Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo uolewehama!
Kwanza palipo na hivyo vispika huwa siendi kununuaKariakoo yenyewe full kelele , anzia karume hadi mnazi ni vipaza kila hatua, wasichofahamu kama mtu anataka kitu atakuja tu kununua bila hata makelele
leo ndo mnajua tukijadili haya mambo humu mnasema tunaingilia uhuru wa watu!.Mambo ni vanga vanga, mtu akiamua anafungua kanisa nyumbani kwake, hapo hapo kuna vigodoro na kibanda umiza mara genge ukivuka nyumba ya pili kuna guest bubu ni mvurugiko tu
Unaongelea open spaces, SEMA only kutenganisha barabara na soko imetushinda, open spaces ni anasa, waenda Kwa miguu hawana pa kupita, DSM city AibuKwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
🙄 kapeace wewe ndo wakunijibu hivi! hili limeniuma umeutukana utu wangu!Njoo uolewe
Ni wapi ulijadili nikasema mnaingilia uhuru ? Hebu jishikilieleo ndo mnajua tukijadili haya mambo humu mnasema tunaingilia uhuru wa watu!.
makanisa yamejaa mitaani kelele mtindo mmoja,majalala kila mahali tuna jamii ambayo haijastaarabika!
Sasa nihame unajua nini kimeniweka hapa?🙄 kapeace wewe ndo wakunijibu hivi! hili limeniuma umeutukana utu wangu!
zijishikilii!Ni wapi ulijadili nikasema mnaingilia uhuru ? Hebu jishikilie
sasa hata kama ndo unijibu niolewe kweli... dah!Sasa nihame unajua nini kimeniweka hapa?
Kwa DSM Kuna nyingine cloud's radio walijifanya kuziendeleza ila ni siku Nyingi sijajua mikataba hewa uliishia wapi!?Kwa viongozi waroho wanaouza hadi open space wajenge magorofa , dar , mbeya , mwanza, Arusha kulitakiwa kuwepo na bustani za watu kupumzika ambazo zina mandhari nzuri yenye kueleweka na sio iwe moja mfano Dar kigamboni , Tabatha, mbezi, kote kila watu walipaswa wawe na bustani zao na kwa mkoa wenye joto kama Dar kunakua na bwawa la kuogelea kabisa wananchi wawe wanaoingia bure wanaondoa misongo yao ya mawaza
Utajishikilia tuzijishikilii!
Haya polesasa hata kama ndo unijibu niolewe kweli... dah!
labda unishikilie wewe! na mara hii mpk kiumane yani jino kwa jino ngiri kwa ngiri!Utajishikilia tu
Ata mtaani kupata sehemu za kupumzika au watoto kucheza ni ngumu. Idara ya mipango miji imefeli. Angalau kidogo jiji la Tanga walijitahidi kuna gardens.Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
haya ahsante...🤣Haya pole
Hao watu wa kupumzika wenyewe watoke wapi wakati watu wanatembea mpaka usiku wa manane pamoja na kukesha kwenye night club, haijulikani ni weekend wala siku za kazi.Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?