ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Yeah kidogo hii sababu ina make senseNadhani hali ya hewa ya Africa
Sehemu nyingi ni joto.
Tiger 🐯 wanapendelea baridi
Kwani tiger si ni kama Chui tu kitabiaSababu ni maswala ya kihistoria ,pia kumbuka Africa kuna big five ,simba ,chui tembo ,kifaru, na nyati , ukimweka tiger ikolojia haitaleta uwiano na kufanya baadhi ya wanyama kutoweka.
LafudhiHivi tiger duma chui chitah wametofautianaje?
Tigers wanapenda kuishi maeneo yenye misitu minene tofauti na chui ambao wanapendelea kuishi maeneo ya savana zaidi tofauti na Tigers.Kwani tiger si ni kama Chui tu kitabia
Simba malala(tyger),simba,chui,duma,simba milima,hawa wote ni paka kama paka wa nyumbani yule,tofauti ni maumbo na rangi tu,ila tabia za msingi zote ni sawa.Kwani tiger si ni kama Chui tu kitabia
India kuna baridi(?)Nadhani hali ya hewa ya Africa
Sehemu nyingi ni joto.
Tiger 🐯 wanapendelea baridi
Na akampa binadamu akili ya kuyatawala mazingira.mungu ndie Kapanga hivyo unatuuliza sisi?
andika taratibu acha kimuhemuheNa akampa ninadamu akili ya kuyatawala mazingira.
Wanatofauti kubwa mkuu kwanzia makazi , namna ya uwindaji ukubwa wa mwili, nguvu , na mpangilio wa mifupa.Lafudhi
Andika kwa kufuata kanuni za uandishi. Kimuhemuhe nikitoe wapi wakati sikojoi nyuma ya basi la abiria?andika taratibu acha kimuhemuhe
Mbona wakwetu wanaishi huko , mi nazan ni wazo tuu la sekta ya utalii hawakuwa nalo , mnyama huyo anawez ku adaptishwa tuu kwenye mapori ya nyanda za juuNadhani hali ya hewa ya Africa
Sehemu nyingi ni joto.
Tiger 🐯 wanapendelea baridi