Kwanini Tanzania kama Taifa limebariki Watangazaji vilaza ndio wahudumu kwenye Tasnia ya Habari?

Kwanini Tanzania kama Taifa limebariki Watangazaji vilaza ndio wahudumu kwenye Tasnia ya Habari?

Yaani wewe utachomwa motooooo hadi ukufwe tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mkalimani naye kachemsha
Mkalimani nayeye kapita mulemule πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi kweli Taifa hili litajengwa kwa wananchi kuwasikiliza watu kama akina Gerald Hando, Zembwela, Kitenge, Baba levo, Diva, Akina Dauda, Lwambano seriously?

Ule weledi wa tasnia habari umeenda wapi wa kuwa na wasomi waliopita Diploma na degree za mass communication uko wapi?

Aibu sana kama Taifa.

Ni hayo tu.

Pang Fung Mi.
We una kipaji gani
 
Hii mada ni sensitive sana ila utaona inakosa wachangiaji wengi!
Kwa mtizamo wangu walaji (wasikilizaji/watazamaji) wa bidhaa ndio kimekuwa chanzo cha hili tatizo.
Tunataka uchambuzi wa mpira tu, habari tupa kule.
 
Eti mtu bogus kama kitenge nae ni head of department ya sport hapo wcb!
 
Back
Top Bottom