Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kwahiyo jwtz ni imaraMadhara yapo ila ukiwa imara kijeshi hakuna Tena hayo madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo jwtz ni imaraMadhara yapo ila ukiwa imara kijeshi hakuna Tena hayo madhara
Unarahisisha etiAfrika mashariki hakuna nchi inaiweza Tanzania kijeshi
Ukweli Gani usilete ngonjera mzeeUkweli ndyo huo
We naona unaleta stori za zilipendwa sio siku m23 wakiingiaa ya nitakuja kufufua huu uziHuyo kagame mwenyewe anaiogopa Tz ndyo maana huishia kutoa maneno ya vijembe tu
Hatuwawezi m 23Hayo madini ambayo ilibidi apewe Russia ndyo nafasi ya serikali kuyachukua ili wapewe support kijeshi
Achana na kipindi Cha jk, kagame mpaka kesho anaichukia Tz kwa mchango wake kijeshi pale goma. Sema Tanzania akienda kwa mwamvuli wa UN au EAC anakuwa under control ndyo maana ishu ya kuwaondoa M23 inakuwa ngumWe naona unaleta stori za zilipendwa sio siku m23 wakiingiaa ya nitakuja kufufua huu uzi
Mzee embu acha ujinga hapa m23 wanadhaminiwa mpaka na France ndio mjinga kama wewe tanzania upeleke kijeshi chako kikawatoe unaleta utani etiAchana na kipindi Cha jk, kagame mpaka kesho anaichukia Tz kwa mchango wake kijeshi pale goma. Sema Tanzania akienda kwa mwamvuli wa UN au EAC anakuwa under control ndyo maana ishu ya kuwaondoa M23 inakuwa ngum
Pamoja na hayo ila Mimi binafsi naona kama jeshi la Congo haliko well organized kwa mapambano yoyote kwasababu Kila shambulizi linaloanzishwa na vikindi vya waasi jeshi lazima chaliMzee embu acha ujinga hapa m23 wanadhaminiwa mpaka na France ndio mjinga kama wewe tanzania upeleke kijeshi chako kikawatoe unaleta utani eti
Jeshi kwenye siasa Tena? Unataka wapindue nchi?Unataka tujitwishe majukumu makubwa wakati tu hapa nyumbani Nchi inaharibiwa na majambazi wa chama kinachofanana na majani ya bangi.Tuikomboe kwanza Nchi yetu ndiyo tujitwishe hayo ya DRC
Mwambie amiri jeshi wako atangaze vita dhidi ya hao m23 ndio utajua hujui unafikili wale ni vibaka wa kibitiPamoja na hayo ila Mimi binafsi naona kama jeshi la Congo haliko well organized kwa mapambano yoyote kwasababu Kila shambulizi linaloanzishwa na vikindi vya waasi jeshi lazima chali