Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watawala wetu huwa hawajifunzi wakienda huko nje na kutamani kupapendezesha kwao wanapotokea kuwe kama huko kwa waliostaarabika??TZ nchi ya kipumbavu sana. Watu wa mipango miji sijui wanasomea ujinga huko shuleni hakuna sehemu hata moja imepangika hii nchi.
Coco beach ilikua a public beach leo pamejenga hadi majini kabisa.
Mbeya lilikuwepo eneo la wazi karibu na uwanja wa sokoine leo limekua soko.
New York kuna central park. Chicago kuna Lake shore drive haya ni maeneo ya wazi katikati kabisa ya miji na hamna mtu anagusa ila bongo wakiona uwazi tu ni kuweka frame, club, kanisa au msikiti. Nchi ya kipumbavu sana hii.
Uchoyo, ubinafsi na siasa vimetawala yaani umaskini wa kufikiri.Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Tz ni nchi ya hovyo sana! Majizi ni mengi sana!Zilikuwepo wakauza.
Magomeni pale si wamepamega wameweka ile Sea breeze Night ClubMbona hapa Dar Open space zipo ?
Magomeni Kanisani na kule Posta ya zamani ?
Kuna garden mpaka makochi ya Simenti mbele pale yametengezwaMagomeni pale si wamepamega wameweka ile Sea breeze Night Club
Hawa watawala wetu huwa hawajifunzi wakienda huko nje na kutamani kupapendezesha kwao wanapotokea kuwe kama huko kwa waliostaarabika??
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Open spaces ziwekwe na mgambo wa majiji wafanye kazi yao.Upumzike kwa raha gan... wakiweka kesho utakuta mtu kapanga pipi /viatu au meza ameshageuza kizimba cha biashara mwishoe utazungushwa ukuta na bango la kupiga marufuku kuingia
We huoni vituo vya basi watu wanavyopanga bidhaa
Tuko nyuma mda Tutapumzika mbinguni
Znz zipo za kutoshaKwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?