Kwanini tiger hawapatikani Afrika?

Mbona Panda pia hawawanunui!?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚anaconda nyoka wavivu,nyoka anajipindua masaa duh!
Panda wachina hawataki uwaletee ushikaji kwenye nembo yao ile,bora urafiki uishie hapo😁😁😁
 
Ni kwa sababu Nyumbu hawapatikani Ulaya.
 
Mhm Africa hakuna mkuu.
wapo sana sema tunawaua sana hao

ujinga wa kangaroo wanazalia sana isivyokawaida, angalia australia utaniambia

mazingira ya vijijini kwetu huko serengeti walikuwepo wakageuzwa vitoweo wakapotea
 
Tiger kwa kiswahili ni nini?? Na chui Kwa kingereza ni nini??
 
wapo sana sema tunawaua sana hao

ujinga wa kangaroo wanazalia sana isivyokawaida, angalia australia utaniambia

mazingira ya vijijini kwetu huko serengeti walikuwepo wakageuzwa vitoweo wakapotea
Wewe una semea springhaas na sio kangaroo ,wanafanana na kangaroo kabisa sema hawana vifuko vya watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…