila wengi wana ugonjwa unaitwa inferiority complex. Wanashindwa kujiamini. Kwa sababu ukiangalia wapo waafrika na wanafanya vizuri. Wana skills. Mfano Kenya wametop China juzi, Dunia inaongozwa na mtu mwenye genetics kutoka Afrika, Dangote, Mengi nk.

Sasa kutokana na inferiority complex tunashindwa ku elewa hii philosophy ya "survival of the fittest" na kuifanyia kazi positively.

Pia kutokana na inferiority complex unakuta wanaanguakia uchawi na mambo mengineyo. Uoga mbaya sana.

uoga na kukata tamaa ni mbaya sana.


yah, hii ni mojawapo ya sababu kubwa sana ktk umaskin wetu. Wazungu walitutawala na wanaendelea kututawala kisaikolojia {Mind colonisation} ili tuendelee kujiona si lolote wala si chochote mbele yao na KUZALISHA HIKI KINACHOITWA INFERIORITY COMPLEX TO WHITES.

Lakin wapo wachache {waafrika} ambao sasa wanajitambua na kufanya kwel ktk maendeleo yao; mf DANGOTE,ISABEL DOS SANTOSI, MENGI n.k.
 
Kwanza kabisa si sahihi kusema waafrika ni masikini. There are divides and these divides are extreme in contrast. They are like our "class" systems in the fact that there are rich and poor. The only difference is that their rich are VERY rich and their poor are VERY VERY poor.

The extremely wealthy part of Africa has a good diamond and oil trade going on. The rich part of Africa (and the governing bodies that rule) keep the money they have from this trade, all to their selves. They do not care for the poor part of their own country and choose to seclude it and abuse it to help their trade prosper. Yes, the "west" could easily stop doing trade with them, but why should they? It's not the "wests" fault that Africa's leaders are a bunch of selfish horrible people who don't care about their own people.

The poor majority of Africans suffers because their government leaders are horrible people who care for nothing but their own wealth. Just as most governments are the same I might add, except, African governments are very extreme and harsh in their judgement.

ungetumia kiswahili labda ungeeleweka vizuri.
 
Kwangu sisi waafrika ni maskini kwasababu ya umaskini wetu...wa fikra? Hatujui tunatoka wapi tunaenda wapi na tunataka nini hii yote ni sababu ya umaskini wa fikra inshort hatujitambui...ukitaka kuaamini angalia mfano serikali yetu ya Tanzania ipo ipo tu viongozi wapo wapo tu...
 
Ni human nature, sisi binadamu ni mammalian tupo group moja na mbwa,nimechagua mbwa mfano uwe rahisi, mbwa wapo wa aina tofauti kuna Wakali,wenye akili, waoga na wengine akili hamna,

unachoweza fanya ni kuwachanganya wale waoga na akilindogo na wale mbwa wakali na akili hivyo wata adapt zile tabia, lakini hiyo haiwaondolei nature yao ya uoga hiyo ni dog nature,nature ipo tu

na binadamu ni hivyohivyo hatufanani kuanzia physical appearance mpaka internally, angalia mzungu,mhindi,muafrika,mchina nakadhalka hatufanani why? na hai ishii hapo Kwenye appearance tu mpaka internally thinking capacity zina differ ,human nature hiyo

na ushaidi upo wazi tu angalia kila mtu ana territory yake, sasa angalia kila mmoja anachokifanya jibu unalo, hiyo ndio thinking capacity ya hao watu na ndio human nature ni ukweli mchungu ,

mwanasayansi robert Watson anasema namnukuu, sisi wazungu tunafanya makosa makubwa tunapokaa na mwafrika na ku discuss matatizo ya dunia yetu tukiamini akili zetu na zao ziko sawa. mimi nimemuelewa sijui wenzangu

#minuz hata mimi naamini kama wewe wenzetu wanaakili kutuzidi umaskini wake mwaafrika ni kwasababu ya umaskini wake wa fikra ukitaka kupima fikra ya mtu angalia anachofanya iangalie Tanzania halafu itupie jicho ITALIA utajua tuu...


Sasa issue ni kwamba kama umaskini wetu wa fikra ndio unafanya tuwe maskini tutafanyaje tuongeze fikra zetu? ?????
 
#minuz hata mimi naamini kama wewe wenzetu wanaakili kutuzidi umaskini wake mwaafrika ni kwasababu ya umaskini wake wa fikra ukitaka kupima fikra ya mtu angalia anachofanya iangalie Tanzania halafu itupie jicho ITALIA utajua tuu...


Sasa issue ni kwamba kama umaskini wetu wa fikra ndio unafanya tuwe maskini tutafanyaje tuongeze fikra zetu? ?????

ndio huo mfano wa mbwa lazima kujichanganya na walio endelea, kwa maana nyingine tunatakiwa ku copy and paste yale yote mazuri ya wenzetu waliyo yafanya wakaendelea,

na usifikili viongozi wetu hawalijui hili wanajua,wana copy vitu vingi tu, akisimama jukwaani kunadi sera unakubali yes sera nzuri, tatizo linarudi palepale nature, mtu akishapata uongozi tu zile sera zote nzuri alizozinadi anatia kapuni,

sasa anafanya kile kichwa chake kinavyomtuma, ambayo in nature vichwa vyetu ni vibovu thinking capacity ni ndogo, hivyo tegemea madudu tu hapo,

nikupe mfano mdogo tu, Kama kweli tunahitaji maendeleo kwa nini tusi copy katiba ya China? just copy and paste,hakuna ghalama zozote hapo,zaidi ya labda amendment ndogo ndogo ,

watu wanapoteza pesa eti bunge la katiba halafu wanatoka na matakataka, umeona vichwa vilivyo vibovu sisi kwa nature yetu hatuna jipya hata hiyo sayansi ya kuruka na ungo tumeshindwa kui expose Kama kweli ipo
 
ndio huo mfano wa mbwa lazima kujichanganya na walio endelea, kwa maana nyingine tunatakiwa ku copy and paste yale yote mazuri ya wenzetu waliyo yafanya wakaendelea,

na usifikili viongozi wetu hawalijui hili wanajua,wana copy vitu vingi tu, akisimama jukwaani kunadi sera unakubali yes sera nzuri, tatizo linarudi palepale nature, mtu akishapata uongozi tu zile sera zote nzuri alizozinadi anatia kapuni,

sasa anafanya kile kichwa chake kinavyomtuma, ambayo in nature vichwa vyetu ni vibovu thinking capacity ni ndogo, hivyo tegemea madudu tu hapo,

nikupe mfano mdogo tu, Kama kweli tunahitaji maendeleo kwa nini tusi copy katiba ya China? just copy and paste,hakuna ghalama zozote hapo,zaidi ya labda amendment ndogo ndogo ,

watu wanapoteza pesa eti bunge la katiba halafu wanatoka na matakataka, umeona vichwa vilivyo vibovu sisi kwa nature yetu hatuna jipya hata hiyo sayansi ya kuruka na ungo tumeshindwa kui expose Kama kweli ipo

Kucopy pia inahitaji akili mkuu..unaweza kucopy ila ukakosa akili ya kupaste nahisi inahitajika jitihada za msingi kuwaandaa watoto still wakiwa wadogo maana sisi wakubwa tumeshaharibika ikiwa ni pamoja na kubadilisha mfumo wa elimu kuanzia ngazi za chini...ukisema tucopy----
Wamecopy BRN hakuna cha msingi....
Ivi hakuna vipimo vya kisayansi vilivyowahi kufanyika kupima ubongo wa saharan compare na wa wenzetu? ?
 
mithali 10:15


Kwangu sisi waafrika ni maskini kwasababu ya umaskini wetu...wa fikra? Hatujui tunatoka wapi tunaenda wapi na tunataka nini hii yote ni sababu ya umaskini wa fikra inshort hatujitambui...ukitaka kuaamini angalia mfano serikali yetu ya Tanzania ipo ipo tu viongozi wapo wapo tu...
 
Back
Top Bottom