Vijana wanaogopa kuoa wenye miili iliyowazidi wanainekana wako na mama zaoAcheni kutembea na waume za watu, bhaasi. Manake mnajizibia riziki tu ilhali vijana wenzenu wanawaogopa.
Aizee huyu Mama Wa Mgawaha amzing hapa Mbezi Beach ni hatari.Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Kwanini wabofye na kusepa wakati ni Wanawake wazuri?hahaa ndo maana mdau mwenyewe kasema wanaongoza kuwa vimada cos wanaowatamani ni wengi,wakimaliza haja zao(kubofya) wanasepa......
Ila unamegaAizee huyu Mama Wa Mgawaha amzing hapa Mbezi Beach ni hatari.
Ana Kiuno kama vile amebeba Kamtungi fukani kako Spherical in shape.
Mpaka leo naamini ana wanaume wengi sana.
Maana hajaolewa nikijiuliza Sababu sipati maana hata mimi sina mpango wa kumuoa.
ππ CCM itaongoza mpaka karne ya 23ALBANUUN FILHAYAT DUNIA tamu ndogo na moto
Njoo inbox tuyajenge,...huwa nawapenda mno wanawake kama nyieππ,..tebo tebo lah!πΆ,..tebo tebo lahπ΅Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Eeeh umeona umalize kabisa tatizo lake[emoji23][emoji23]Njoo inbox tuyajenge,...huwa nawapenda mno wanawake kama nyie[emoji39][emoji39],..tebo tebo lah![emoji445],..tebo tebo lah[emoji444]
Swadakta mwanangu(Sorry nnamtoto wangu jina kama lako)πEeeh umeona umalize kabisa tatizo lake[emoji23][emoji23]
Kumbe Una mtoto,vp kama haitaji single father[emoji2957]Swadakta mwanangu(Sorry nnamtoto wangu jina kama lako)[emoji6]
Ntampatia dozi hadi anihitaji singo fazaπ ,..asilogwe kinionjesha tu.Kumbe Una mtoto,vp kama haitaji single father[emoji2957]
Asante kipenziNjoo unitembelee ili ule mema ya nchi πΉ
ππππMwanamke wa namna hiyo anataka mwanaume anayejishughulisha na mazoezi, sasa wanaume wengi siku hizi hawana muda huo kwahiyo wanaona bora kupunguza shari.
Kipi kizito Kati ya pamba kilo 50 na mchanga kilo 50 ?si kila wakati mnene anakuwa mzito.. Kuna tofauti kati ya unene na uzito.. Nikupe mfano wa gunia la ujazo mmoja la pamba na gunia la chuma
Uzito hupimwa kwa kilogram. Kama kilograms zinafanana hivyo vitu vina uzito sawa. LAKINI volume au ujazo unaweza ukawa tofauti kwa uzito unaofanana.Kipi kizito Kati ya pamba kilo 50 na mchanga kilo 50 ?
Kwakuwa tayari mnapo pa kukaliaNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?