Hivi chui yupo kwenye orodha ya big five?Sababu ni maswala ya kihistoria ,pia kumbuka Africa kuna big five ,simba ,chui tembo ,kifaru, na nyati , ukimweka tiger ikolojia haitaleta uwiano na kufanya baadhi ya wanyama kutoweka.
Panda wachina hawataki uwaletee ushikaji kwenye nembo yao ile,bora urafiki uishie hapoπππMbona Panda pia hawawanunui!?
ππππanaconda nyoka wavivu,nyoka anajipindua masaa duh!
Chui yupo sio kwa sababu za ukubwa wa mwili bali yupo kwa sababu ya hatari yake katika kuwinda na kushambulia , vigezo vya big five vilizingatia hilo pia, kubwa jinga kama twiga awezi pata nafasi mbele ya chui kwa sababu hana hatari yoyote,kumzidi chui.Hivi chui yupo kwenye orodha ya big five?
Kangaroo wapo sana australia ila na africa wapo kdgKangaroo, kiwi......
HaYupo..Hivi chui yupo kwenye orodha ya big five?
kangaroo wanapatikana nchi gani africa?Kangaroo wapo sana australia ila na africa wapo kdg
Ni kwa sababu Nyumbu hawapatikani Ulaya.Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.
Mhm Africa hakuna mkuu.kangaroo wanapatikana nchi gani africa?
ndege JOHN kasema africa wapo kdogo, ndo nikamuuliza wanapatikana nchi gani africa? maana mm najua wanapatikana australia na new papua guinea.Mhm Africa hakuna mkuu.
kwanini hawaitwi jina moja kama hawana tofauti?Hivi tiger duma chui chitah wametofautianaje?
wapo sana sema tunawaua sana haoMhm Africa hakuna mkuu.
Tiger kwa kiswahili ni nini?? Na chui Kwa kingereza ni nini??Tigers wanapenda kuishi maeneo yenye misitu minene tofauti na chui ambao wanapendelea kuishi maeneo ya savana zaidi tofauti na Tigers.
Tigers ni wakubwa na wanawinda wanyama wakubwa tofauti na chui na wana nguvu zaidi ya chui japo sio hodari sana kuwinda kama chui alivyo .
Tofauti ipo na kubwa tukwanini hawaitwi jina moja kama hawana tofauti?
SimbamiliaTiger kwa kiswahili ni nini??
πππππ watu wana I'd nyingi sanamungu ndie Kapanga hivyo unatuuliza sisi?
Akamuulize Paroko huyumungu ndie Kapanga hivyo unatuuliza sisi?
Tiger π ni chui kwa kiswahili ila sio chui leopard πTiger kwa kiswahili ni nini?? Na chui Kwa kingereza ni nini??
Wewe una semea springhaas na sio kangaroo ,wanafanana na kangaroo kabisa sema hawana vifuko vya watoto.wapo sana sema tunawaua sana hao
ujinga wa kangaroo wanazalia sana isivyokawaida, angalia australia utaniambia
mazingira ya vijijini kwetu huko serengeti walikuwepo wakageuzwa vitoweo wakapotea
ππTiger π ni chui kwa kiswahili ila sio chui leopard π
Tiger=chuimiliaTiger kwa kiswahili ni nini?? Na chui Kwa kingereza ni nini??