Kwanini Tanzania Masikini? Masaa mawili tunamsubiri Naibu Waziri Mkuu Biteko apite

Kwanini Tanzania Masikini? Masaa mawili tunamsubiri Naibu Waziri Mkuu Biteko apite

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.

Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.

Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho.

Viongizi wa Tanzania jitafakarini
20231229_161014.jpg

20231229_160732.jpg
20231229_160205.jpg
20231229_160158.jpg
20231229_155825.jpg
20231229_155831.jpg
 
Salaam Wakuu,

Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.

Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.

Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi?

Viongizi wa Tanzania jitafakarini
Umekosea sana uliposema ''viongozi wa Tanzania jitafakarini''. Wajitafakari nini wakati hawana cha kutafakari? Wananchi ndiyo wanaotakiwa kujitafakari jinsi walivyogeuzwa kama manyumbu ya kule Manyara mbugani. Ingekuwa vizuri sana kama wangeongeza masaa ya kusubiri na kusema siku kiongozi anapita eneo fulani, hakuna ruhusa raia kupita hilo eneo siku nzima.
 
Umekosea sana uliposema ''viongozi wa Tanzania jitafakarini''. Wajitafakari nini wakati hawana cha kutafakari? Wananchi ndiyo wanaotakiwa kujitafakari jinsi walivyogeuzwa kama manyumbu ya kule Manyara mbugani. Ingekuwa vizuri sana kama wangeoza masaa ya kusubiri na kusema siku kiongozi anapita eneo fulani, basi hakuna ruhusa raia kupita hilo eneo siku nzima.
Upo sahihi. Eti mteule wa Samia kavimba kichwa anatutesa Wabara.

Tunaomba mtusaidie turuhusiwe kutoka hapa Bukombe. Tupo chini ya miguu yenu Waheshimiwa.

Watoto wanateseka Maporini
20231229_161515.jpg
20231229_161523.jpg
20231229_161540.jpg
 
Ishu sio viongozi bali ni wasimamizi wa usalama barabarani ambao timing ya kuzuia magari huwa wanaikosea
Wote tu, toka viongozi, wasimamizi wa barabarani na wananchi..!! Waziri mkuu alishawahi sema juu ya jambo kama hili kwenye msafara wake, ingawa inakuwaga unafiki tu maana baada ya hapo yanaendelea yaleyale yaliyoonekana kukemewa..!!
 
Zamani tulikuwaga tunapishana nao, kupuuza huku sokoine akafa, wazifi mkuu wa sweden alalf palme alikuwa anaenda sokoni kama raia wa kawaida akapigwa risasi alafa, ndo maana tumestuka, usalama kwanza
 
Zamani tulikuwaga tunapishana nao, kupuuza huku sokoine akafa, wazifi mkuu wa sweden alalf palme alikuwa anaenda sokoni kama raia wa kawaida akapigwa risasi alafa, ndo maana tumestuka, usalama kwanza
Nakubaliana na wewe kuhusu usalama wa viongozi lakini a point of correction.Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden Olof Palme hakupigwa risasi akienda sokoni bali alikuwa akitoka kwenye jumba la kuonyesha filamu akiwa na mkewe Lisbeth Palme.
 
Tanzania itakuwa nchi maridadi pindi tu watu wake watakapoamua kuacha UNAFIKI.
 
Asanteni Wakuu, Biteko kapaki Pembeni ili Magari yalosimama zaidi ya masaa mawili yapite. RTO wq Shinyanga anayakiwa ajiuzulu. Hii ni international road. Kusimamisha magari masaa mawili na dakika 45 si sawa. Mmalori mengine yanebeba sumu na mengine ya kulipuka.
Anyway, asante kwa msaada wenu Wakuu. Tumeruhusiwa
 
Asanteni Wakuu, Biteko kapaki Pembeni ili Magari yalosimama zaidi ya masaa mawili yapite. RTO wq Shinyanga anayakiwa ajiuzulu. Hii ni international road. Kusimamisha magari masaa mawili na dakika 45 si sawa. Mmalori mengine yanebeba sumu na mengine ya kulipuka.
Anyway, asante kwa msaada wenu Wakuu. Tumeruhusiwa
Naunga mkono hoja
 
Salaam Wakuu,

Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.

Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.

Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho.

Viongizi wa Tanzania jitafakarini
View attachment 2856647
View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646
Hapo ndipo tofauti kati ya mheshimiwa na mnyonge ilipo. Wakati fulani enzi hizo, watu wote walikuwa ndugu moja, kiongozi aliitwa ndugu kama wananchi wengine wa kawaida.

Majira yamebadilika, nyakati zimebadilika, hivi sasa uchawa ndiyo habari mijini na vijijini. Uchawa, kujionyesha, na kujipendekeza ndiyo siri ya kukumbukwa na kupewa vyeo.
 
Back
Top Bottom