Kwasababu kuna muda binadamu hakuwa na utashi wakuacha history,ujuzi wakuandika hakua nao,hata lugha ilikuwa patashika ni ishara tu.
wakati huo mission zao hazikuwa kuwaza kukuachia wewe historia wakati tu maisha yalikuwa mvurugano,myda wowote unaweza kuvamiwa na wanyama wakuue mi nikae niandike history nitafunwe..?
nafikiri pia mwanadamu anaenda kwa evolution yani uwezo unazidi kukua siku baada ya siku, sasahivi maarifa ya kuhifadhi taarifa yameimarika maradufu kiasi chakushangaza!.
ukute hata binadamu wa awali wanajua asili yetu kabisa ambayo hivi sasa hatuijui isipokuwa sasa hawakuweza kuhifadhi hizo taarifa!, kuna muda kweli bado binadamu alikuwa kwenye ombwe la sintofahamu ni sawasawa na mtoto mchanga ubongo wake kuanza kuhifadhi kumbukumbu vyema huchukua muda fulani wa makuzi ila kula anajua,kupumua anajua,na haja nyengine nyengine!.
chanzo chetu bado kinautata sana!