Kwanini Tanzania isiombe kuingia mkataba na DRC ili kuwaondoa waasi wa M23 ?

Kwanini Tanzania isiombe kuingia mkataba na DRC ili kuwaondoa waasi wa M23 ?

Mwambie amiri jeshi wako atangaze vita dhidi ya hao m23 ndio utajua hujui unafikili wale ni vibaka wa kibiti
Na isiwe ishu ya kutangaza, yawe makubaliano ya watu kadhaa wa nchi husika ndyo mpango utafanikiwa
 
Huo ubavu inao?

Je, unajua kisa cha vita hiyo? Mpaka sasa hali hii imesababishwa na wanaovamia mambo wasiyoyajua. Mbona halijaingia makubaliano na Somalia au Wester African countries? Bro, moto wa vita anaujua anaepigana siyo anaesoma magazeti. Tanzania ina masrhi gani kwenye hiyo vita? Au unaonaga wale jamaa waliovimba vifua ukadhani wanafika na kumaliza kesi? Haijawahi kutokea vita kati ya watu wawili,kuwepo upande usio na mtu pembeni. Samia anasemaje kuhusu wazo lako? Hii vita wasipongalia, kuna nchi nyingine zinaenda kuchapana waziwazi. MONUSCO ilisema haina uwezo wa kupigana na M23. Leo JWTZ ni bora kuliko M23! Kuna watu wana mazoezi ya kutosha kwenye vita babuuuu. Af,mawazo hayo niyaite ya kijinga ndo chanzo cha haya yote. Hizi nchi zote si za umoja wa Africa mashariki? Unakumbuka kazee ka Nigeria majuzi kakiandaa kuivamia nchi jirani? Mussa Fakki wa African Union akabariki uvamizi huo? Tatizo la Africa ni sisi wenyewe. Ndio maana M23 iliwatahadhalisha kutoingilia hii vita. Uliza Burundi mpaka inaondoa majeshi yake ilikuwaje!!!!

Popote ukiona vita, jua kuna mawili:
-Masrahi na
- kulinda usalama wa taifa.

Je, Tanzania ina nini katika hayo mawili!? Vita vile vimeshakuwa na Retreat no Surrender. Fuatilia utajua kwa nini!!!
 
Huyo kagame mwenyewe anaiogopa Tz ndyo maana huishia kutoa maneno ya vijembe tu
Tatizo lako unafikiri m23 ni kikundi cha panya rodi, hilo ni jeshi kamili na wana silaha za maana za kivita na kila siku wako field wanaijua vita kwenye sura halisi
 
Wazo zuri. Sijui tunafeli wapi??? Kwanza ingeboost ajira kishenzi hapa nchini. Unaweza ukatengeneza Tena jeshi la vijana 300,000 hadi 500,000 kwa ajili ya Congo TU. Unaingia mkataba kulipwa kwa madini au mazao ya misitu kama mbao. Then unauza nje.
Yaani kama nchi hatuko strategically kabisa kabisa.
 
Wazo zuri. Sijui tunafeli wapi??? Kwanza ingeboost ajira kishenzi hapa nchini. Unaweza ukatengeneza Tena jeshi la vijana 300,000 hadi 500,000 kwa ajili ya Congo TU. Unaingia mkataba kulipwa kwa madini au mazao ya misitu kama mbao. Then unauza nje.
Yaani kama nchi hatuko strategically kabisa kabisa.
Unarahisisha mambo sio
 
Unarahisisha mambo sio
Wenzio wanauza manpower huko kwenye majeshi ya Ukraine, urusi. North Korea wapo Urusi walilipwa Michele sijui ngano.... Wagner through Russia wapo nchi kibao za Africa...
Hamna kurahisisha, congo imeoza ile lakini katika uozo huo na Tanganyika inaweza ikaponea hapo hapo. Tatizo la ajira si unaliona na unalijua.!???
 
Wenzio wanauza manpower huko kwenye majeshi ya Ukraine, urusi. North Korea wapo Urusi walilipwa Michele sijui ngano.... Wagner through Russia wapo nchi kibao za Africa...
Hamna kurahisisha, congo imeoza ile lakini katika uozo huo na Tanganyika inaweza ikaponea hapo hapo. Tatizo la ajira si unaliona na unalijua.!???
Akili huna mzee unatafuta vita na France sio yaani njaa zako ukaponee congo eti endelea kuiingiza Chaka nchi mfaransa aipoteze unafikiri m23 ni vibaka
 
Akili huna mzee unatafuta vita na France sio yaani njaa zako ukaponee congo eti endelea kuiingiza Chaka nchi mfaransa aipoteze unafikiri m23 ni vibaka
Mission ikifanywa na wakuu wa hizi nchi mbili tu hakuna mtu atajua kwamba Tz ndyo wamehusika kusambaratisha M23. Ni akili tu
 
Back
Top Bottom