Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h'Kwenye hesabu za automobiles hiyo haipo?
Sidhan kama upo sahihi!
Gari kama Porsche, Maybatch, Bugatti hizo zote zipo zina V12 ambazo top speed ni kati ya 300-400 kph!
Hoja yako wewe ndo naijibu, huko juu ulidai kwanye soko la automobile, kitu ambacho SI KWELI'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h'
Hio sentensi hapo juu umeielewa lkn?
Hizo Porsche,Maybatch,Bugatti zina 200HP?
Kabla ya kuendelea kubisha andika HP za hayo magari then ujiulize msingi wa hoja yako ni upi?
Nijibu Swali langu rahisi tu,Porsche,Maybatch,Bugatti zina HP ngapi?Hoja yako wewe ndo naijibu, huko juu ulidai kwanye soko la automobile, kitu ambacho SI KWELI
Katika maelezo yako huko juu ulisema haipo katika soko la Automobile, jambo ambalo haliakisi ukweli!Nijibu Swali langu rahisi tu,Porsche,Maybatch,Bugatti zina HP ngapi?
Katika maelezo yako huko juu ulisema haipo katika soko la Automobile, jambo ambalo haliakisi ukweli!
Hatuko kubishana lakini lazima ukweli usemwe.
Hizo zote zina Hp kati ya 600 Maybatch, na Bughatti 900-1000, na huyo mnyama Porsche kati ya 600-700 kutegemea na annual improvement, ambayo siyo hoja hapa kuweka hizo list!
Huyo Chaza anakaza ubongo hataki kuelewa [emoji28]Umesema:
Maybatch 600HP
Bughatti 900-1000HP
Porsche kati ya 600-700HP
Na mimi hoja yangu ilisema
'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h',yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.'
Kwa hio wewe unachobisha hapa ni nini?
SawaUmesema:
Maybatch 600HP
Bughatti 900-1000HP
Porsche kati ya 600-700HP
Na mimi hoja yangu ilisema
'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h',yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.'
Kwa hio wewe unachobisha hapa ni nini?
Usiku hayafanyagi kazi. Na kwa mchana mida flani kunakugwa hakuna magari, ukicheza vizuri unakuta green, unaiburuzaa tuIla kuna mataa yakutosha siku hizi kama 4
Nahisi hukufatilia mtililiko wa post za jamaa Torque vs HP . Ungefatilia ungepata point ya alichokuwa ana maanishaKatika maelezo yako huko juu ulisema haipo katika soko la Automobile, jambo ambalo haliakisi ukweli!
Hatuko kubishana lakini lazima ukweli usemwe.
Hizo zote zina Hp kati ya 600 Maybatch, na Bughatti 900-1000, na huyo mnyama Porsche kati ya 600-700 kutegemea na annual improvement, ambayo siyo hoja hapa kuweka hizo list!
hahahahahaaa wewe jamaa ni fala sana... Nimecheka sana.Kipaso cha piston 3!! Ukikanyigia kikifika 70kph kinaanza kutetemeka! Kinaunguruma unaweza sema piston zitatoka ubavuni.
Hapa barabara iliisha.....Mengi ya wajeruman hayafiki 230
Ni speedometer wanaweka tu, machache sana ndo yanavuka 260 akina porshe na mengine mazuri,
Ukisoma speedometer ni tofauti na reality
Ni kama subaru Legacy inafika 233kmp uku speedometer inasoma 180, uku audi A4 ya 2008 ina top speed 204 speedometer inasoma 260, au range rover vogue mpya ina top speed ya 240 uku speedometer yake inasoma 280kmp, ko ni swala la sheria za nchi mama
Leo hii ???Hapa barabara iliisha.....
View attachment 1736869
Hapana. Vitu vya kawaida hivi hapa hapa Tz ila kwasababu wengi hizi gari wanazisoma mtandaoni ndio wanaona ajabu.Leo hii ???
Umecheki horsepower ya Buggati?Kwenye hesabu za automobiles hiyo haipo?
Sidhan kama upo sahihi!
Gari kama Porsche, Maybatch, Bugatti hizo zote zipo zina V12 ambazo top speed ni kati ya 300-400 kph!
Kabisa mkuu japanese cars zimeharibu wengi siku wajaribu european cars walete mrejesho hapaHapana. Vitu vya kawaida hivi hapa hapa Tz ila kwasababu wengi hizi gari wanazisoma mtandaoni ndio wanaona ajabu.
Hiyo inaitwa kufa au kupona.Wakuu
Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa nikijiuliza, ni kwa nini magari ''karibia'' yanaonesha uwezo wa kwenda kasi kufikia mwendo wa 180 km/h?
Nilichogundua, mwendo kasi wa 180 km/h ni mkubwa sana sana sana, haufikiki, ni hatari na sio halisi hasa kwa aina ya magari yetu mengi ambayo ni mtumba huku barabara zetu nazo zikiwa sio rafiki.
Kwa mfano, magari ya cc 900 mpaka 2000cc haya kuwekewa mwendo kasi wa 180 km/h ni sahihi? Kwanini wasingeweka tu mfano 140 km/h? Hebu tuangalie uhalisia, katika mazingira yoyote yenye cc chini ya 1500 inaweza kweli kufika mwendo kasi wa let say 160km/h? Binafsi sidhani. Kwa gari maalumu za kwenda kasi na safari ndefu, ama zenye cc zaidi ya 2500 uwezekano unaweza kuwepo lakini kwa hizi nyingine, nahisi watengenezaji wanatulipisha gharama kubwa kwa kitu ambacho hakipo ama kwa kifupi wanatuibia.
Nini mtazamo wako?
Ni kama tanzania wanavyofanyia mabasi 80 au raia 110Vipi Japan 180.. wasingefanyaga hata 220 ?
Inategemea na gar gan mzee, na speedometrr ikisoma 240 in reality ni kama 230 ambazo Volkswagen nying huishia, high performance golf mpya ya mwaka huu inaenda mpaka 260 ambayo ni around 400hp i thinkHapa barabara iliisha.....
View attachment 1736869
Tunao vuka 120 ni makosa kumbe du noma 😀😀.. ila speed ya 80 mabasi alafu safari Dar mwanza au Dar musoma au bukoba mbona utakomaNi kama tanzania wanavyofanyia mabasi 80 au raia 110
Gari lolote la cc 1300-1500cc horse power above 90hp linafika vizuri tu 180kph....labda chini ya hapo like passo ndo zinaishia 160 hivi tena kwa shida,Wakuu
Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa nikijiuliza, ni kwa nini magari ''karibia'' yanaonesha uwezo wa kwenda kasi kufikia mwendo wa 180 km/h?
Nilichogundua, mwendo kasi wa 180 km/h ni mkubwa sana sana sana, haufikiki, ni hatari na sio halisi hasa kwa aina ya magari yetu mengi ambayo ni mtumba huku barabara zetu nazo zikiwa sio rafiki.
Kwa mfano, magari ya cc 900 mpaka 2000cc haya kuwekewa mwendo kasi wa 180 km/h ni sahihi? Kwanini wasingeweka tu mfano 140 km/h? Hebu tuangalie uhalisia, katika mazingira yoyote yenye cc chini ya 1500 inaweza kweli kufika mwendo kasi wa let say 160km/h? Binafsi sidhani. Kwa gari maalumu za kwenda kasi na safari ndefu, ama zenye cc zaidi ya 2500 uwezekano unaweza kuwepo lakini kwa hizi nyingine, nahisi watengenezaji wanatulipisha gharama kubwa kwa kitu ambacho hakipo ama kwa kifupi wanatuibia.
Nini mtazamo wako?