figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.
Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.
Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho.
Viongizi wa Tanzania jitafakarini
Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.
Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.
Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho.
Viongizi wa Tanzania jitafakarini