Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana jamani
Mimi naogopa michirizi, swali nilakubadilisha uzoefu sita gonga kwenye msumari, kingine usafi wa mgodi muhimuNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Hahahanimechangia bila kupenda ila wacha tu nichangie....
nina demu wangu ana hizo bullets hata sina hamu nazo tena. Kwa kwel kuna muda naenjoy nikizipiga piga hivi. Ila nikipita naye barabarani ni shiida.., kuna muda hata nalazimisha tubadilishe njia, mfano unaona watu wengi wamekaa tusipite mbele yao, kumbe mwenzangu anapenda kule kuangaliwa, kusifiwa na kupigiwa miluzi, kama ilivyo desturi ya mwanamke yeyote kadiri anavyosifiwa ndo anavovimba bichwa, sasa akili yake imekuwa kdg mnooo, anajiona kama vile wapo weeeengi wanaompenda labda mi nawazibia rizki tu, seriousness haipo... mara aseme leo kuna kaka kapitiliza kituo kwa ajili yangu, sijui pale ulipokunja tu kona kuna kaka wapale alinifuata kuniomba namba japo anakufahamu
Nimechoka nimechoka yani natamani hata nimnanilihii afu nikamtupe kwenye mapori ya mabwe pande ..., maana unaweza kumkuta nyumba ya jirani daika 5 nyingi. Maisha yenyewe yapi haya hata unishindanishe?????
Mi sitaoa katuuuuuu mzeekee mabarabarani tu
Tatizo mnafatiliwa sana na Kila mtu wanaume wanawawinda sana mpaka wanawake wenzenu wanawatamani afu mnaishia kuchezewa mnaliwa mpaka Kwa mpalange sababu ya makalio yenu makubwa.Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.