Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤔 🤔 🤔M23 ni proxy moja matata sana sitaki kusema mengi ila mpaka watz wamo humo humo huwezi kuelewa kirahisi rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔 🤔 🤔M23 ni proxy moja matata sana sitaki kusema mengi ila mpaka watz wamo humo humo huwezi kuelewa kirahisi rahisi
Wewe ndyo umenielewa maana yangu👏👏👏👏Wazo zuri. Sijui tunafeli wapi??? Kwanza ingeboost ajira kishenzi hapa nchini. Unaweza ukatengeneza Tena jeshi la vijana 300,000 hadi 500,000 kwa ajili ya Congo TU. Unaingia mkataba kulipwa kwa madini au mazao ya misitu kama mbao. Then unauza nje.
Yaani kama nchi hatuko strategically kabisa kabisa.
Unawajua FDRL??Unadhani haijawahi kukodi mercenaries?
Boko Haram ni kikundi cha magaidi.Nigeria waliwatumia Mercenaries, mbona Boko Haram waliisoma namba..