Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama ambavyo Rwanda ameingia makubaliano na msumbiji ili kulinda amani pale kwao kwa makubaliano ya makampuni ya kinyarwanda kunufaika zaidi kibiashara.
M23 ni proxy moja matata sana sitaki kusema mengi ila mpaka watz wamo humo humo huwezi kuelewa kirahisi rahisiHapa inamaana Tz ipigane na Kagame na M7
maana hawa ndiyo hiyo M23
Tanznaia ndio yenye shida au congo? Tumia akili kidogo basi.Ni kama ambavyo Rwanda ameingia makubaliano na msumbiji ili kulinda amani pale kwao kwa makubaliano ya makampuni ya kinyarwanda kunufaika zaidi kibiashara.
Congo ni kubwa jinga.Ni kama ambavyo Rwanda ameingia makubaliano na msumbiji ili kulinda amani pale kwao kwa makubaliano ya makampuni ya kinyarwanda kunufaika zaidi kibiashara.
Jeshi la Tz sio kwaajili ya vita huku ni kwaajili ya Kamshahara + posho pesa ya vinywaji nyama choma na nyagi mwisho kulinda chama mambo ya vita waachie wenyewNi kama ambavyo Rwanda ameingia makubaliano na msumbiji ili kulinda amani pale kwao kwa makubaliano ya makampuni ya kinyarwanda kunufaika zaidi kibiashara.
Asante karibu hapa twalipo upate 🐝Amani ya Tanzania inalindwa kwa kila namna,ukiomba kulinda amani DR CONGO manake unakaribisha hao waasi kuingia nchini, sisi kama nchi, tuingie huko kwa mgongo wa EAC majeshi ya tanzania ndo yaingie huko.
Na wewe pia ni mjinga toka lini waasi wakasambaratishwa na mercenaries.Congo ni kubwa jinga.
Lazima na Congo inanufaika na hao wahuni, maana inafadhili FDRL.
Congo ni tajiri mkubwa wa madini, inashindwa nini kukodi wahuni (mercenaries) wakasambaritishe hao M23??
Tuko vizuri kivita tuna polisi wa kutosha na makomandoo wenye uwezo mkubwa pia tuna magari ya kutosha ya washawashaAmani ya Tanzania inalindwa kwa kila namna,ukiomba kulinda amani DR CONGO manake unakaribisha hao waasi kuingia nchini, sisi kama nchi, tuingie huko kwa mgongo wa EAC majeshi ya tanzania ndo yaingie huko.
Kwahiyo suluhisho nini, wewe pimbi?Na wewe pia ni mjinga toka lini waasi wakasambaratishwa na mercenaries.
Yaani tuombe matatizo ya watu, wakati hapa kwetu yamejaa tele.
Nchi ingepata faida za kibiashara kupitia hiloJeshi la Tz sio kwaajili ya vita huku ni kwaajili ya Kamshahara + posho pesa ya vinywaji nyama choma na nyagi mwisho kulinda chama mambo ya vita waachie wenyew