Kwanini speed ni 180 km/h?

Magari ya kijapani nadhani limit mwisho ni 180,kmh

Ni sera za JDM gari zinazotengenezwa kwa matumizi ya soko la japan speed limit mwish

Kwahiyo tatizo ni kwamba 180km/h haifikiki au barabara ya kwenda Kibaha mbovu au gari imechakaa?

Maana tunaona mara kibao tu watu na IST/Runx/Premio wanafuta visahani.

Tatizo 180km/h kwa mazingira yetu na aina ya magari haifikiki .... Kidogo Premio, hizo nyingine kufika 180 km/h ni almost to impossible ama suicide.

Hebu 'tusimulie' tu huyo uliyemuona na IST/ Runx/ Premio kafuta visahani
 
Gari hazijatengenezwa kwa ajili yetu ndo maana tunaishia kununua mitumba ya mwaka 2000+, koo speed 180 or 240km/h utafikisha kulingana na barabara husika na uwezo wa dereva ku control gari ikiwa barabarani
 
IST anafuta kisahani? Nitashuka kabla ya kufika tuendako πŸ˜† bora hata premio nitashika roho mkononi
Kuna mshikaji humu alitoa story. Walikua wanatoka Mwanza gari private na wana kadhaa. Ulikua usiku kwahiyo hamna trafick wala jam sana njiani. Kule mjini mjini ilikua poa wanacheka sana kwenye gari kufika maporini dere anafuta kisaani akipunguza sana 100 labda kuwe na tuta.

Aisee gari zima kimyaaa hamna mtu alielala wala anaeongea. Wale wengine wakawa wanachat. Wakakubaliana waombe wasimame kwaajili ya aja ndogo.

Dere anasimama nae anaenda jisaidia anarudi anakuta kwenye siti amekaa mwana mwingine. Kumbe wajamaa wameshakunaliana uyu fala anataka kutuua uyu. Akishuka tu agusi gari tena.

Walilala Dodoma. Wakati jamaa aliwaambia asubuhi chai wanaenda kunywa Dar.
 
Bugatti inaenda zaidi ya 400km/hr.
 
Tatizo 180km/h kwa mazingira yetu na aina ya magari haifikiki .... Kidogo Premio, hizo nyingine kufika 180 km/h ni almost to impossible ama suicide.

Hebu 'tusimulie' tu huyo uliyemuona na IST/ Runx/ Premio kafuta visahani
Mimi na jirani yangu tulikuwa tunaenda Moshi na IST yake mwaka juzi. Alifuta kisahani japo ni very risky.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…