Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na mkoa, karibu Tanga tuna open Space kama zote, garden na makochi unaweza uka lala kabisaKwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Deep sea, kona ya Toyota, Raskazone beach, njia panda ya Chumbageni, Mbele ya Tanesco kama unaenda Shule ya mkwakwani, Raskazone kwenye Bomba la maji machafu zipo nyingi mno zaidi ya 3Tanga zipo kama mbili au tatu
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
ChoiceVariable waambie ndugu zako warudishe open spaces za umma, miji inahitaji sehemu za kupumulia.Zilikuwepo wakauza.
Zilindeni kwa wivu mkubwa sana zisije zikatwaliwa na mabepari uchwara.Deep sea, kona ya Toyota, Raskazone beach, njia panda ya Chumbageni, Mbele ya Tanesco kama unaenda Shule ya mkwakwani, Raskazone kwenye Bomba la maji machafu zipo nyingi mno zaidi ya 3
Open space zilikuwepo ila nyingiKwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?