Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ule uchafu unatia sana kinyaaKuna open garden inaitwa forodhani pale Tanga. Mchana ni sehemu ya watu kupumzka, ucku ni danguro, watu wanakulana kwny hvyo vikochi vya zege, unafika asubuhi mida ya saa 4 unapoa zako unakutana na likondom hapo. Dahh tokea nilivokutana na hii hali sikuwa natimba tena ile garden ya forodhan.
Watu wa ardhi na Mipango miji ndio wa kulaumiwa. Wanachowaza ni rushwa tu , kupendezesha miji na kutengeneza recreational sites sio kipa umbele.Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Watafanya kaz saa ngap sasa bongo mtu atatoka asubh na maji ya kuzungia wee atamaliza sku nzma kla sku kwa kukaa free mwsho wa sku atakuwa anawaza atapataje connection ya kwenda kwa P dydd awe bilionea au kbaka mm naona syo utamaduni wetu ss Waafrka tunatakiwa tupge kaz pumzka kwakoPosta pale zipo...sema kwa bongo huwez kupumzika maana inakua sehem ya madalali kuuza bidhaa zao
Watu wataona kama unatania ila ni kweliDar kulikuwa na open spaces kila sehemu na ma garden, kuanza kuingia wakuja, mkaanza kunya na kulala hovyo kwenye open spaces.
Wacha watu wadinya e bwana...perfectly natural thing to doChangamoto nyingine kubwa ya sisi Watz IPO sehemu moja.
Sehemu ya kupumzikia inageuzwa guest house
Mfano ukienda mwembe yanga ni aibu Sana kiukweli.
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Tatizo hili la kukosekana kwa Open Spaces kwa Tanzania limesababishwa na janga la Kifo cha Mipango-miji katika nchi. Ardhi kubwa sana katika nchi hii haipo katika Mipango-miji na Wala haijapimwa. Miji mingi Sana ipo shaghala-baghala, ni Squatters.Kwa viongozi waroho wanaouza hadi open space wajenge magorofa , dar , mbeya , mwanza, Arusha kulitakiwa kuwepo na bustani za watu kupumzika ambazo zina mandhari nzuri yenye kueleweka na sio iwe moja mfano Dar kigamboni , Tabatha, mbezi, kote kila watu walipaswa wawe na bustani zao na kwa mkoa wenye joto kama Dar kunakua na bwawa la kuogelea kabisa wananchi wawe wanaoingia bure wanaondoa misongo yao ya mawaza
Kemondo stand ipo wapi/ sehemu gani hapa Mwanza mjini?. Kuna wakati huwa natamani kukaa mjini nipoteze masaa lkn naishia kutembea tembea tu.Meanza ipo moja pale kemondo stand japo sidhani kama privacy ya mtu inazingatiwa au ndo kukurupukiana tu kulazimisha stories