Kwanini Timu Mbalimbali hazivutiwi kuja Dar kushiriki Simba Day?

Kwanini Timu Mbalimbali hazivutiwi kuja Dar kushiriki Simba Day?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Wadau za Jioni.

Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.

Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.

Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.

Iko hivi.

Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.

Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.

Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.

Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.

Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.

Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.

Tunisia - Esperance De Tunis.

Morroco - Wydad/Raja Casablanca.

Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. 😂 😂
 
Wadau za Jioni.

Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.

Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.

Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.

Iko hivi.

Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.

Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.

Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.

Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.

Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.

Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.

Tunisia - Esperance De Tunis.

Morroco - Wydad/Raja Casablanca.

Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. [emoji23] [emoji23]

Mpaka Simba Day ifike utakuwa umeshaimba ngonjera zote,vipi Vunjabei amepata hasara kwa jezi kuvuja au hiyo Slogan umeiweka kapuni baada ya kuona Jezi zinavyouzika Nchi nzima[emoji3][emoji3]
 
Wadau za Jioni.

Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.

Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.

Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.

Iko hivi.

Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.

Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.

Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.

Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.

Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.

Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.

Tunisia - Esperance De Tunis.

Morroco - Wydad/Raja Casablanca.

Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. 😂 😂
Labd wanaogopa kupuliziwa dawa vyumbani🤣🤣
 
Mpaka Simba Day ifike utakuwa umeshaimba ngonjera zote,vipi Vunjabei amepata hasara kwa jezi kuvuja au hiyo Slogan umeiweka kapuni baada ya kuona Jezi zinavyouzika Nchi nzima[emoji3][emoji3]
Atapataje hasara wakati amewatengenezea jezi ambazo ukifua kidogo tu zinachanika, ukikwangua logo kidogo tu imebanduka.

Halafu kakuuzieni bei ya kufaa mtu.....

Mlivyokuwa mazombi mkakimbilia maplastick.
 
Umeona ukubwa wa Simba lakini?

Hapo unataka Big clubs tu in Africa(Hakuna club rank ya Zanaco hapo. I just assume ni kweli....huoni hizo sababu zinazotolewa ni za msingi?

#Kapumbu[emoji23]
Yaaani nasikia mlipokuwa mkiwatumia barua za mualiko wao wanajibu kwa sentensi moja tu iliyo andikwa "Usiforce Tufanane".

😂 😂
 
Kila wiki unakutana na Barbara Gonzalez Julius nyerere international airport ukiwa unaenda wapi mwana utopolo ?? .. [emoji23]
Leo hii niko Nairobi, nilikutana na Mke wa Kanjibahi akiwa anaelekea kuomba mechi huko Misri.

Kesho tarehe 7 naenda zangu Angola kupeleka mzigo si unajua khabari za pesa aisee.

Nitarudi Bongo tarehe 11 ili nikakinukishe pale Taifa tutapokutana na wavuvi wa dagaa kutoka kule Nigeria.
 
Hivi mbona hata mechi yao ni Rivers hata haijulikani? Ila cha kushangaza wanafuatilia Simba day ambayo iko mbaliii?!
Sasa wewe umeijuaje hiyo mechi? 😂 😂
 
Back
Top Bottom