Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 9,830 Reaction score 20,686 Dec 29, 2023 #21 Uafrika hasa utanzania ni laana
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Dec 29, 2023 #22 Wafalme wanapita Ova
Mr kenice JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 4,260 Reaction score 7,033 Dec 29, 2023 #23 Leta ng'ombe hizo mjini acha visingizio blaza.
mzeewaSHY JF-Expert Member Joined Aug 31, 2021 Posts 8,916 Reaction score 8,630 Dec 29, 2023 #24 figganigga said: Salaam Wakuu, Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni. Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite. Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho. Viongizi wa Tanzania jitafakarini View attachment 2856647 View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646 Click to expand... Ni shidaaa ! Wanasemaga hayo ni masuala ya Usalama !! Lakini two hours hiyo sio sawa bandugu !!
figganigga said: Salaam Wakuu, Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni. Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite. Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho. Viongizi wa Tanzania jitafakarini View attachment 2856647 View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646 Click to expand... Ni shidaaa ! Wanasemaga hayo ni masuala ya Usalama !! Lakini two hours hiyo sio sawa bandugu !!
mzeewaSHY JF-Expert Member Joined Aug 31, 2021 Posts 8,916 Reaction score 8,630 Dec 29, 2023 #25 Infropreneur said: Uafrika hasa utanzania ni laana Click to expand... Duh 😳 !
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Dec 29, 2023 #26 figganigga said: Salaam Wakuu, Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni. Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite. Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho. Viongizi wa Tanzania jitafakarini View attachment 2856647 View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646 Click to expand... Hii sio sawa kabisa, wanaoratibu hii misafara wakumbuke na raia wengine watumiaji wa barabara.
figganigga said: Salaam Wakuu, Tangu nizaliwe, nilikuwa nasikia Viongozi wanaleta Foleni. Nipo huku Shinyanga, tumesimamishwa masaa mawili sasa tukisubiri Dotto Biteko apite. Ng'ombe wangu watafika mnadani saa ngapi? Hasara tayari. Mikopo ya Vikoba itanitoa roho. Viongizi wa Tanzania jitafakarini View attachment 2856647 View attachment 2856642View attachment 2856643View attachment 2856644View attachment 2856645View attachment 2856646 Click to expand... Hii sio sawa kabisa, wanaoratibu hii misafara wakumbuke na raia wengine watumiaji wa barabara.
figganigga JF-Expert Member Joined Oct 17, 2010 Posts 25,724 Reaction score 55,906 Dec 30, 2023 Thread starter #27 Charles kilian said: Kuna siku maeneo ya tegeta palee nilikimbiza hadi wakashangaaa Click to expand... Hahahaaaa
Charles kilian said: Kuna siku maeneo ya tegeta palee nilikimbiza hadi wakashangaaa Click to expand... Hahahaaaa