Kwanini tiger hawapatikani Afrika?

Kwanini tiger hawapatikani Afrika?

Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.

Kuhusu kutowahamisha,kwanza tujue wanaonunua wanakwenda kuwatumia kama pets,maonyesho.ingawa swala hili sio salama sana kwa mstakabali mzima wa utalii,ila linafanyika kwa wanyama wote kote,na wanaonunua ni hao hao waarabu,ila kwa china nadhani kuna sheria ngumu sana kuwahusu panda,nadhani walichemka😁😁,na dubu wale wa urusi.

Ila hawa wanyama wananunuliwa na waarabu kote duniani,sijajua kwanini hawajanunu anaconda🤣🤣🤣,labda hawajaipenda rangi yake😂.
 
Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.

Nature tu imeamua hivyo.....je Tiger angeweza kuishi ukandaa huu Africa hasa Sub-sahara?....

Anyway inasemekana walikuwepo huku Africa Karne nyingi Sana ila walielekea baadae huko Asia...


Live Science
Live Science | Latest science news and articles for those with curious minds › 32...
Why Don't Tigers Live in Africa?
 
Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.

Hawapendezwi na mifumo ya maisha ya nchi zenye viongozi vilaza waliojaa hapa Afrika.
 
Kuhusu kutowahamisha,kwanza tujue wanaonunua wanakwenda kuwatumia kama pets,maonyesho.ingawa swala hili sio salama sana kwa mstakabali mzima wa utalii,ila linafanyika kwa wanyama wote kote,na wanaonunua ni hao hao waarabu,ila kwa china nadhani kuna sheria ngumu sana kuwahusu panda,nadhani walichemka😁😁,na dubu wale wa urusi.

Ila hawa wanyama wananunuliwa na waarabu kote duniani,sijajua kwanini hawajanunu anaconda🤣🤣🤣,labda hawajaipenda rangi yake😂.
Mbona Panda pia hawawanunui!?
😂😂😂😂anaconda nyoka wavivu,nyoka anajipindua masaa duh!
 
Back
Top Bottom