Kwanini taarifa nyingi za miaka elfu iliyopita ni za kubuni au hazijulikani kiuhalisia? Je, kuna kizazi kilipotea?

Kwanini taarifa nyingi za miaka elfu iliyopita ni za kubuni au hazijulikani kiuhalisia? Je, kuna kizazi kilipotea?

Kwasababu kuna muda binadamu hakuwa na utashi wakuacha history,ujuzi wakuandika hakua nao,hata lugha ilikuwa patashika ni ishara tu.
wakati huo mission zao hazikuwa kuwaza kukuachia wewe historia wakati tu maisha yalikuwa mvurugano,myda wowote unaweza kuvamiwa na wanyama wakuue mi nikae niandike history nitafunwe..?

nafikiri pia mwanadamu anaenda kwa evolution yani uwezo unazidi kukua siku baada ya siku, sasahivi maarifa ya kuhifadhi taarifa yameimarika maradufu kiasi chakushangaza!.
ukute hata binadamu wa awali wanajua asili yetu kabisa ambayo hivi sasa hatuijui isipokuwa sasa hawakuweza kuhifadhi hizo taarifa!, kuna muda kweli bado binadamu alikuwa kwenye ombwe la sintofahamu ni sawasawa na mtoto mchanga ubongo wake kuanza kuhifadhi kumbukumbu vyema huchukua muda fulani wa makuzi ila kula anajua,kupumua anajua,na haja nyengine nyengine!.

chanzo chetu bado kinautata sana!
 
Unauliza za miaka efu mbali huko wakati kwenye waaasisi wa CCM tu kuna ubishani,waliioshiriki mapinduzi ya zanzibar kuna ubishani.
Picha ya safari ya nyerere UN iliwahi kuzua ubishani
Umeenda mbali mno mpwa
 
Unauliza za miaka efu mbali huko wakati kwenye waaasisi wa CCM tu kuna ubishani,waliioshiriki mapinduzi ya zanzibar kuna ubishani.
Picha ya safari ya nyerere UN iliwahi kuzua ubishani
Umeenda mbali mno mpwa
Haahaa hizi zinajulikana sana tu tena kwa dokumaa kabisa sema ni mambo ya siasa ndo yametamalaki apo. mwanasisasa haaminiki kivile ndugu.
 
Uwepo wa wewe na mimi ni ushahidi tosha kuwa dunia imekaliwa na binadam kwa MUDA WOTE tokea alipoumbwa binadam wa kwanza.

Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa wakisimuliana habari za matukio yaliyokuwa yanatokea wkt wao wakiwepo na habari hizi waliwapasia vizazi vyao ikaendeleea ivyo hata kwa vizazi vya leo hii.

Sasa mbona leo hii habari nyingi za matukio ya miaka elfu uko nyuma ni kama za kubuni au za watu kuhisi? Mfano mzuri ni maandiko ya vitabu vitakatifu. bado kuna mengi tu ya humo yanabishaniwa hata leo hii juu ya usahihi wake.

Inakuwaje bado kuna habari zisizo hakika wkt tunajua mwanadam amekuwepo wakati wote? Je, inawezekana kuna yamebuniwa tu na kundi au watu fulani tu kwa faida yao? Au wakuu nyinyi mnaonaje?

Tia neno hapa.
Hivi kusema hapo kale, elimu ya maandishi na utunzaji kumbukumbu ilikuwa finyu, nitakuwa nimekosea?

Kwa mfano sisi Afrika, hasa Afrika ya mashariki, iko wapi historia yetu kabla ya ujio wa wakoloni?

Maana kwetu sisi inaonekana kama dunia ilianza karne ya 16, kabla yake ni giza totoro hakuna anayeelewa kutuhusu ni kama hatukuwepo kabisa.
 
kusema hapo kale, elimu ya maandishi na utunzaji kumbukumbu ilikuwa finyu, nitakuwa nimekosea
upo sawa kiongozi. sisi tulitegemea zaidi masimulizi. historia zikitunzwa vichwani mwa watu na wakisimuliana kwa vizazi hata vizazi. shida sasa akifa huyo mwenye historia shughuli inaishia apo.
 
upo sawa kiongozi. sisi tulitegemea zaidi masimulizi. historia zikitunzwa vichwani mwa watu na wakisimuliana kwa vizazi hata vizazi. shida sasa akifa huyo mwenye historia shughuli inaishia apo.
Binadamu ameanza kutumia maandishi kwa kuchelewa sana, miaka 3400 kabla ya Kristo ndio inakadiriwa Binadamu walianza kutumia maandishi
 
Kuna watu wanasemaga kuwa dunia ina maisha yapo millions of years ago ila hawakupi reference yoyote
Reference ni fossil evidence na miamba.
Kila mwamba una muda wake maalumu wa kujiunda na unatoa mionzi ya radioactive kulingana na umri wake,
Hakikisha unapeleka watoto wako shule wajifunze haya mambo.
 
Tulichagua kuamini watu waliokataa habari za miaka 2000 iliyopita na kuamini habari zao za miaka Milion 60 iliyopita😂.

OBEY ( tricknology ) ipo kukuswaga Kama ng'ombe.
 
Habari na elimu muhimu za zamani zimefichwa na watu wachache, wanazitumia kwa manufaa yao.

Mfano Library of Alexander (Egypt) ilichomwa moto na wakaficha baadhi ya vitabu.

Mfano mwingine ni stargate iliyokuwa imefichwa na sadam husein, USA walipo vamia direct walienda kuichukua na kuipeleka kwao kwa matumizi yao binafsi.
Usa wanapenda sana kitunza malikale,
Haat sio mbaya kama wanajua matumizi kama kufanyia matambiko,
 
Uwepo wa wewe na mimi ni ushahidi tosha kuwa dunia imekaliwa na binadam kwa MUDA WOTE tokea alipoumbwa binadam wa kwanza.

Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa wakisimuliana habari za matukio yaliyokuwa yanatokea wkt wao wakiwepo na habari hizi waliwapasia vizazi vyao ikaendeleea ivyo hata kwa vizazi vya leo hii.

Sasa mbona leo hii habari nyingi za matukio ya miaka elfu uko nyuma ni kama za kubuni au za watu kuhisi? Mfano mzuri ni maandiko ya vitabu vitakatifu. bado kuna mengi tu ya humo yanabishaniwa hata leo hii juu ya usahihi wake.

Inakuwaje bado kuna habari zisizo hakika wkt tunajua mwanadam amekuwepo wakati wote? Je, inawezekana kuna yamebuniwa tu na kundi au watu fulani tu kwa faida yao? Au wakuu nyinyi mnaonaje?
Achana na taarifa za miaka buku ilopita,wewe binafsi ukiulizwa taarifa zako za miaka 10 ilopita utatoa mimacho tu.

Taarifa zisipotunzwa ktk maandishi/sauti ni rahisi kupotea.
 
Unauliza za miaka efu mbali huko wakati kwenye waaasisi wa CCM tu kuna ubishani,waliioshiriki mapinduzi ya zanzibar kuna ubishani.
Picha ya safari ya nyerere UN iliwahi kuzua ubishani
Umeenda mbali mno mpwa
Kwamba ile safari ni geresha TU 😂
 
Mfano ,mimi nikupe taarifa zangu na wewe umpe mwingine na mwingine na mwingine , je hizo taarifa zitakua sawa na mtu wa kwanza kuzipata?
Taarifa zako haziwi sahihi, lakini ukipewa taarifa ya Muumba wako na akiahidi atailinda basi itakuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom