Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mambo si shwari ndani ya CHADEMA.
Kwani kujaza form online ni kosa? Waulize wanafunzi wa elimu ya juu wanajazaje form. Mambo ya hard copy ni ya kishamba siku hizi ndugu yangu.Tundu Lisu anagombea umakamu mwenyekiti wakati anaishi Ulaya, fomu amejaza online, CHADEMA kuna vituko!
Sasa analalamika kukosa uenyekiti wa Chadema Taifa, Kwani uchaguzi tayari? Mbona bado? Si angesubiri aone kama hachaguliwi?Pandikizi lilikuwa linasubiri muda wa ku strike lakini likagonga mwamba sasa linarejea kwenda kubanana
Kuna tetesi kuwa wale wote waliohamia ccm kutoka upinzani watapigwa chini katika uchaguzi mkuu ujao kitu ambacho ni burudani tosha.
We vipi kipiTundu Lisu anagombea umakamu mwenyekiti wakati anaishi Ulaya, fomu amejaza online, CHADEMA kunavituko!
Nadhani sijapata ban muda mrefu lakini wewe utanisababishia kwa ungese wako.Walidhani Mbowe ni kijito! Yule ni jito
Anayemweza Mbowe ni Magufuli tu
Kwa nini usiwalalamikie waliotunga kanuni za uchaguzi ndani ya CHADEMA?
Yaani Kanuni za uchaguzi zinawaruhusu kufanya hivyo halafu wakifanya unaanza kuwalalamikia?
Huoni wenye tatizo ni wale waliotunga Kanuni za Uchaguzi ndani ya CHADEMA ndio maana baadhi ya watu ndani ya CHADEMA wamejirundikia vyeo kama vile hakuna wanachama wengine wa kushika nafasi hizo!
..ni kweli walichomfanyia siyo kitu kizuri hata kidogo.
..lakini sumaye angejipa muda wa kutafakari kabla ya kuchukua uamuzi huu.
..hata ccm ambako aliondoka alifanyiwa mizengwe ktk chaguzi zaidi ya moja.
Sasa analalamika kukosa uenyekiti wa Chadema Taifa, Kwani uchaguzi tayari? Mbona bado? Si angesubiri aone kama hachaguliwi?