Kwanini Tanzania hatuna self made young & rich, black people, kama kina blord, mompha, na e-money wa kule Nigeria?

Kwanini Tanzania hatuna self made young & rich, black people, kama kina blord, mompha, na e-money wa kule Nigeria?

Unaongelea vijana gani mbona wapo wengi tu. Kina diamond, harmonize, vunja bei, Sunderland, zuchu, vijana wengi tu wanahuo utajiri wa 1 usd million..
hujaelewa mada pia hao wote uliowataja ni njaa kali ikifika uchaguzi ndo utaelewa Vunjabei alitaka Nafasi gani sijui wajumbe wakamkataa....Mtoa mada anaongelea vijana waliojitafuta sio hawa wanaotegemea Sirikali
 
Unaongelea vijana gani mbona wapo wengi tu. Kina diamond, harmonize, vunja bei, Sunderland, zuchu, vijana wengi tu wanahuo utajiri wa 1 usd million..
Zuchu ana utajiri wa 1 million usd😁😂🙌 embu kuwa serious mkuu 😁 kwenye hiyo list yak,o labda vunjabei ndo mwenye io networth ya $1 million Usd , na diamond, Sunderland simjui covid 19
 
Una App kibao zinafanya nini?

Apps zinazofanya miamala zinaingiza pesa sana, mfano mtu ana App inafanya miamala 100,000 kwa siku, kila muamala kwa kiwango kidogo kabisa akate Tshs 2 tu, zidisha kwa miamala hio 100,000 ni sawa na milioni 200 kwa siku.

Sasa mtu anaingiza milioni 200 per day huyo si bilionea? Tena hapo ni makadirio ya chini japo kuna kodi n.k lakini ni pesa ndefu.

Ndio kama huyo dogo na App yake ya jetpay anaingiza serious money...

Anachofanya anatafuta idea, anatafuta developer wa kufanikisha ideas zake za App anamlipa then anaendelea kusimamia Apps zake, haya ndio walifanya kina Zuckerberg, Elon, Billgate n.k hadi leo wana tech companies kubwa, huku Tz bado sana watu wamelala.
Shilingi 2 mara 100000 ni laki mbili sio milioni mia mbili
 
,
Unataka kusema Mmiliki wa GasFasta ni billionaire wa Bongo? Mmiliki wa FundiUjenzi ni billionaire wa Bongo? Maana apps zote hizo zinaingiza Pesa km unataka kusema apps za Pesa zinalipa niambie ukwasi wa Mmiliki wa app za Bolt na Uber maana hizo apps zinaingiza Pesa balaa Ila hukuti wamiliki wakijitangaza wanajenga makanisa sijui upuuzi gani
Utakuta ni vigogo walioko serikalini, ama uwekezaji wa wageni, ama ni kampuni kubwa yenye hisa nyingi za watu.

Lakinj pia kuna watu wapo low profile ndio maisha yao.

Lakini utajiri na kutajirika kupitia fursa mbali mbali inawezekana tatizo ni vikongwe waliopo serikalini ambao wamechoka wakisubiri kifo wanakunywa dawa za pressure na kisukari na hawataki kuona vijana wanakuwa billionaires.

Ni hatari kwao katika kupoteza ushawishi kiutawala, pesa inapelekea kujitambua, kupata elimu bora, kuwa huru, kuhoji n.k..

Haitakiwi vijana watajirike waache waendelee kuwa boda huku wajukuu na wanao zao wakisoma oxford n.k...
 
Vijana wetu wamepangana wanauza vocha na miamala kwa mtaji usiokuwa na wala hawawazi kufika mbali

Miaka nenda rudi unawakuta palepale
Nafikiri ni udumavu tu wa akili maana kuna watu wanajua na kupanga kuwa baada ya miaka kadhaa atakuwa amefika malengo flani
 
Mompha tajiri wa bureur de exchange mompha in dubai, kashika pesa zaman wanamuita money man.
 
Comments tu za waTanzania humu zinaonyesha tayari wanejikatia tamaa na hawaamini kama kijana wa miaka 30 au chini kuwa bilionea, we unafikiri atatokea?

Huyu Blord naona ana pesa kweli, kawekeza kwenye tech, ana Apps kama 4 zinaingiza pesa, kama hio jetpay ni masuala ya miamala, hivyo kuna faida anapata kila mtu anapofanya muamala japo sijafuatiklia deep.

Hizi mambo kuna yule kijana mTanzania alikuja na App inaitwa Nala, sasa hivi NALA headquarter ipo Nairobi Kenya, ndio ujue Tanzania ina u$3nge kiasi gani...

Kama huyo jamaa wa NALA tayari angekuwa supported na serikali alikuwa ni bilionea mkubwa tu.

Vijana wanapiga harakati online hadi leo serikali wameshindwa kuwezesha paypal ifanye kazi Tanzania.

Internet ya Elon ile starlink imefika Nigeria hadi Kenya lakinj hii mizee yenye roho mbaya haitaki starlink ifike Tz, mizee isiyojua chochote kuhusu dunia ilipo inaziba mirija yote kwa vijana kuwa matajiri na kunufaika.

Vijana wenye akili na ideas kuwa billionaires wapo tatizo ni hawa vikongwe walioshikilia mpini, wachawi sana.

Wanataka kuona kila siku vijana wakiendesha boda, kufanya kazi za vibarua wa ujenzi, kazi za viwandani , ualimu, jeshini n.k...

Kama unataka kutimiza malengo, hii nchi si ya kuishi.

Shit hole kabisa.
Na kinachouma zaidi wanabadilishiwa wizara tu kila iingiapo serikali mpya


Yana mwisho lakini
 
Unakuta vijana wa nchi kama Kenya, Nigeria na Ghana wanapambana haswa na wanabuni au kufanya vitu hata ichukue miaka 10 lakini anafikia malengo yake

Ila vijana wetu ni kulalamika tu na kila anaepata wanasema ni ndagu
Ila wao nashangaa kwanini hawatajiri kwa hao wwchawi
Iba na wewe ukamatwe Bongo sio Naijeria wapo wanaijeria wanaishi BUNJU Ila janjajanja za kwao hawafanyii hapa wanaishia kua machinga tu wanauzia madela wakina Mama mitaani
 
Unakuta vijana wa nchi kama Kenya, Nigeria na Ghana wanapambana haswa na wanabuni au kufanya vitu hata ichukue miaka 10 lakini anafikia malengo yake

Ila vijana wetu ni kulalamika tu na kila anaepata wanasema ni ndagu
Ila wao nashangaa kwanini hawatajiri kwa hao wwchawi
Hiki ndo huwa nasema, Malengo ni kitu Cha lazima na Yana paswa yawe makubwa.
Ili hata uki shindwa kuwa jua, una weza kuwa nyota.
 
Back
Top Bottom