figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Qur'anView attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
Kwani Abbas ndiye mwenye ghorofa? Unataka kusema nini hapa?View attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
Labda kama ungekuwa na udhibitisho kuwa yeye ndio mmiliki wa hilo jengo,tofauti na hapo umeandika kitu ambacho hakiingii akilini kabisa.View attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
Sportpesa ni kampuni ya michezo ya kubahatishapia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Wachokonozi ndio style yao hiyo, hapa leo ñdio utamjuwa mmiliki ni nani.Kwani Abbas ndiye mwenye ghorofa? Unataka kusema nini hapa?
mambo ya diniya mini?Qur'an
1. Surah An-Nisa (4:135): "Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama kwa haki, kuwa mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa dhidi ya nafsi zenu au wazazi wawili na jamaa zenu. Kama akiwa tajiri au maskini, Mwenyezi Mungu anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio ili mwelekee upande. Na mkiupotosha ushahidi au mkakataa kuutoa, basi hakika Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda."
Aya hii inasisitiza uadilifu bila kujali uhusiano wa kifamilia au hali ya mtu mwingine.
Sasa si waseme tu huyu ndiye mmiliki wa ghorofa.Wachokonozi ndio style yao hiyo, hapa leo ñdio utamjuwa mmiliki ni nani.
mambo ya diniya mini?
Hii inahusiana nini na Tarimba?Qur'an
1. Surah An-Nisa (4:135): "Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama kwa haki, kuwa mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa dhidi ya nafsi zenu au wazazi wawili na jamaa zenu. Kama akiwa tajiri au maskini, Mwenyezi Mungu anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio ili mwelekee upande. Na mkiupotosha ushahidi au mkakataa kuutoa, basi hakika Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda."
Aya hii inasisitiza uadilifu bila kujali uhusiano wa kifamilia au hali ya mtu mwingine.
Imeshaundwa tume, kila mwenye maelezo yanayohitajika atahojiwa bila shaka. Tuipe muda hii tume, ikija majibu mepesi ndiyo turuke nao.View attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
Yaani ana maghorofa ya kubahatisha vile vile?Sportpesa ni kampuni ya michezo ya kubahatisha
Ndio kwa sababu mwandishi ameandika kwamba kuna haki haijafuatwq. Aya inazungumzia ubaya wa kuacha kutenda hakiHii inahusiana nini na Tarimba?
Ghorofa ni la mchaga kwa ninavyofahamu, liliuzwa miezi miwili kabla ya huo ukarabati kuanza.View attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
Tume haina mamlaka kumtaja mwanasiasa kama ndiye mhusika!Imeshaundwa tume, kila mwenye maelezo yanayohitajika atahojiwa bila shaka. Tuipe muda hii tume, ikija majibu mepesi ndiyo turuke nao.
Ova