The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo tusijali sana watalii kua wachache? Hivyo hatuna haja ya watalii kua wengi kwa sababu sisi ni low density high quantity?ishu sio namba ya watalii.. ishu ni mapato ya utalii, utalii wetu ni low density high quantity.. while kenya ni high density low quantity
Ukija kwenye menu pia hotel zinachaji bei za kipuuzi chips kuku, mafuta yaliyokaangia samaki yatakaangiza kuku na hatujali...
Yaani tukiweza kubadilika na kutoa huduma ya hospitality ipasavyo, tutavutia watalii..
Mtu akifika hapokelewi vizuri, lakini muhudumu anataka tips kubwa..
Chukulia tu mfano ukienda bar yako ya karibu huduma zetu hovyo!
Kuna kitabu fulani comic Tom & Jane, yaani kile kitabu ni ukweli mtupu juu ya huduma zetu..
Wanakuja kina Abramovic, Will Smith hao his tungewetumia kutangaza utalii wetu, clip tu ya sekunde 10,
Everyday is Saturday.......................... 😎
Tatizo kubwa la Tanzania ni kutokujali muda. Mnapokea watalii saa nne, mnawaweks wasubiri wa ndege inayoingia saa nane wasafiri pamoja.
Ujuaji ni mwingi. Wakati ukienda Egypt kama tourist kwanza jamaa wa tour agent ndiye anakwenda immigration desk kuwaombea visa. Mkitoka nje mnakuta gari. Mnapelekwa hotelini mnapewa ratiba ya siku mnaachwa muoge na kurelax kidogo.Hilo la mda ndio baya zaidi yaani ndege ni huduma mbovu kuliko mabasi
Tuna shida sehemu nyingi sana
Watu hawataki kujifunza kwa wengine na ndio maana tunafeli kila sehemu
Wametuzidi kwa mapato unataka useme niniishu sio namba ya watalii.. ishu ni mapato ya utalii, utalii wetu ni low density high quantity.. while kenya ni high density low quantity
Hakuna sehemu kwenye uzi alikotupiwa lawama magufuli au mtu yeyoteKwahiyo hili nalo mtamlaumu Magufuli?
Sisi hatujali. Mtalii akijakuja tu tunamkamua kadri tuwezavyo. Ishu ya kurudi au kutokurudi kesho haituhusu.Mchawi hapo ni marketing. Entering partnership with Travel agencies zilizotanuka duniani na Airlines.
Formulating appropriate tourism package vilevile service delivery lazima iwe on top.
Sio mtalii unamwambia Utafika dsm utakaa siku 7 Mara ndege imechelewa, Hotel zetu nyingi pia Zina changamoto ya excellent services and maintanance. Mfano ukisoma Travel reviews za hotel Kama Landmark ya kule Mbezibeach wengi wanaoina ni chafu na Haina maintenance, high price with poor customer services.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chai andazi Sh15,000Sisi hatujali. Mtalii akijakuja tu tunamkamua kadri tuwezavyo. Ishu ya kurudi au kutokurudi kesho haituhusu.
Utashangaa watalii wanalalamikia gharama kubwa Tanzania na huduma mbovu. Pale waiting lounge ya Nyerere International Airport chips mayai TZS 18,000, unajiuliza haya mauai ya kenge au ya mbuni?
Ratings and reviews za hotel na huduma ni muhimu sana. Kama wanaandika ni chafu na haina maintanance unategemea nani ataenda kulala huko?
Ujuaji ni mwingi. Wakati ukienda Egypt kama tourist kwanza jamaa wa tour agent ndiye anakwenda immigration desk kuwaombea visa. Mkitoka nje mnakuta gari. Mnapelekwa hotelini mnapewa ratiba ya siku mnaachwa muoge na kurelax kidogo.
Kuwekeza imewekeza vya kutosha shida ni moja tu ubunifu na mbinu katika kujitangazaTanzania haijawekeza vya kutosha katika sekta ya utalii. Kuwe na mkakati wa kufanya package holidays ambazo mtalii akilipa malipo yanajumlisha nauli ya ndege, usafiri wa ndani, hoteli pamoja na chakula. Mnaweza kuweka bei na options, anaetaka kwenda beach holiday, beach and safari au beach safari na Kilimanjaro climbing.
Kuna standard coach zenye wahudumu kupokea watalii airport mpaka wakakokwenda?Kuwekeza imewekeza vya kutosha shida ni moja tu ubunifu na mbinu katika kujitangaza
Kuna mzungu mmoja aliwahi kuniuliza mbona chips mayai mtaani ni 2,500 hadi 3,000 lakini Nyerere Airport ni 18,000. Kwa nini kuna tofauti kubwa hivyo na hizi za mtaani ni tamu sana?Chai andazi Sh15,000
Hivi imefungwa? Au imekufa?Ngurdoto wazungu waliisema vyumbani kuna mchwa,milango imeliwa mpk inataka kudondoka.
Ukiuliza wahusika wa utalii kwanini tuna charge pesa nyingi hivi wanajibu sisi utalii wetu una target watakii matajiri tu, watalii maskini waende vi nchi vya huko jirani.Sisi hatujali. Mtalii akijakuja tu tunamkamua kadri tuwezavyo. Ishu ya kurudi au kutokurudi kesho haituhusu.
Utashangaa watalii wanalalamikia gharama kubwa Tanzania na huduma mbovu. Pale waiting lounge ya Nyerere International Airport chips mayai TZS 18,000, unajiuliza haya mayai ya kenge au ya mbuni?
Ratings and reviews za hotel na huduma ni muhimu sana. Kama wanaandika ni chafu na haina maintanance unategemea nani ataenda kulala huko?
Kuna mzungu mmoja aliwahi kuniuliza mbona chips mayai mtaani ni 2,500 hadi 3,000 lakini Nyerere Airport ni 18,000. Kwa nini kuna tofauti kubwa hivyo na hizi za mtaani ni tamu sana?
Mtu kama huyo mnamjibu vipi?