Kwanini Sumaye na Mwambe waligombea kwenye Kanda zao na tena wanagombea Uenyekiti Taifa?

Hiyo shukrani unayotaka wafanyiwe ENL na FTS ukiitazama kwa makini utagundua kuwa ni rushwa
 

Atajiondoa CDM na povu kibao kwamba kahujumiwa au kukoswakoswa kwa sumu!
 
Na huku kanuni zinakataza ilo..Maana kanuni zinasema lazma fomu ijazwe mtu akiwa nchini na kuwasilisha kwa mkono.


2020 Wanaccm tuchukue fomu kugombea uwenyekiti Taifa

Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…