Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

nadharia zako hazina mashiko ama ushahidi kabisa, mfano kunambia eti aliens ndo fallen angels sijui wanefili mmmh ngumu kumeza
 

Weusi kwa Waafrika ni ishara ya utukufu na nguvu ya uumbaji. Jiografia ya uumbaji wa binadamu ipo hadi Dunia itakapoisha.

Kudharauliwa kwetu ni sababu ya uoga kwa Weupe ili nasi tujidharau na ikiwezekana tushindwe kujitawala au kufikirisha uwezo wetu mkubwa wa maarifa uliojificha.

Brainwashing inayotumia ubaguzi wa rangi iliyoletwa karne ya 15-20 ndio Leo hii Waafrika wenzetu wanaitumia kutukuza Weupe na kuwadharau Waafrika wenzao.
 
huwa wananukuu kauli ya rais wa zamani wa misri aliyeitwa GAMAL ABEID NASSER, huyu jamaa kipindi vita ya waarabu na wayahudi imepamba moto aliwaambia wayahudi kuwa "hamtokaa hapa (israel) kwa amani kwa sababu mliondoka hapa mkiwa weusi mmerudi mkiwa weupe" kwa hiyo huenda hii ni ashara kwamba wayahudi asilia walikuwa weusi.
 
Ndivyo
Ilivyo
 
mkuu kuna kitu hapa ndo naanza kukiskia kwako kwa mara ya kwanza kwamba "hata sisi tumewahi kuwatawala ila ilifichwa kwa kuogopa aibu" je ni kweli ulisemalo ? waweza nambia labda ni kipindi gani ama karne gani tuliwahi kuwatawala wazungu ?
Kipindi cha Utawala wa Mfalme Nebuchadnezzar.
 
Soma Kitabu cha Nabii Enok
kuna mahali kwenye biblia kweli nimewahi kusoma nikakutana na neno "wanefili" na tasiri yake wameandika pale pale kabisa kuwa ni "majitu" au kwa lugha rahisi naweza kusema ni majini labda.

Na pia iko wazi hasa kwa upande wa wenzetu waislam kuwa duniani kabla ya kuishi sisi wanadamu walikuwa wakiishi majini, na mungu aliwaumba majin hao kwa lengo la kumwabudu yeye (mungu) ila badae inaonekana majini walizingua wakawa wanaenda kunyume na mungu ikabidi mungu amtume malaika wake akawaangamize akaenda akaawangamiza wote ispokuwa mmoja tu ambae alikuwa ndo amezaliwa (alikuwa mdogo sana hajui hili wa lile au chochote kuhusu dhambi), akahurumiwa akabebwa na huyo malaika mpaka kwa mungu mbinguni na akafanywa kuwa miongoni mwa malaika, ingawa cdae alikuja kuasi na inasemekana jini huyo ndo shetani wa leo (lusifa).

Nb : hii ni nadharia inaweza na uimara wake na madhaifu yake pia
 
mambo mengine hua mnayakuza bure tu, binadam kama walivyo viumbe wengine wapo aina tofauti tofauti, mfano kuna simba aina zaidi ya moja, kuna mbwa aina tofauti, paka aina tofauti, kunguru aina tofaut, kuku aina tofauti, na nk... viumbe wote wana madaraja tofauti kulingana na nature ya uumbwaji wao.

wewe mwenyewe mleta mada haupo daraja sawa na wanafamilia wenzako, inshort haiwezekani kushindani na nature.
 
Maendeleo yote ya sayansi, tiba, hesabu, sanaa, utawala, unajimu(Astronomy)dini nk duniani yameanzishwa na mtu mweusi. Sehemu mtumbwi wa kale duniani, na ufuaji chuma wa kale duniani vinapatikana Africa.

Na hiyo rangi nyeusi ni rangi bora kwenye mazingira yake.
 
wewe ndo zero brain kabisa,kuuliza kitu nisicho kielewa ni kujidhalilisha utu ? Qumamae kabisa we


Nenda kamuulize aliyekupa rangi nyeusi ya ngozi na sio rangi nyeupe ya hao Bwana zako unaowahusudu.

Ungeumbwa funza wa chooni anayekula kinyesi ingekuwa bora kwani usingeuliza such nonsense of yours.

Unauliza upumbavu wa kujidhalilisha halafu unajiona eti nawewe umeuliza!!?
 
Kwamba ukandaa tunaoishi ni wajua kali ndomana tunakuwa weusi siyo kweli. Vipi kuhusu ndugu zetu weusi wanaoishi ughaibuni, mbona nao bado wanazaa watoto weusi na ukanda ule siyo wa joto kali!!??
 
Kwamba ukandaa tunaoishi ni wajua kali ndomana tunakuwa weusi siyo kweli. Vipi kuhusu ndugu zetu weusi wanaoishi ughaibuni, mbona nao bado wanazaa watoto weusi na ukanda ule siyo wa joto kali!!??

Nashindwa kukuelezea maana naona hata evolution huelewi. Wazungu walikua wazungu takriban miaka 12000 iliyopita, kuna post yangu hapo juu nimeeleze kuhusu evolution na natural selection.

Kwani unajua gene gani inafanya rangi ya ngozi na je unajua hiyo rangi ya ngozi kazi yake ni nini kwanini ni nyeusi. Kwanini binadamu hafanyi mabadiliko ya mwili haraka kuliko viumbe wote kwasababu sisi tunakitu kinaitwa collective learning.

Ndio imekufanya wewe sasa hivi ujenge nyumba ya tofali na sikukaa mtini au pangoni. Kuna vitu vingi naweza elezea kuhusu collective learning na human evolution na natural selection ila haitotosha naomba ukajisomee vitabu vipo vingi utapata mwanga
 
Misri, Libya, Tunisia, Morocco, Madagascar huko kote na kwingine wengi ni White je sio Africa!?
 
Huwez umiza kichwa kwa mambo magumu lkn utaumiza kichwa kwa mambo yakipuuzi yasiyo na maana, uvivu wako ndio umasikin wako,

Niite vyovyote utakavyo. Mimi mambo ya kufikirika nilijibia Mitihani nikafaulu basi! Kuwa eti Binadamu wa kwanza alikuwa mweusi, Tena Mtanzania😜
Mara ohhh tulikuwa nyani. Wengine tuliumbwa Kwa udongo

Mara Waafrika ndio wa kwanza kupata maendeleo ya Sayansi na Teknolojia
Mimi anjiulizaga" maswali kama haya:
Hivi inakuwaje Kuna watu hawajawahi ona Bomba la maji wengine wanatembelea Mav8!

Inakuwaje Kuna watoto wanasoma kwenye Shule ya Viyoyozi wengine wanasoma Shule mShikizi kwenye Vumbi...kama ile ya Ulanga, ambayo Kamati yaCCM Mkoa wa Moro walijiselfiisha'

Ni nchi ya aina gani ambapo tunajenga Reli ya Umeme ilhali kina mama vijijini wanatembea Km 10 kwendaakupima Malaria! Kuna daraja la kujiseofisha la salander na Koko Beach ambapo maili chache hapo Vingunguti naTandale kuna watu wanaishi na taka!?

Nina maswali menginmno ya kivivu!Au inawaje tunakubali kuongozwa na watu ambao miezi 10 iliyopita walikuwa wanatumbia Ubaya wa Chanjo ya Korona na kuwa Tanzania hakuna korona. Leo haohao wanatuambia uzuri wa chanjo hiyohiyo na utuli mwingine unaambatana na Injili hiyo?

Labda pengine nyie wasomi wetu mko bize kujadili Evolisheni ma Nachoroo Selection mmetuachia wavivu na mambo yetu ya kivivu!
 

Amka waza mbali zaidi, kuhusu kubaguliwa ni sababu ya Umaskini wako tu ukiwa na fedha hakuna wa kukubagua ndiyo maana Reginald Mengi aliajiri house girl kutoka Indonesia, wakuongoza kampuni ya Madini Mkaburu, Meneja wa kampuni Muhindi.

Kuhusu Tekinolojia ni swala la kijasusi tu Mataifa yenye nguvu za kiuchumi yanatafuta watu wenye akili nyingi popote duniani na kuwafanya kuwa Raia wao hivyo kuendelea kiteknolojia kunategemea uchumi wako na bidii ya majasusi wa Nchi yako kuwakandamiza wapinzani wako.

Mabara yote duniani yanayo Nchi maskini sana tu kwa Ulaya angalia nchi za Ulaya ya Mashariki , Latin America na Asia kuna Nchi mpaka sisi kama Tz sasa tumeziacha kiuchumi mbali tu.

Kuhusu uwingi wa Watu Baada ya watu jamii ya kichina kwa wingi watu wanafutia ni watu weusi ndipo wanakuja Wahindi ,Wazungu, Waarabu na Mwisho Latin America.

Hapo ni swala la uumbaji wa Mungu tu jamii gani aiweke wapi.
 
Na hapo hapo kuna weusi wengine kutoka Ethiopia nao hujiona sio watu weusi. Funny enough, wanajinasibu na wayahudi, ambao wao wanawaona ni nyani weusi tu. Ukiangalia wanavyopata shida waethopia weusi kule Israel utawaonea huruma wanalazimisha udugu na wayahudi.

Maana hata kipindi cha madhila ya Libya waarabu kuwateka waafrika wanaotaka kuvuka kwenda Italy, hata hao wahabeshi walionekana watumwa tu mbele ya waarabu wa Libya walipokamatwa. Hapo ndio uone watu weusi tulivyo wa ajabu.
 
Hakuna shule, mzungu au mwalimu hapa Afrika atakufunza haya! Ukweli umefichwa mtu mweusi aishi kwa ujinga!









 
Ingekuwa kweli, basi Inuit na Sami people wa High Arctic wangekuwa weupe kuwaliko wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…