mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Uwepo wa wewe na mimi ni ushahidi tosha kuwa dunia imekaliwa na binadam kwa MUDA WOTE tokea alipoumbwa binadam wa kwanza.
Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa wakisimuliana habari za matukio yaliyokuwa yanatokea wkt wao wakiwepo na habari hizi waliwapasia vizazi vyao ikaendeleea ivyo hata kwa vizazi vya leo hii.
Sasa mbona leo hii habari nyingi za matukio ya miaka elfu uko nyuma ni kama za kubuni au za watu kuhisi? Mfano mzuri ni maandiko ya vitabu vitakatifu. bado kuna mengi tu ya humo yanabishaniwa hata leo hii juu ya usahihi wake.
Inakuwaje bado kuna habari zisizo hakika wkt tunajua mwanadam amekuwepo wakati wote? Je, inawezekana kuna yamebuniwa tu na kundi au watu fulani tu kwa faida yao? Au wakuu nyinyi mnaonaje?
Tia neno hapa.
Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa wakisimuliana habari za matukio yaliyokuwa yanatokea wkt wao wakiwepo na habari hizi waliwapasia vizazi vyao ikaendeleea ivyo hata kwa vizazi vya leo hii.
Sasa mbona leo hii habari nyingi za matukio ya miaka elfu uko nyuma ni kama za kubuni au za watu kuhisi? Mfano mzuri ni maandiko ya vitabu vitakatifu. bado kuna mengi tu ya humo yanabishaniwa hata leo hii juu ya usahihi wake.
Inakuwaje bado kuna habari zisizo hakika wkt tunajua mwanadam amekuwepo wakati wote? Je, inawezekana kuna yamebuniwa tu na kundi au watu fulani tu kwa faida yao? Au wakuu nyinyi mnaonaje?
Tia neno hapa.