figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Umekosea sana uliposema ''viongozi wa Tanzania jitafakarini''. Wajitafakari nini wakati hawana cha kutafakari? Wananchi ndiyo wanaotakiwa kujitafakari jinsi walivyogeuzwa kama manyumbu ya kule Manyara mbugani. Ingekuwa vizuri sana kama wangeongeza masaa ya kusubiri na kusema siku kiongozi anapita eneo fulani, hakuna ruhusa raia kupita hilo eneo siku nzima.Salaam Wakuu,
Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.
Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.
Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi?
Viongizi wa Tanzania jitafakarini
Upo sahihi. Eti mteule wa Samia kavimba kichwa anatutesa Wabara.Umekosea sana uliposema ''viongozi wa Tanzania jitafakarini''. Wajitafakari nini wakati hawana cha kutafakari? Wananchi ndiyo wanaotakiwa kujitafakari jinsi walivyogeuzwa kama manyumbu ya kule Manyara mbugani. Ingekuwa vizuri sana kama wangeoza masaa ya kusubiri na kusema siku kiongozi anapita eneo fulani, basi hakuna ruhusa raia kupita hilo eneo siku nzima.
Wote tu, toka viongozi, wasimamizi wa barabarani na wananchi..!! Waziri mkuu alishawahi sema juu ya jambo kama hili kwenye msafara wake, ingawa inakuwaga unafiki tu maana baada ya hapo yanaendelea yaleyale yaliyoonekana kukemewa..!!Ishu sio viongozi bali ni wasimamizi wa usalama barabarani ambao timing ya kuzuia magari huwa wanaikosea
Umelipia tangazo la ng'ombe?Salaam Wakuu,
Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.
Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.
Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho.
Viongizi wa Tanzania jitafakarini
View attachment 2856647
View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646
Ndivyo unavyojidanganya siyo? Endelea kubaki kwenye huo usingizi!Ishu sio viongozi bali ni wasimamizi wa usalama barabarani ambao timing ya kuzuia magari huwa wanaikosea
Ndio, nimelipa kodi na Ushuru. Na bado nitapata hasaraUmelipia tangazo la ng'ombe?
Nakubaliana na wewe kuhusu usalama wa viongozi lakini a point of correction.Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden Olof Palme hakupigwa risasi akienda sokoni bali alikuwa akitoka kwenye jumba la kuonyesha filamu akiwa na mkewe Lisbeth Palme.Zamani tulikuwaga tunapishana nao, kupuuza huku sokoine akafa, wazifi mkuu wa sweden alalf palme alikuwa anaenda sokoni kama raia wa kawaida akapigwa risasi alafa, ndo maana tumestuka, usalama kwanza
Mkuu skuingine wapelekee moto usiwapishe kabisa tena kaunyama kakifunguka unapita kati kama mshaleMimi nikiwaga na Subaru yangu siwezi kuwapisha hao viongozi wa hovyo tatizo viongozi wanatuona sisi wananchi kama nyumbu tu
Kuna siku maeneo ya tegeta palee nilikimbiza hadi wakashangaaaMkuu skuingine wapelekee moto usiwapishe kabisa tena kaunyama kakifunguka unapita kati kama mshale
Naunga mkono hojaAsanteni Wakuu, Biteko kapaki Pembeni ili Magari yalosimama zaidi ya masaa mawili yapite. RTO wq Shinyanga anayakiwa ajiuzulu. Hii ni international road. Kusimamisha magari masaa mawili na dakika 45 si sawa. Mmalori mengine yanebeba sumu na mengine ya kulipuka.
Anyway, asante kwa msaada wenu Wakuu. Tumeruhusiwa
Hapo ndipo tofauti kati ya mheshimiwa na mnyonge ilipo. Wakati fulani enzi hizo, watu wote walikuwa ndugu moja, kiongozi aliitwa ndugu kama wananchi wengine wa kawaida.Salaam Wakuu,
Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni.
Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite.
Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho.
Viongizi wa Tanzania jitafakarini
View attachment 2856647
View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646