Masikini Tarimba.Katika Uislamu kinachoangaliwa ni Quran na hadithi za Mtume Muhammad S.A.W na sio matendo ya watu. Ktk uislam anaecheza kamari hata akiwa sheikh hukumu yake motoni. Ingia ktk uislam uone raha
Kwa hiyo raha ya uislamu ni kwenda kinyume na Quraan na hadithi......Qurani inakataza kitimoto, mimi nayeitwa Juma, Hamisi nakula...kweli hapo ndipo unapoona raha ya Uislamu!Katika Uislamu kinachoangaliwa ni Quran na hadithi za Mtume Muhammad S.A.W na sio matendo ya watu. Ktk uislam anaecheza kamari hata akiwa sheikh hukumu yake motoni. Ingia ktk uislam uone raha
Imekomea dhulma ya uchaguzi wa jana?Qur'an
1. Surah An-Nisa (4:135): "Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama kwa haki, kuwa mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa dhidi ya nafsi zenu au wazazi wawili na jamaa zenu. Kama akiwa tajiri au maskini, Mwenyezi Mungu anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio ili mwelekee upande. Na mkiupotosha ushahidi au mkakataa kuutoa, basi hakika Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda."
Aya hii inasisitiza uadilifu bila kujali uhusiano wa kifamilia au hali ya mtu mwingine.
Dhulma dhuluma tu, kama imefanyika dhulmaImekomea dhulma ya uchaguzi wa jana?
Katika Uislamu kinachoangaliwa ni Quran na hadithi za Mtume Muhammad S.A.W na sio matendo ya watu. Ktk uislam anaecheza kamari hata akiwa sheikh hukumu yake motoni. Ingia ktk uislam uone raha
Kwani Tarimba ndie mhandisi aliyechora au kujenga ghoroga hilo?View attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
U mean ni ghorofa la Abdul?Watamhoji vipi wakati ghorofa lililoanguka ni Mali ya mtoto wa mama?
Sasa kama viongozi wa kamari ni hao ndugu zako. Kuna raha gani huko?Katika Uislamu kinachoangaliwa ni Quran na hadithi za Mtume Muhammad S.A.W na sio matendo ya watu. Ktk uislam anaecheza kamari hata akiwa sheikh hukumu yake motoni. Ingia ktk uislam uone raha
Mmmh ! ππQur'an
1. Surah An-Nisa (4:135): "Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama kwa haki, kuwa mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa dhidi ya nafsi zenu au wazazi wawili na jamaa zenu. Kama akiwa tajiri au maskini, Mwenyezi Mungu anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio ili mwelekee upande. Na mkiupotosha ushahidi au mkakataa kuutoa, basi hakika Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda."
Aya hii inasisitiza uadilifu bila kujali uhusiano wa kifamilia au hali ya mtu mwingine.
Majibu ya nani ndiye mmiliki yanafaa sana kabla ya kuamua haki au siyo haki.Ndio kwa sababu mwandishi ameandika kwamba kuna haki haijafuatwq. Aya inazungumzia ubaya wa kuacha kutenda haki
Aiseee sasa wee s dole la mkundu mawazo mafup sana huyo mbunge ange jibu nn wakat mweny gorofa yupo Egnear yupo ndy wakuulizwa na wakamatwe tatzo ss wabongo uwezo wetu wakufkr n mdogo sanaView attachment 3164278
Mbunge wa jimbo la kinondoni kupitia CCM Mheshimiwa Talimba Abbas, alitakiwa ahojiwe japo Kidogo asaidie Polisi wajue sehemu ya kuanzia kutokana na kuporomoka kwa Gorofa la kariakoo lililoua Watu 29
Tofauti na kuwa mwanasiasa, Abbas ni mfanyabiashara pia zikiwemo za Michezo ya kubahatisha, pia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (SportPesa)
Nina imani kama Serikali ingemhoji angeonesha njia. Angesema nini kilitokea.
Wasiwasi wangu ni kama haki inaweza kutendekea kwa sabababu Abbas ndo Mdhamini Mkuu wa Kampeni za CCM.
Hapa maana yake tujiongeze.Huyu ndo mwenye ghorofa? Tujuze bas
Haina haja kumtukana. Yawezekana kaandika kinyume au ni njia ya kumtangaza, na labda wanajuana. Shida tu ametumia jina lake kwa wakati na mahala pabaya pa majanga.Aiseee sasa wee s dole la mkundu mawazo mafup sana huyo mbunge ange jibu nn wakat mweny gorofa yupo Egnear yupo ndy wakuulizwa na wakamatwe tatzo ss wabongo uwezo wetu wakufkr n mdogo sana
ππ»ππ»ππ» Nimejarbu kukuelewa ila kanipandsha Sukar ndyo maana tus limetoka from nowhereHaina haja kumtukana. Yawezekana kaandika kinyume au ni njia ya kumtangaza, na labda wanajuana. Shida tu ametumia jina lake kwa wakati na mahala pabaya pa majanga.
Vijana mna msemo, wa "potezea" miaka yetu Ile ya 1970 tulisema "kausha" au no sweat.ππ»ππ»ππ» Nimejarbu kukuelewa ila kanipandsha Sukar ndyo maana tus limetoka from nowhere
Kuna mshamba alisema kifo ni kifo tu. Huyo ndiye mwenye mjengo