hujaelewa mada pia hao wote uliowataja ni njaa kali ikifika uchaguzi ndo utaelewa Vunjabei alitaka Nafasi gani sijui wajumbe wakamkataa....Mtoa mada anaongelea vijana waliojitafuta sio hawa wanaotegemea SirikaliUnaongelea vijana gani mbona wapo wengi tu. Kina diamond, harmonize, vunja bei, Sunderland, zuchu, vijana wengi tu wanahuo utajiri wa 1 usd million..
Zuchu ana utajiri wa 1 million usd😁😂🙌 embu kuwa serious mkuu 😁 kwenye hiyo list yak,o labda vunjabei ndo mwenye io networth ya $1 million Usd , na diamond, Sunderland simjui covid 19Unaongelea vijana gani mbona wapo wengi tu. Kina diamond, harmonize, vunja bei, Sunderland, zuchu, vijana wengi tu wanahuo utajiri wa 1 usd million..
Shilingi 2 mara 100000 ni laki mbili sio milioni mia mbiliUna App kibao zinafanya nini?
Apps zinazofanya miamala zinaingiza pesa sana, mfano mtu ana App inafanya miamala 100,000 kwa siku, kila muamala kwa kiwango kidogo kabisa akate Tshs 2 tu, zidisha kwa miamala hio 100,000 ni sawa na milioni 200 kwa siku.
Sasa mtu anaingiza milioni 200 per day huyo si bilionea? Tena hapo ni makadirio ya chini japo kuna kodi n.k lakini ni pesa ndefu.
Ndio kama huyo dogo na App yake ya jetpay anaingiza serious money...
Anachofanya anatafuta idea, anatafuta developer wa kufanikisha ideas zake za App anamlipa then anaendelea kusimamia Apps zake, haya ndio walifanya kina Zuckerberg, Elon, Billgate n.k hadi leo wana tech companies kubwa, huku Tz bado sana watu wamelala.
Utakuta ni vigogo walioko serikalini, ama uwekezaji wa wageni, ama ni kampuni kubwa yenye hisa nyingi za watu.,
Unataka kusema Mmiliki wa GasFasta ni billionaire wa Bongo? Mmiliki wa FundiUjenzi ni billionaire wa Bongo? Maana apps zote hizo zinaingiza Pesa km unataka kusema apps za Pesa zinalipa niambie ukwasi wa Mmiliki wa app za Bolt na Uber maana hizo apps zinaingiza Pesa balaa Ila hukuti wamiliki wakijitangaza wanajenga makanisa sijui upuuzi gani
Sorry fanya Tshs 200 kwa miamala milioni moja.Shilingi 2 mara 100000 ni laki mbili sio milioni mia mbili
Kwa siku app yake inafanya miamala milioni moja?Sorry fanya Tshs 200 kwa miamala milioni moja.
Mfano App za kubeti unahisi kwa siku inafanyika miamala kiasi gani?Kwa siku app yake inafanya miamala milioni moja?
Pole sana mkuu, SIO rahisi km unavyofikiria naijeria ni Nchi ya Pili kwa kua na watu wengi AfricaSorry fanya Tshs 200 kwa miamala milioni moja.
Taja ana app gani ya kubet hio jetpay ni ya kubet?Mfano App za kubeti unahisi kwa siku inafanyika miamala kiasi gani?
Ni zaidi hata ya milioni i think so...
Tunaongelea app yakeMfano App za kubeti unahisi kwa siku inafanyika miamala kiasi gani?
Ni zaidi hata ya milioni i think so...
uko sahihi mkuu,Vijana wetu wamepangana wanauza vocha na miamala kwa mtaji usiokuwa na wala hawawazi kufika mbali
Miaka nenda rudi unawakuta palepale
Nafikiri ni udumavu tu wa akili maana kuna watu wanajua na kupanga kuwa baada ya miaka kadhaa atakuwa amefika malengo flani
Na kinachouma zaidi wanabadilishiwa wizara tu kila iingiapo serikali mpyaComments tu za waTanzania humu zinaonyesha tayari wanejikatia tamaa na hawaamini kama kijana wa miaka 30 au chini kuwa bilionea, we unafikiri atatokea?
Huyu Blord naona ana pesa kweli, kawekeza kwenye tech, ana Apps kama 4 zinaingiza pesa, kama hio jetpay ni masuala ya miamala, hivyo kuna faida anapata kila mtu anapofanya muamala japo sijafuatiklia deep.
Hizi mambo kuna yule kijana mTanzania alikuja na App inaitwa Nala, sasa hivi NALA headquarter ipo Nairobi Kenya, ndio ujue Tanzania ina u$3nge kiasi gani...
Kama huyo jamaa wa NALA tayari angekuwa supported na serikali alikuwa ni bilionea mkubwa tu.
Vijana wanapiga harakati online hadi leo serikali wameshindwa kuwezesha paypal ifanye kazi Tanzania.
Internet ya Elon ile starlink imefika Nigeria hadi Kenya lakinj hii mizee yenye roho mbaya haitaki starlink ifike Tz, mizee isiyojua chochote kuhusu dunia ilipo inaziba mirija yote kwa vijana kuwa matajiri na kunufaika.
Vijana wenye akili na ideas kuwa billionaires wapo tatizo ni hawa vikongwe walioshikilia mpini, wachawi sana.
Wanataka kuona kila siku vijana wakiendesha boda, kufanya kazi za vibarua wa ujenzi, kazi za viwandani , ualimu, jeshini n.k...
Kama unataka kutimiza malengo, hii nchi si ya kuishi.
Shit hole kabisa.
Unakuta vijana wa nchi kama Kenya, Nigeria na Ghana wanapambana haswa na wanabuni au kufanya vitu hata ichukue miaka 10 lakini anafikia malengo yakeuko sahihi mkuu,
Sema vijanaMtoa mada anaongelea vijanawaliojitafuta
Iba na wewe ukamatwe Bongo sio Naijeria wapo wanaijeria wanaishi BUNJU Ila janjajanja za kwao hawafanyii hapa wanaishia kua machinga tu wanauzia madela wakina Mama mitaaniUnakuta vijana wa nchi kama Kenya, Nigeria na Ghana wanapambana haswa na wanabuni au kufanya vitu hata ichukue miaka 10 lakini anafikia malengo yake
Ila vijana wetu ni kulalamika tu na kila anaepata wanasema ni ndagu
Ila wao nashangaa kwanini hawatajiri kwa hao wwchawi
Wewe umefika Wapi? Mali za urithi na kwenu MPO 15 mtashikiana mapanga km wale watoto wa kariakoo waliokua wanagombea jengo la ghorofa 9 na Imamu wa Msikitiuko sahihi mkuu,
Hiki ndo huwa nasema, Malengo ni kitu Cha lazima na Yana paswa yawe makubwa.Unakuta vijana wa nchi kama Kenya, Nigeria na Ghana wanapambana haswa na wanabuni au kufanya vitu hata ichukue miaka 10 lakini anafikia malengo yake
Ila vijana wetu ni kulalamika tu na kila anaepata wanasema ni ndagu
Ila wao nashangaa kwanini hawatajiri kwa hao wwchawi