Kwanini Tanzania Masikini? Masaa mawili tunamsubiri Naibu Waziri Mkuu Biteko apite

Ni shidaaa !
Wanasemaga hayo ni masuala ya Usalama !!
Lakini two hours hiyo sio sawa bandugu !!
 
Hii sio sawa kabisa, wanaoratibu hii misafara wakumbuke na raia wengine watumiaji wa barabara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…