Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umewahi kuwaona hao jaguars?Afrika wapo.Kaulize kule Nigeria wapo hadi akina "Jaguar Nana"!Jaguar pia hawapatikani afrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kuwaona hao jaguars?Afrika wapo.Kaulize kule Nigeria wapo hadi akina "Jaguar Nana"!Jaguar pia hawapatikani afrika
Wana tofauti kubwa tuSimba malala(tyger),simba,chui,duma,simba milima,hawa wote ni paka kama paka wa nyumbani yule,tofauti ni maumbo na rangi tu,ila tabia za msingi zote ni sawa.
Kuhusu kutowahamisha,kwanza tujue wanaonunua wanakwenda kuwatumia kama pets,maonyesho.ingawa swala hili sio salama sana kwa mstakabali mzima wa utalii,ila linafanyika kwa wanyama wote kote,na wanaonunua ni hao hao waarabu,ila kwa china nadhani kuna sheria ngumu sana kuwahusu panda,nadhani walichemka😁😁,na dubu wale wa urusi.Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.
Nature tu imeamua hivyo.....je Tiger angeweza kuishi ukandaa huu Africa hasa Sub-sahara?....Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.
tunaokojoa nyuma ya basi niwanaume tuu.nyie mabinti muende vichakani tusione mbususu zenu🤣🤣🤣Andika kwa kufuata kanuni za uandishi. Kimuhemuhe nikitoe wapi wakati sikojoi nyuma ya basi la abiria?
Kama Jaguar nana ana husiki basi hata Kenya kuna jaguarUmewahi kuwaona hao jaguars?Afrika wapo.Kaulize kule Nigeria wapo hadi akina "Jaguar Nana"!
DuuuuuAndika kwa kufuata kanuni za uandishi. Kimuhemuhe nikitoe wapi wakati sikojoi nyuma ya basi la abiria?
Sahihi,Sababu ni maswala ya kihistoria ,pia kumbuka Africa kuna big five ,simba ,chui tembo ,kifaru, na nyati , ukimweka tiger ikolojia haitaleta uwiano na kufanya baadhi ya wanyama kutoweka.
Sasa utatuelezaje Afrika hakuna jaguar?Kama Jaguar nana ana husiki basi hata Kenya kuna jaguar
Tayari umepata zawadi yako.Kushnehi ghaegha!tunaokojoa nyuma ya basi niwanaume tuu.nyie mabinti muende vichakani tusione mbususu zenu🤣🤣🤣
Sio kweli, india na bangladesh Kuna joto mpk linaua watu, Ila tiger wapo kwa wingi sana na hawajaathiriwa na jotoNadhani hali ya hewa ya Africa
Sehemu nyingi ni joto.
Tiger 🐯 wanapendelea baridi
Tiger wanakaa kwenye misitu mnene na ipo mingi hapa TanzanianSio kweli, india na bangladesh Kuna joto mpk linaua watu, Ila tiger wapo kwa wingi sana na hawajaathiriwa na joto
Kangaroo, kiwi......Jaguar pia hawapatikani afrika
Hawapendezwi na mifumo ya maisha ya nchi zenye viongozi vilaza waliojaa hapa Afrika.Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.
tena kali sanaaaIndia kuna baridi(?)
Ongeza na simba wote ni paka.Hivi tiger duma chui chitah wametofautianaje?
Sawasawa.Fumba macho tuiombee monsoon dua njema.tena kali sanaaa
Mbona Panda pia hawawanunui!?Kuhusu kutowahamisha,kwanza tujue wanaonunua wanakwenda kuwatumia kama pets,maonyesho.ingawa swala hili sio salama sana kwa mstakabali mzima wa utalii,ila linafanyika kwa wanyama wote kote,na wanaonunua ni hao hao waarabu,ila kwa china nadhani kuna sheria ngumu sana kuwahusu panda,nadhani walichemka😁😁,na dubu wale wa urusi.
Ila hawa wanyama wananunuliwa na waarabu kote duniani,sijajua kwanini hawajanunu anaconda🤣🤣🤣,labda hawajaipenda rangi yake😂.