Kwanini Tanzania hatuweki open spaces za watu kupumzika katikati ya miji?

Kwanini Tanzania hatuweki open spaces za watu kupumzika katikati ya miji?

Nahisi wanasubiri barabara toka znz to dar wasihamishie hukuu
 
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Open space zipo. Kila Mkoa, ulizia wenyeji
 
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Manzese waliweka open space karibu na stend, MASHEIKH wakaona ndio sehemu ya kukachifu dini nyingine, wasijue kwamba YESU ametajwa Mara nyingi katika Koran kuliko mtume Mohammed SAW. Lkn pia mama yake Yesu ametajwa ktk Quran kuliko mwanamke mwingine.
 
Manzese waliweka open space karibu na stend, MASHEIKH wakaona ndio sehemu ya kukachifu dini nyingine, wasijue kwamba YESU ametajwa Mara nyingi katika Koran kuliko mtume Mohammed SAW. Lkn pia mama yake Yesu ametajwa ktk Quran kuliko mwanamke mwingine.
Hawa watu wenye msimamo mkali kama FaizaFoxy huwa changamoto sana sometimes.
 
Zimetumiwa kwa matumizi mengine..., Tabia za kutofuata Mipango miji...,

Viwanja vya wazi na michezo wanaweka magenge masoko na machinga, Kuna shule hazina hata uwanja wa michezo yaani watoto wapo ghorofani... In short no long term thinking
 
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Kwa dar zipo kadhaa kama pale nbc posta, mwembe yanga, magomeni garden.
Arusha kuna st. Theresa, pale kwa mkuu wa mkoa ingawa ni madogo madogo hayo maeneo
 
Kwa bongo zitageuzwa madangulo labda wawek kikomo mwisho saa 12 jion
Maan huku mitaan viwanja vya mpira na mashulen usiku ni fuvkgni place
 
Kwa bongo zitageuzwa madangulo labda wawek kikomo mwisho saa 12 jion
Maan huku mitaan viwanja vya mpira na mashulen usiku ni fuvkgni place
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo nuksi open space yenye garden nzuri hawachelewi kuanza kunya ovyo na kuchafua mazingira
Pale muhimbili tu ilibidi wafukuzwe na ipigwe marufuku, sehemu nzuri ya kupumzika watu wanakuja kikundi kama kikundi cha ngoma, wanataka washinde wamejilaza hapo tangu asubuhi wanasubiria jioni wakamuone mgonjwa mmoja....haijakaa kistaarabu kabisa
 
Pale muhimbili tu ilibidi wafukuzwe na ipigwe marufuku, sehemu nzuri ya kupumzika watu wanakuja kikundi kama kikundi cha ngoma, wanataka washinde wamejilaza hapo tangu asubuhi wanasubiria jioni wakamuone mgonjwa mmoja....haijakaa kistaarabu kabisa
Hivi hawa watu wa aina hii wanakuwa hawana kazi za kufanya au?!
 
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Utashangaa kama kuna seat pale za kupumzika wamachinga washafika wapenga viatu na nyanya, na chupi
 
Hivi hawa watu wa aina hii wanakuwa hawana kazi za kufanya au?!
Ni hawana kazi, wangekua na kazi wasingepata huo muda wa kushinda hospital tangu asubuhi tena kundi la watu wengi.....

Na hawa ukitaka kuwakimbiza wasirudi waambiwe mgomjwa anahitaji damu, waje kuchangia.....wanapotea 😹
 
Deep sea, kona ya Toyota, Raskazone beach, njia panda ya Chumbageni, Mbele ya Tanesco kama unaenda Shule ya mkwakwani, Raskazone kwenye Bomba la maji machafu zipo nyingi mno zaidi ya 3
Kwa Tz mkoa wenye open spaces nyingi nadhani ni Tanga. Tena zile zilizopangiliwa sio local
 
Mambo ni vanga vanga, mtu akiamua anafungua kanisa nyumbani kwake, hapo hapo kuna vigodoro na kibanda umiza mara genge ukivuka nyumba ya pili kuna guest bubu ni mvurugiko tu
Uyo ndo mtu mweusi. Hajaumbiwa ustaarabu kwa kwel.
 
Dar ya leo hata maeneo ya waenda kwa miguu(pedestrian walkway) punde hayatakuwepo. Maana yamegezwa parking za viduka vilivyojigeuza drive thru shops
 
sehemu kama forodhani ...i wish iwepo mbeya

kuna upuuzi mwingi sana Tz
Kuna open garden inaitwa forodhani pale Tanga. Mchana ni sehemu ya watu kupumzka, ucku ni danguro, watu wanakulana kwny hvyo vikochi vya zege, unafika asubuhi mida ya saa 4 unapoa zako unakutana na likondom hapo. Dahh tokea nilivokutana na hii hali sikuwa natimba tena ile garden ya forodhan.
 
Back
Top Bottom