NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
hii kitu ni seriously mkuu,....waangalie watu kama Wamalaysia,... ni kama chotara wa kihindi na kichina,...si ajabu ni race ya karibuni na miaka kadhaa huko awali haikuwepo,....Chotara wa kiarabu na chotara wa kihindi atatokea nini?
Sasa fikiria chotara wa kizungu na African azae na Arabic,..then huyo mtoto akazae na chotara wa kichina na kihindi,..🤔,...vipi kuhusu vijukuu?...
nadhani ndo sababu wakazaliwa hawa,...POLYNESIANS