Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Makao makuu ya nchi kuna Nyerere square. Ni kituko!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Unayafahamu majukumu ya Madiwani?Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Last born mna mambohaya ahsante...🤣
na naona unaendelea kuyatafuta niache kwanza nitulize propera maana imechemka vilivyo...🤣Last born mna mambo
Kumbe unaish daslamYani jiji la dar liko ovyo mno, kuna hao waliouza maeneo ya wazi na pia kuna wakuitwa machinga ni janga huko masokoni tu wamejazana wao hadi sehemu za wateja kusimama kununua bidhaa wapo wao, hizo opening space watakuja na vitoroli vyao wajazane, ila jiji hili tunaishi kwa mateso sana
We umeona msafara huo wa vx 1000!! Ushauza mtu huko wewe kwani sikujui ndo maana ukanitimua nihame kumbe una agenda zakomalizana nae si umwambie kama ulivyoniambia mimi saa zile mpk ukanipa pole..😅
by the way mi mwenyewe natafuta mchumba vipi unae mimi ntakuja na range rovers 10000!We umeona msafara huo wa vx 1000!! Ushauza mtu huko wewe kwani sikujui ndo maana ukanitimua nihame kumbe una agenda zako
Nyie ndo mlionunua opening space zote za daslamby the way mi mwenyewe natafuta mchumba vipi unae mimi ntakuja na range rovers 10000!
sisi ndo freemason!Nyie ndo mlionunua opening space zote za daslam
Moshi zipo za mwaga.Tanga zipo kama mbili au tatu
Mkuu mbn unakabia kwa juu tena?by the way mi mwenyewe natafuta mchumba vipi unae mimi ntakuja na range rovers 10000!
ubaya ubwelaMkuu mbn unakabia kwa juu tena?
Labda malengo yetu ni kupumzika mbinguni🤣🤣🤣🤣Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?