Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

Huu siyo muda muafaka wa kujibu swali hilo. Naomba uliondoe kwa sasa, ikifika Pasaka utauliza.
 
Pasaka kwa kigiriki ni* "Pasach" sawa na

*>>kiebrania* "Pasach". *>>Kwa kiingereza* ni

Passover.Hivyo kwa tafsiri ya Biblia pasaka sio

"Easter".


[emoji837] Pasaka ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu

Matendo 12:1-5.

Neno " Pasaka " kwa kiingereza ni "

Passover "

maana yake "kupita juu ya... "


*[emoji837] Katika Agano la kale pasaka inazungumzwa kuwa* :.M

ungu alimuagiza Musa kupaka damu katika miimo

ya milango ya Waisraeli wakati malaika AKIPITA kuangamiza wazaliwa wa. Kwanza wa wote wasio kuwa na hiyo alama ktk milango yao.

.....Kwa Waliopaka malaika alipita juu ya nyumba zao bila kuangamiza, waliokiuka alipita ndani na kuangamiza.


[emoji837] Kutoka 12:12-14; KJV.inasema "...i will

pass over you and the plague shall not be upon

you to destroy you.....And this day shall be unto

you for a memirial.

Hivyo pasaka ni kumbukumbu ya wana wa Israel toka

utumwani misri.

na Mungu akaagiza iendelezwe

hata nchi ya ahadi kanani.


[emoji837] Leo sisi ni Israeli ya kiroho tunaadhimisha kutoka

*Misri ya utumwa wa dhambi kwenda kanani ya mbinguni.*

......Katika Agano jipya 1Wakorintho 5:7-8. Basi

jisafisheni mkatoe ile chafu ya kale ...

....kwa

maana PASAKA wetu amekwisha kutolewa kuwa

sadaka yaani kristo......

Hakuna andiko linaloagiza utunzaji wa,"Easter"

kama pasaka.

hili la EASTER limetoka wapi?.


*_[emoji481]UKWELI JUU YA EASTER[emoji514]_*

___________________________

[emoji837] Jina EASTER linatokana na "Ostera"

au"Eostre" ambaye ni. goddness of sprin

(mungu wa mavuno)

katika nchi za Anglo-

Saxon,

... Babeli anaitwa "Ishtar",

Syria anaitwa

"Ashtaroth",

Kiebrania anaitwa "Ashtoreth",

Kigiriki anaitwa "Eostre"

Germany anaitwa "Ostera"

"Ishter" hutamukwa. "Easter"


[emoji837] Hii ni siku ya mungu

*"Tamuz"* ambaye ni mtoto wa pekee wa mungu

jua na mungu mwezi

Nimrod ni mjukuu wa Nuhu kwa kijana wake

Ham.

Ham alikuwa na kijana aitwae Kushi.

Kushi

alioana na Semiramis wakapata mtoto anaitwa

*>Nimrod<*

Baada ya kifo cha baba yake Nimrod akamuoa mamayake mzazi Semiramis akawa mtawala

mwenye nguvu sana.

Soma> Mwanzo 10:8-10)


[emoji837] Siku moja Nimrod alienda vitani na akauawa na

adui zake

...Semiramis akasema Nimrod ameenda juu

kwenye jua hivyo akaitwa Baal yaan mungu jua

(the goddnes of sun).Semiramis akaagiza

*akumbukwe kwa kuwasha mishumaa wakati wa ibada* (ndivyo wanavyofanya madhehebu mengi mpaka leo)


[emoji837] Semiramis akajiita "Ishtar"(easter)

*mungu mke*

"moon goddnes".

Huyu "Ishtar " akatembea na

kijakazi wake akapata mimba akasema kapata

mimba ,kupitia " Sun rays(miali ya jua)" kutoka kwa

"BAALI (Nimrod) ambaye alikuwa

*mungu JUA au mungu mume.*

Akazaa mtoto akamwita " Tamuz ".


[emoji837] Kijana huyo l (Tamuz) baadaye aliuawa na Nguruwe pori

alipokuwa akiwinda.

"Ishtar" *ANAABUDIWA kama "mother of god and queen of heaven".*

Ndivyo walivyofanya Roman Catholic had leo."Ishtar" wanamwita Bikira Maria.


[emoji837] Baada ya kifo cha

Tamuz, mama yake

akatangaza siku 14 za maombolezo akap

iga *MARUFUKU ULAJI wa NYAMA* ktk Maombolezo hayo

......ndivyo wanavyofanya Romani Catholic ktk

Siku ya IJUMAA *(ijumaa kuu)* kabla ya Jumapili ya Easter" hawali nyama.

*...Tukio Hilo limevikwa hadhi ya KUMBUKUMBU YA MATESO YA YESU.*

Tazama hii:

Every year on the first

Sunday after the first full moon after the spring

equinox a celebration was made until today).

"Ishtar/Ashtoreth" is queen of Heaven,


*[emoji837] EASTER ni kumbukumbu ya TAMUZ "*

Tuwe makini na mafundisho yasiyo ya KWELI.

>>Ktk Waamuzi 2:11-13-inazungumza taifa lilivyo asi

na kumwabudu *"Baal"*

.>>1Samwel 7:3-4-Waisraeli waligeukia Baali na

*Ashtoreth*

>>1Wafalme 11:4-6-Suleimam alivyomuoa

mwanamke wa kimataifa akamgeuza na kuabudu

*"Ashtoreth"*

[emoji433] Kwa maelezo ya ziada pitia hiki kitabu:

*_>>The Easter Celebration - History of Its Hidden Origins_* (Traditions of North America and the Western World Book 1)
Hii nimeikubali sasa hapo umetutoa ujinga na ushamba
 
Hata sikukuu zote za Xmas, New Year, Pasaka ni Sikukuu za Kanisa Takatifu Katoliki....Wakristo wote wanazifuata


Ahaa sasa basi, waache kudharau wakati Kanisa Katoliki Takatifu la Mitume ndilo linawapangia kalenda na maadhimisho ya Sikukuu za Kikristo
 
kwa sababu yenyewe hutakiwa kuwa katika mpangilio maalumu kuanzia alkhamis na ijumaa kuu hadi kufikia jumatatu ya pasaka... hivyo hakuna tarehe specific inayoangukia jumatatu kila mwaka ili kuleta mlinganyo wa siku zenye matukio maalumu......

hivyo kalenda ya kanisa katholiki ndio huonesha ni siku gani kwa mwaka husika
Safi sana chief....pia kwa kuongezea tu lazima hizo alhamisi na ijumaa ziwe ndani ya siku 40.nadhan huyu mhishimiwa atakuwa ameridhika na hili jibu!
 
Pasaka kwa kigiriki ni* "Pasach" sawa na

*>>kiebrania* "Pasach". *>>Kwa kiingereza* ni

Passover.Hivyo kwa tafsiri ya Biblia pasaka sio

"Easter".


[emoji837] Pasaka ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu

Matendo 12:1-5.

Neno " Pasaka " kwa kiingereza ni "

Passover "

maana yake "kupita juu ya... "


*[emoji837] Katika Agano la kale pasaka inazungumzwa kuwa* :.M

ungu alimuagiza Musa kupaka damu katika miimo

ya milango ya Waisraeli wakati malaika AKIPITA kuangamiza wazaliwa wa. Kwanza wa wote wasio kuwa na hiyo alama ktk milango yao.

.....Kwa Waliopaka malaika alipita juu ya nyumba zao bila kuangamiza, waliokiuka alipita ndani na kuangamiza.


[emoji837] Kutoka 12:12-14; KJV.inasema "...i will

pass over you and the plague shall not be upon

you to destroy you.....And this day shall be unto

you for a memirial.

Hivyo pasaka ni kumbukumbu ya wana wa Israel toka

utumwani misri.

na Mungu akaagiza iendelezwe

hata nchi ya ahadi kanani.


[emoji837] Leo sisi ni Israeli ya kiroho tunaadhimisha kutoka

*Misri ya utumwa wa dhambi kwenda kanani ya mbinguni.*

......Katika Agano jipya 1Wakorintho 5:7-8. Basi

jisafisheni mkatoe ile chafu ya kale ...

....kwa

maana PASAKA wetu amekwisha kutolewa kuwa

sadaka yaani kristo......

Hakuna andiko linaloagiza utunzaji wa,"Easter"

kama pasaka.

hili la EASTER limetoka wapi?.


*_[emoji481]UKWELI JUU YA EASTER[emoji514]_*

___________________________

[emoji837] Jina EASTER linatokana na "Ostera"

au"Eostre" ambaye ni. goddness of sprin

(mungu wa mavuno)

katika nchi za Anglo-

Saxon,

... Babeli anaitwa "Ishtar",

Syria anaitwa

"Ashtaroth",

Kiebrania anaitwa "Ashtoreth",

Kigiriki anaitwa "Eostre"

Germany anaitwa "Ostera"

"Ishter" hutamukwa. "Easter"


[emoji837] Hii ni siku ya mungu

*"Tamuz"* ambaye ni mtoto wa pekee wa mungu

jua na mungu mwezi

Nimrod ni mjukuu wa Nuhu kwa kijana wake

Ham.

Ham alikuwa na kijana aitwae Kushi.

Kushi

alioana na Semiramis wakapata mtoto anaitwa

*>Nimrod<*

Baada ya kifo cha baba yake Nimrod akamuoa mamayake mzazi Semiramis akawa mtawala

mwenye nguvu sana.

Soma> Mwanzo 10:8-10)


[emoji837] Siku moja Nimrod alienda vitani na akauawa na

adui zake

...Semiramis akasema Nimrod ameenda juu

kwenye jua hivyo akaitwa Baal yaan mungu jua

(the goddnes of sun).Semiramis akaagiza

*akumbukwe kwa kuwasha mishumaa wakati wa ibada* (ndivyo wanavyofanya madhehebu mengi mpaka leo)


[emoji837] Semiramis akajiita "Ishtar"(easter)

*mungu mke*

"moon goddnes".

Huyu "Ishtar " akatembea na

kijakazi wake akapata mimba akasema kapata

mimba ,kupitia " Sun rays(miali ya jua)" kutoka kwa

"BAALI (Nimrod) ambaye alikuwa

*mungu JUA au mungu mume.*

Akazaa mtoto akamwita " Tamuz ".


[emoji837] Kijana huyo l (Tamuz) baadaye aliuawa na Nguruwe pori

alipokuwa akiwinda.

"Ishtar" *ANAABUDIWA kama "mother of god and queen of heaven".*

Ndivyo walivyofanya Roman Catholic had leo."Ishtar" wanamwita Bikira Maria.


[emoji837] Baada ya kifo cha

Tamuz, mama yake

akatangaza siku 14 za maombolezo akap

iga *MARUFUKU ULAJI wa NYAMA* ktk Maombolezo hayo

......ndivyo wanavyofanya Romani Catholic ktk

Siku ya IJUMAA *(ijumaa kuu)* kabla ya Jumapili ya Easter" hawali nyama.

*...Tukio Hilo limevikwa hadhi ya KUMBUKUMBU YA MATESO YA YESU.*

Tazama hii:

Every year on the first

Sunday after the first full moon after the spring

equinox a celebration was made until today).

"Ishtar/Ashtoreth" is queen of Heaven,


*[emoji837] EASTER ni kumbukumbu ya TAMUZ "*

Tuwe makini na mafundisho yasiyo ya KWELI.

>>Ktk Waamuzi 2:11-13-inazungumza taifa lilivyo asi

na kumwabudu *"Baal"*

.>>1Samwel 7:3-4-Waisraeli waligeukia Baali na

*Ashtoreth*

>>1Wafalme 11:4-6-Suleimam alivyomuoa

mwanamke wa kimataifa akamgeuza na kuabudu

*"Ashtoreth"*

[emoji433] Kwa maelezo ya ziada pitia hiki kitabu:

*_>>The Easter Celebration - History of Its Hidden Origins_* (Traditions of North America and the Western World Book 1)
Sasa msabato inakuuma nini wakatoliki tukifanya yetu
 
Watu humu wanajiita ni wakristo lakini hata huo ukristo wao hawaujui.
Kweli wagalatia mmelogwa. Na aliyewaloga hajulikani.

Kwa hiyo hata Sikukuu ya Pasaka hamuijui vyema? Mnabahatisha bahatisha tu.

Kuna mtu anasema Sikukuu ya Pasaka inapangwa na kalenda ya Kanisa Katoliki!!!
Anasahau kuwa hata kabla ya Yesu hajalizwa sikukuu ya Pasaka ilikuwepo na ilikuwa ikisheherekewa kila mwaka.
 
Kwa maelezo ya ziada pitia hiki kitabu:

*_>>The Easter Celebration - History of Its Hidden Origins_* (Traditions of North America and the Western World Book 1)
Hii mada yako ya ku-copy na paste tunaomba uilete mwakani wakati Easter(Pasaka) inakaribia...huko tutakupa majibu mujarab


Kwaleo tuliwaomba mlete uharo wenu wa Xmas lakini naona kimya....Wiki hii tupo na xmas na New Year



BTW: Merry Xmas
 
Pasaka kwa kigiriki ni* "Pasach" sawa na

*>>kiebrania* "Pasach". *>>Kwa kiingereza* ni

Passover.Hivyo kwa tafsiri ya Biblia pasaka sio

"Easter".


[emoji837] Pasaka ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu

Matendo 12:1-5.

Neno " Pasaka " kwa kiingereza ni "

Passover "

maana yake "kupita juu ya... "


*[emoji837] Katika Agano la kale pasaka inazungumzwa kuwa* :.M

ungu alimuagiza Musa kupaka damu katika miimo

ya milango ya Waisraeli wakati malaika AKIPITA kuangamiza wazaliwa wa. Kwanza wa wote wasio kuwa na hiyo alama ktk milango yao.

.....Kwa Waliopaka malaika alipita juu ya nyumba zao bila kuangamiza, waliokiuka alipita ndani na kuangamiza.


[emoji837] Kutoka 12:12-14; KJV.inasema "...i will

pass over you and the plague shall not be upon

you to destroy you.....And this day shall be unto

you for a memirial.

Hivyo pasaka ni kumbukumbu ya wana wa Israel toka

utumwani misri.

na Mungu akaagiza iendelezwe

hata nchi ya ahadi kanani.


[emoji837] Leo sisi ni Israeli ya kiroho tunaadhimisha kutoka

*Misri ya utumwa wa dhambi kwenda kanani ya mbinguni.*

......Katika Agano jipya 1Wakorintho 5:7-8. Basi

jisafisheni mkatoe ile chafu ya kale ...

....kwa

maana PASAKA wetu amekwisha kutolewa kuwa

sadaka yaani kristo......

Hakuna andiko linaloagiza utunzaji wa,"Easter"

kama pasaka.

hili la EASTER limetoka wapi?.


*_[emoji481]UKWELI JUU YA EASTER[emoji514]_*

___________________________

[emoji837] Jina EASTER linatokana na "Ostera"

au"Eostre" ambaye ni. goddness of sprin

(mungu wa mavuno)

katika nchi za Anglo-

Saxon,

... Babeli anaitwa "Ishtar",

Syria anaitwa

"Ashtaroth",

Kiebrania anaitwa "Ashtoreth",

Kigiriki anaitwa "Eostre"

Germany anaitwa "Ostera"

"Ishter" hutamukwa. "Easter"


[emoji837] Hii ni siku ya mungu

*"Tamuz"* ambaye ni mtoto wa pekee wa mungu

jua na mungu mwezi

Nimrod ni mjukuu wa Nuhu kwa kijana wake

Ham.

Ham alikuwa na kijana aitwae Kushi.

Kushi

alioana na Semiramis wakapata mtoto anaitwa

*>Nimrod<*

Baada ya kifo cha baba yake Nimrod akamuoa mamayake mzazi Semiramis akawa mtawala

mwenye nguvu sana.

Soma> Mwanzo 10:8-10)


[emoji837] Siku moja Nimrod alienda vitani na akauawa na

adui zake

...Semiramis akasema Nimrod ameenda juu

kwenye jua hivyo akaitwa Baal yaan mungu jua

(the goddnes of sun).Semiramis akaagiza

*akumbukwe kwa kuwasha mishumaa wakati wa ibada* (ndivyo wanavyofanya madhehebu mengi mpaka leo)


[emoji837] Semiramis akajiita "Ishtar"(easter)

*mungu mke*

"moon goddnes".

Huyu "Ishtar " akatembea na

kijakazi wake akapata mimba akasema kapata

mimba ,kupitia " Sun rays(miali ya jua)" kutoka kwa

"BAALI (Nimrod) ambaye alikuwa

*mungu JUA au mungu mume.*

Akazaa mtoto akamwita " Tamuz ".


[emoji837] Kijana huyo l (Tamuz) baadaye aliuawa na Nguruwe pori

alipokuwa akiwinda.

"Ishtar" *ANAABUDIWA kama "mother of god and queen of heaven".*

Ndivyo walivyofanya Roman Catholic had leo."Ishtar" wanamwita Bikira Maria.


[emoji837] Baada ya kifo cha

Tamuz, mama yake

akatangaza siku 14 za maombolezo akap

iga *MARUFUKU ULAJI wa NYAMA* ktk Maombolezo hayo

......ndivyo wanavyofanya Romani Catholic ktk

Siku ya IJUMAA *(ijumaa kuu)* kabla ya Jumapili ya Easter" hawali nyama.

*...Tukio Hilo limevikwa hadhi ya KUMBUKUMBU YA MATESO YA YESU.*

Tazama hii:

Every year on the first

Sunday after the first full moon after the spring

equinox a celebration was made until today).

"Ishtar/Ashtoreth" is queen of Heaven,


*[emoji837] EASTER ni kumbukumbu ya TAMUZ "*

Tuwe makini na mafundisho yasiyo ya KWELI.

>>Ktk Waamuzi 2:11-13-inazungumza taifa lilivyo asi

na kumwabudu *"Baal"*

.>>1Samwel 7:3-4-Waisraeli waligeukia Baali na

*Ashtoreth*

>>1Wafalme 11:4-6-Suleimam alivyomuoa

mwanamke wa kimataifa akamgeuza na kuabudu

*"Ashtoreth"*

[emoji433] Kwa maelezo ya ziada pitia hiki kitabu:

*_>>The Easter Celebration - History of Its Hidden Origins_* (Traditions of North America and the Western World Book 1)
Usijitaabishe na reference za kutunga. Unachopaswa kujua ni kuwa kanisa lililetewa Roho Mtakatifu ili lifundishwe zaidi kumjua na kumtii Mwenyezi. Hizo sikukuu ni models za kufundishia. Zinafundisha kuwa ni kweli Kristu alizaliwa, akaishi, akateswa, akafa, akafufuka na atakuja tena. Zaidi sana unapaswa kujua kuwa jambo lolote halali likifanywa kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, hupokelewa kama ibada.
 
kwa sababu yenyewe hutakiwa kuwa katika mpangilio maalumu kuanzia alkhamis na ijumaa kuu hadi kufikia jumatatu ya pasaka... hivyo hakuna tarehe specific inayoangukia jumatatu kila mwaka ili kuleta mlinganyo wa siku zenye matukio maalumu......

hivyo kalenda ya kanisa katholiki ndio huonesha ni siku gani kwa mwaka husika
Lakin pasaka ilikuwepo enzi na enzi
 
Ratiba ya pasaka inafata kalenda ya kiyahud ambaya ni fupi kuliko kalenda ya papa Gregory ( tunayotumia huku duniani)...aidha kama Luka inavyosema roho mtakatifu alisema na Mariam mwezi wa sita (Jewish calendar) ambao ni mwezi wa tatu katika Gregory calenda hivyo kuna uhalisia flan Yesu alizaliwa December kwa calenda ya Gregory...
Yaan ingeadhimishwa na tarehe zile zile mkuu.....
 
Back
Top Bottom