Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mkono wa Nchi za Scandinavia mkuu tupo salama.Zilindeni kwa wivu mkubwa sana zisije zikatwaliwa na mabepari uchwara.
kweliDeep sea, kona ya Toyota, Raskazone beach, njia panda ya Chumbageni, Mbele ya Tanesco kama unaenda Shule ya mkwakwani, Raskazone kwenye Bomba la maji machafu zipo nyingi mno zaidi ya 3
Kwasababu ya mabadiliko ya tabia nchiKwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Ukiweka akija mwekezaji na hela zake anajenga hata sheli {kituo cha kujazia mafuta}Kwanini Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza hakuna open spaces katikati ya miji kama Nairobi wakati Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya?
Machinga ndio wapiga Kura wenyewe, ndio maana Wal-Mart walikua wanafanya tafiti za kujenga malls kwenye miji mikubwa Tanzania wakaondoka na jibu kua maduka ya manunuzi kwa Tanzania hayawezi kufanya vizuri maana kila nyumba ina kibanda, yaani matumizi ya maeneo kibiashara na makazi haieleweki ndio maana utakuta kwenye makazi kuna gest za showtime, bar, danguro, kabisa, msikiti , yaani balaa tupuYani jiji la dar liko ovyo mno, kuna hao waliouza maeneo ya wazi na pia kuna wakuitwa machinga ni janga huko masokoni tu wamejazana wao hadi sehemu za wateja kusimama kununua bidhaa wapo wao, ila jiji hili tunaishi kwa mateso sana
Mambo ni vanga vanga, mtu akiamua anafungua kanisa nyumbani kwake, hapo hapo kuna vigodoro na kibanda umiza mara genge ukivuka nyumba ya pili kuna guest bubu ni mvurugiko tuMachinga ndio wapiga Kura wenyewe, ndio maana Wal-Mart walikua wanafanya tafiti za kujenga malls kwenye miji mikubwa Tanzania wakaondoka na jibu kua maduka ya manunuzi kwa Tanzania hayawezi kufanya vizuri maana kila nyumba ina kibanda, yaani matumizi ya maeneo kibiashara na makazi haieleweki ndio maana utakuta kwenye makazi kuna gest za showtime, bar, danguro, kabisa, msikiti , yaani balaa tupu
hama!Yani jiji la dar liko ovyo mno, kuna hao waliouza maeneo ya wazi na pia kuna wakuitwa machinga ni janga huko masokoni tu wamejazana wao hadi sehemu za wateja kusimama kununua bidhaa wapo wao, hizo opening space watakuja na vitoroli vyao wajazane, ila jiji hili tunaishi kwa mateso sana