Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Labda atumie nguvu za wahindi wenzie, hapa ata ombwa percentage mpk ajute😁Tunaongelea kujiendeleza zaidi na kufika mbali
Mimi siwezi kuiba
Umemuona huyu mdosi wa bongo amebuni hiyo mita ya maji akipata tenda kaula View attachment 2980050
Serikali haijali,umasikini wetu ndio utajiri wao.Hapa Si misheria imekaa juu chini kila mtu anataka ale humo humo wasengerema wakiona fursa na wao wanataka waponee humo humo kwa mgongo wa Serikali
Kuna washenzi hawafanyi kazi Ila wanalipwa Mshahara wako kazi kukuza vitambi tu
katika vitu ambavyo sivi pendi na nili onywa na mentor wangu ni siasa.Jamaa kaongea na kupiga mule mule
Tz wachawi sana wa maendeleo
Wanasiasa wanaona mtu akiendelea basi anachukua nchi
Kitu wasichokijua ni kwamba sio wote tunapenda siasa
Diaspora wamepiga vita haswa
Post #11 kamaliza kila kitu kama tukiangalia upande mwingine
Kuna Jamaa nilimuona clouds tv miaka kama mitano nyuma,alibuni mfumo ambao ukinunua umeme units zinaongezeka hapo hapo bila kuingiza token kwenye meter,anasema kawasiliana na tanesko wanampuuza,Tunaongelea kujiendeleza zaidi na kufika mbali
Mimi siwezi kuiba
Umemuona huyu mdosi wa bongo amebuni hiyo mita ya maji akipata tenda kaula View attachment 2980050
Nani kamfananisha huyo dogo wa Nigeria na Steve Jobs, mbona unakuwa na akili kama za watoto wa primary, nimeongelea kina Steve kwa sababu kukupa mfano kwamba vijana wanaweza, pia mtu anaweza tajirika hata katika umri mdogo tu.Ushachanganya madesa nitakugonga maswali ambayo hautaweza kuyajibu maana kule juu umeandika kingine na huku chini unaandika kingine uzidi kupuyanga tu, huyo SIO programmer na hajui chochote kuhusu tech yeye anatafuta idea anatafuta developer wanadesign app ili apige Pesa umesema mwenyewe hii statement kule juu sasa unamfananisha vipi na hao developer's wa tangu na tangu una akili wewe? Huyo ni Mwizi TU wanaijeria wengi ni vibaka mtandaoni wanaiba sana hao mamwehu usiwafananishe na Steve Jobs yaan hawamfikii hakuna wa kumfikia Steve Jobs Nigeria hata huyo blord hamsogelei Steve Jobs hata robo copy na paste ideas unasema ni developer eti tech fyokofyoko kawa billionaire, waongopewe hao hao ukiweza leta valid source ya maelezo yako with reference aminifu sio udaku
yaani we Jamaa una zidi kudhirisha ni empty kabisa 😁😂😂.Ushachanganya madesa nitakugonga maswali ambayo hautaweza kuyajibu maana kule juu umeandika kingine na huku chini unaandika kingine uzidi kupuyanga tu, huyo SIO programmer na hajui chochote kuhusu tech yeye anatafuta idea anatafuta developer wanadesign app ili apige Pesa umesema mwenyewe hii statement kule juu sasa unamfananisha vipi na hao developer's wa tangu na tangu una akili wewe? Huyo ni Mwizi TU wanaijeria wengi ni vibaka mtandaoni wanaiba sana hao mamwehu usiwafananishe na Steve Jobs yaan hawamfikii hakuna wa kumfikia Steve Jobs Nigeria hata huyo blord hamsogelei Steve Jobs hata robo copy na paste ideas unasema ni developer eti tech fyokofyoko kawa billionaire, waongopewe hao hao ukiweza leta valid source ya maelezo yako with reference aminifu sio udaku
Wabongo wengi SIO Serikali TU wabongo wengi hio IPO kwenye damu wabongo wengi hawapendi wenzao watoboe kimaendeleo zaidi watakuwekea vikwazo, yaan wabongo ni kauzibe kila sehemu kila idara ni kuzibiana tu na kutiana umasikini yaan kuna mtu wewe akikuona unateseka na umasikini anafurahia sanaSerikali haijali,umasikini wetu ndio utajiri wao.
Huyo kolonyani wenu kutoka Nigeria usimfananishe na Steve Jobs kiapp chenyewe alichobuni hakipo World Wide kimebase Nigeria tu na wanaompaisha ni wanaigeria tu unamfananisha vipi na Zuckerberg mwenye FB inayopiga kazi Dunia nzima, Steve Jobs alianza kazi na Bill Gates baadae wakatemana Macintosh na Microsoft Windows Gates aliacha Chuo Zuckerberg aliacha Chuo Steve aliacha Chuo haya huyo kolonyani wenu aliacha Chuo wapi?yaani we Jamaa una zidi kudhirisha ni empty kabisa 😁😂😂.
Sasa jobs Ali tengeneza kipi kwa mikono yake?!!.
Yeye Ali kuwa ana kuja na wazo au idea, Kisha watu ndo Wana ifanya.
Watu Kama kina (Steve Wozniak). UNa mjua kwanza😁
.
Steve Ali jua kuja na ideas Kisha kuwa hamasisha tech guys wazi fanyie kazi.
Bali pia ubunifu Ali kuwa nao.
Hayo huyo dogo ana tofauti gani na Steve ??, Tena kina Steve Wali kuwa na mazingira mazuri ya kazi.
Na hata support kutoka kwa watu, tofauti na Huku africa
kumbe kuacha chuo ni sifa 🤣 😁, halafu we SI uli pinga pale juu Eti jobs mkali.Huyo kolonyani wenu kutoka Nigeria usimfananishe na Steve Jobs kiapp chenyewe alichobuni haipo World Wide unamfananisha vipi na Zuckerberg mwenye FB inayopiga kazi Dunia nzima, Steve Jobs aliamza na Bill Gates baadae wakatemana Gates aliacha Chuo Zuckerberg aliacha Chuo Steve aliacha Chuo haya huyo kolonyani wenu aliacha Chuo wapi?
Mkuu, sio kila app ina utajiri, huwezi kulinganisha app za udaku kama za kina Mange na app muhimu za miamala ya pesa, bitcoins, n.k.Hapo mwisho ndio umeongea Ila paragraphs za juu hakuna ulichoongea haujui Backdoor yake ni IPI Mzee mengine usiyazungumzie km hauyajui kwa kina, app 4 tu uwe billionaire Mange Kimambi angekua anakimbiza kuna watu wana app kibao na sio mabillionaire, Ila hapo kwenye SHITHOLE nimekuelewa vizuri
Kuna documentary inaitwa The triumph of the nerds,angalia Bill Gates,Steve Jobs,Na Steve Wozniak walivyoanza na kusimamisha kampuni zao Hadi zilipo Sasa..Jobs mtaalumu wa masuala ya umeme na kapiga sana kazi kiwandanikumbe kuacha chuo ni sifa 🤣 😁, halafu we SI uli pinga pale juu Eti jobs mkali.
Sasa tume kupa reason una badilisha mada Tena??!.
Halafu mazingira ya kazi Kwa Africa na ulaya una yaelewa kweli??.
Support kwa Ngozi nyeusi ni ngumu, so mtu ukiona katoboa lazima u salute mzee.
Angalia Kama kina Maxence Melo wanavyo banwa mbavu kibongo bongo.
Mara ndani, Mara toa kitu fulami
Una fikiri huyo mark ange weza hizo pigo???
hakuna asiye pinga Hilo, ila sio sawa na kina tony faddel au Wozniak mzee.Kuna documentary inaitwa The triumph of the nerds,angalia Bill Gates,Steve Jobs,Na Steve Wozniak walivyoanza na kusimamisha kampuni zao Hadi zilipo Sasa..Jobs mtaalumu wa masuala ya umeme na kapiga sana kazi kiwandani
Diamond platinumHabarini
Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani unaona kabisa huyu mtu hafeki life, haya ndo maisha yake halisi, efcc kule Nigeria kuna kipindi walimkamata, ila baadae walimuachia.
Hapa Tanzania kuna kina chief godlove (nahisi hana hela nyingi kihivyo anazoclaim anazo) na sirjeff Dennis (huyu tayari chali), Patrick ngowi (sahivi chali) dj ally b (asset yake nahisi ni nyumba 1 ya ghorofa ambayo inasemekana amepanga, na magari ambayo huenda ni ya kukodi ), don shafiney (hela zake marinjirinji)
Ina maana hapa Tanzania hakuna celebrity entrepreneur kijana ambaye ni self made mwenye networth walau ya $1 million usd hata mmoja, wanaijeria wametuzidi wapi?
Hata kwenye list ya matajiri top 10 Tanzania hamna mweusi hata mmoja, alikuepo Mengi ndo huyo alishafariki
Picha za huyo blord hapa chini ambae anampango wa kutumia $216,000 (300 million naira kujenga kanisa)
View attachment 2979854View attachment 2979855
Wanataka kuwa taifa masikini ili wao wazidi kujinufaishaKuna Jamaa nilimuona clouds tv miaka kama mitano nyuma,alibuni mfumo ambao ukinunua umeme units zinaongezeka hapo hapo bila kuingiza token kwenye meter,anasema kawasiliana na tanesko wanampuuza,
Akajaribu palepale kununua umeme,ukaingia,Hadi Leo yuko wapi??jambo zuri la kurahisisha maisha wao hawataki
mimi hapa soon.Habarini
Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani unaona kabisa huyu mtu hafeki life, haya ndo maisha yake halisi, efcc kule Nigeria kuna kipindi walimkamata, ila baadae walimuachia.
Hapa Tanzania kuna kina chief godlove (nahisi hana hela nyingi kihivyo anazoclaim anazo) na sirjeff Dennis (huyu tayari chali), Patrick ngowi (sahivi chali) dj ally b (asset yake nahisi ni nyumba 1 ya ghorofa ambayo inasemekana amepanga, na magari ambayo huenda ni ya kukodi ), don shafiney (hela zake marinjirinji)
Ina maana hapa Tanzania hakuna celebrity entrepreneur kijana ambaye ni self made mwenye networth walau ya $1 million usd hata mmoja, wanaijeria wametuzidi wapi?
Hata kwenye list ya matajiri top 10 Tanzania hamna mweusi hata mmoja, alikuepo Mengi ndo huyo alishafariki
Picha za huyo blord hapa chini ambae anampango wa kutumia $216,000 (300 million naira kujenga kanisa)
View attachment 2979854View attachment 2979855
MnoBlack Sniper we ni muumini wa joint venture??!.
Basi consider it done, Nita kupenyezea taarifa.Mno
Ila kwa huko ni shughuli kupata waaminifu
Tuko pamojaBasi consider it done, Nita kupenyezea taarifa.