Watakuja kuokota mifupa yangu halafu wataanza kusema inasemekana mimi ndio mtu wa kwanza duniani 🤣changamoto ilikuwa kwenye kurithisha habari kutoka kizazi kimoja kwenda kingine, ni kama sasa hivi tunavyowalaumu wanazuoni kwa kutoandika vitabu, itapita miaka hakutakuwa na kumbukumbu.
Inawezekana kizazi kijacho kitakachozaliwa kuanzia mwaka 3000 kikawa na vichwa vitatu, na wao kujiona wakawaida tu.Watakuja kuokota mifupa yangu halafu wataanza kusema inasemekana mimi ndio mtu wa kwanza duniani 🤣
Time travelNgoja tuwaulize wahadzabe maana wao bado wanayaishi maisha ya zamani.
Haahaa hizi zinajulikana sana tu tena kwa dokumaa kabisa sema ni mambo ya siasa ndo yametamalaki apo. mwanasisasa haaminiki kivile ndugu.Unauliza za miaka efu mbali huko wakati kwenye waaasisi wa CCM tu kuna ubishani,waliioshiriki mapinduzi ya zanzibar kuna ubishani.
Picha ya safari ya nyerere UN iliwahi kuzua ubishani
Umeenda mbali mno mpwa
Hivi kusema hapo kale, elimu ya maandishi na utunzaji kumbukumbu ilikuwa finyu, nitakuwa nimekosea?Uwepo wa wewe na mimi ni ushahidi tosha kuwa dunia imekaliwa na binadam kwa MUDA WOTE tokea alipoumbwa binadam wa kwanza.
Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa wakisimuliana habari za matukio yaliyokuwa yanatokea wkt wao wakiwepo na habari hizi waliwapasia vizazi vyao ikaendeleea ivyo hata kwa vizazi vya leo hii.
Sasa mbona leo hii habari nyingi za matukio ya miaka elfu uko nyuma ni kama za kubuni au za watu kuhisi? Mfano mzuri ni maandiko ya vitabu vitakatifu. bado kuna mengi tu ya humo yanabishaniwa hata leo hii juu ya usahihi wake.
Inakuwaje bado kuna habari zisizo hakika wkt tunajua mwanadam amekuwepo wakati wote? Je, inawezekana kuna yamebuniwa tu na kundi au watu fulani tu kwa faida yao? Au wakuu nyinyi mnaonaje?
Tia neno hapa.
upo sawa kiongozi. sisi tulitegemea zaidi masimulizi. historia zikitunzwa vichwani mwa watu na wakisimuliana kwa vizazi hata vizazi. shida sasa akifa huyo mwenye historia shughuli inaishia apo.kusema hapo kale, elimu ya maandishi na utunzaji kumbukumbu ilikuwa finyu, nitakuwa nimekosea
upo sawa kiongozi. sisi tulitegemea zaidi masimulizi. historia zikitunzwa vichwani mwa watu na wakisimuliana kwa vizazi hata vizazi. shida sasa akifa huyo mwenye historia shughuli inaishia apo.kusema hapo kale, elimu ya maandishi na utunzaji kumbukumbu ilikuwa finyu, nitakuwa nimekosea
Binadamu ameanza kutumia maandishi kwa kuchelewa sana, miaka 3400 kabla ya Kristo ndio inakadiriwa Binadamu walianza kutumia maandishiupo sawa kiongozi. sisi tulitegemea zaidi masimulizi. historia zikitunzwa vichwani mwa watu na wakisimuliana kwa vizazi hata vizazi. shida sasa akifa huyo mwenye historia shughuli inaishia apo.
Reference ni fossil evidence na miamba.Kuna watu wanasemaga kuwa dunia ina maisha yapo millions of years ago ila hawakupi reference yoyote
Usa wanapenda sana kitunza malikale,Habari na elimu muhimu za zamani zimefichwa na watu wachache, wanazitumia kwa manufaa yao.
Mfano Library of Alexander (Egypt) ilichomwa moto na wakaficha baadhi ya vitabu.
Mfano mwingine ni stargate iliyokuwa imefichwa na sadam husein, USA walipo vamia direct walienda kuichukua na kuipeleka kwao kwa matumizi yao binafsi.
Achana na taarifa za miaka buku ilopita,wewe binafsi ukiulizwa taarifa zako za miaka 10 ilopita utatoa mimacho tu.Uwepo wa wewe na mimi ni ushahidi tosha kuwa dunia imekaliwa na binadam kwa MUDA WOTE tokea alipoumbwa binadam wa kwanza.
Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa wakisimuliana habari za matukio yaliyokuwa yanatokea wkt wao wakiwepo na habari hizi waliwapasia vizazi vyao ikaendeleea ivyo hata kwa vizazi vya leo hii.
Sasa mbona leo hii habari nyingi za matukio ya miaka elfu uko nyuma ni kama za kubuni au za watu kuhisi? Mfano mzuri ni maandiko ya vitabu vitakatifu. bado kuna mengi tu ya humo yanabishaniwa hata leo hii juu ya usahihi wake.
Inakuwaje bado kuna habari zisizo hakika wkt tunajua mwanadam amekuwepo wakati wote? Je, inawezekana kuna yamebuniwa tu na kundi au watu fulani tu kwa faida yao? Au wakuu nyinyi mnaonaje?
Naam, umeniita?
Kwamba ile safari ni geresha TU 😂Unauliza za miaka efu mbali huko wakati kwenye waaasisi wa CCM tu kuna ubishani,waliioshiriki mapinduzi ya zanzibar kuna ubishani.
Picha ya safari ya nyerere UN iliwahi kuzua ubishani
Umeenda mbali mno mpwa
Taarifa zako haziwi sahihi, lakini ukipewa taarifa ya Muumba wako na akiahidi atailinda basi itakuwa sahihi.Mfano ,mimi nikupe taarifa zangu na wewe umpe mwingine na mwingine na mwingine , je hizo taarifa zitakua sawa na mtu wa kwanza kuzipata?