Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA

Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi

1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT
Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin hizi zitakuvumilia kwa kipind kifupi baada ya hapo
Utashangaa gari ni IST ila ina mngurumo wa Toyota hilux ya diesel
2)BODY KUTEPETA
gari hii imeundwa kwa ajili yakubeba watu wa 4 tu na au inaweza kubeba kilo 200 tu
Sasa unapishana na IST imejaza washikaji wanaenda kula bata mpaka imeinama yani watu wamepakatana ndan na bado kwenye boot wameweka mizigo wakubeba pickup imebeba IST alafu inavyopigizwa kwenye mashimo baada ya muda unakuta body linaacha mwili yani IST ina sura ya Toyota port
Watu wakuingia kwenye Noah wanafosiwa waingie kwenye IST
3) GIA BOX KUFELI
hii nikutokana na kuweka hidrolic nyingi yani Kuover dose
Kupakia mzigo zaid
Unakuta Mara haibadili GIA
Mara imeunguza cultch
Mara imeuwa valve chesi

4) KUVUKA SERVICE
Ikiwa natabia unaweka oil ya km 3000 ila una tembelea mpaka km 3800-4000 basi ndugu jiandae tu kwenda kununua injin nyingine kama hutapata fundi alie kuwa makini maana siku ikianza kupandisha mashetani utaikimbia
Zingatia na mfumo wa upozaji.umo wa upozaji. Mengine ongezeni wenyewe
1721958678208.jpg
 
Toyota IST inatengenezwa kuundwa kiwandani kwa muda wa saa moja wakati Range Rover linachukua miezi Sita. Hapo utakuwa umepata jibu!
Sasa kama Range moja inaundwa kwa miezi sita si wangekuwa na gari chache sana duniani? Pia gari pekee inayoundwa kwa mikono (handmade cars) ni Rolls Royce na ndio huchukua kipindi hicho katika uundwaji wake. Land Rove (parent company ya Range Rover) hutumia maroboti kama ist tu
 
IST
This it might be Reason

ukimilik IST muda wote unakuw nayo njian/barabaran na unawez kuwa na safr zisizokuw na msingi wew ukaamua kuanza tuu safr za ovyo ovyo

Ila ukiwa na hizi za kubugia mafuta na spea ni kipengelee utartumia kwa hesabu,


Gari za cc kubwa huuzwa bei rahis na unawez kuta KM chache kulko hiz za cc chin ya 1.5L
 
mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA

Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi

1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT
Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin hizi zitakuvumilia kwa kipind kifupi baada ya hapo
Utashangaa gari ni IST ila ina mngurumo wa Toyota hilux ya diesel
2)BODY KUTEPETA
gari hii imeundwa kwa ajili yakubeba watu wa 4 tu na au inaweza kubeba kilo 200 tu
Sasa unapishana na IST imejaza washikaji wanaenda kula bata mpaka imeinama yani watu wamepakatana ndan na bado kwenye boot wameweka mizigo wakubeba pickup imebeba IST alafu inavyopigizwa kwenye mashimo baada ya muda unakuta body linaacha mwili yani IST ina sura ya Toyota port
Watu wakuingia kwenye Noah wanafosiwa waingie kwenye IST
3) GIA BOX KUFELI
hii nikutokana na kuweka hidrolic nyingi yani Kuover dose
Kupakia mzigo zaid
Unakuta Mara haibadili GIA
Mara imeunguza cultch
Mara imeuwa valve chesi

4) KUVUKA SERVICE
Ikiwa natabia unaweka oil ya km 3000 ila una tembelea mpaka km 3800-4000 basi ndugu jiandae tu kwenda kununua injin nyingine kama hutapata fundi alie kuwa makini maana siku ikianza kupandisha mashetani utaikimbia
Zingatia na mfumo wa upozaji.umo wa upozaji. Mengine ongezeni wenyeweView attachment 3052458
Hapo kwenye rangi ni pakuzingatia sana aisee ila kuna sehemu umetupeleka chaka. Oil watu wengi hawatumii oil na filter sahihi za gari. wengi tunafunga filters fake! Oil pia zinakuwa na specification zake. Engine ya ist ambayo ni 1nzFe inatumia oil ya 5W30, sasa wakuta mtu anaweka engine ya 15w40 monograde na anataka aende kilometre 4000! Oil sahihi ni 5W30 Multigrade fully synthetic API kuanzia SN+ na kuendelea.
Hii haijalishi kampuni: iwe Puma, Shell, Atlantic, total ama castrol, soma vema katika kopo lake ukiona hizo. specifications basi upo salama kabisa.

Angalizo: hakikisha wanunua kutoka kwa wakala au muuzaji wa kuaminika maana sasa hivi fake ni nyingi. kama ni kampuni ambayo wanavituo vyao vya mafuta kama vile Puma au total basi kanunue katika vituo vyao vya mafuta huko huko utakuwa salama zaidi.
 
Nadhani kinachoiua ni mentality ya Kitanzania.

IST inachukuliwa kama gari nyepesi mno. Kuanzia bei, spares na hata service, mafuta

Kuwa hata ikiharibika kuitengeneza haitakuchoma hela nyingi. Bei yake unaimudu.

IST zinaendeshwa na kila mtu. Nanuendeshaji wao wa hovyo. Si rahisi kumkuta mtu ambaye ndiyo ameanza kuendesha hivi karibuni anasukuma Range. Si rahisi kumkuta dereva wa hovyo anasukuma v8.

IST imekuwa ni gari ya mafunzo. Kila mtu kuidandia. Mtu hata akigonga sehemu hajali sana. Zitamtoka laki 3, kitu imenyooka. Gongesha zingine, million 5+.
 
mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA

Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi

1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT
Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin hizi zitakuvumilia kwa kipind kifupi baada ya hapo
Utashangaa gari ni IST ila ina mngurumo wa Toyota hilux ya diesel
2)BODY KUTEPETA
gari hii imeundwa kwa ajili yakubeba watu wa 4 tu na au inaweza kubeba kilo 200 tu
Sasa unapishana na IST imejaza washikaji wanaenda kula bata mpaka imeinama yani watu wamepakatana ndan na bado kwenye boot wameweka mizigo wakubeba pickup imebeba IST alafu inavyopigizwa kwenye mashimo baada ya muda unakuta body linaacha mwili yani IST ina sura ya Toyota port
Watu wakuingia kwenye Noah wanafosiwa waingie kwenye IST
3) GIA BOX KUFELI
hii nikutokana na kuweka hidrolic nyingi yani Kuover dose
Kupakia mzigo zaid
Unakuta Mara haibadili GIA
Mara imeunguza cultch
Mara imeuwa valve chesi

4) KUVUKA SERVICE
Ikiwa natabia unaweka oil ya km 3000 ila una tembelea mpaka km 3800-4000 basi ndugu jiandae tu kwenda kununua injin nyingine kama hutapata fundi alie kuwa makini maana siku ikianza kupandisha mashetani utaikimbia
Zingatia na mfumo wa upozaji.umo wa upozaji. Mengine ongezeni wenyeweView attachment 3052458
Mleta mada unataka kusema ni gari ya wenye njaaa njaaaa au?
 
Sasa kama Range moja inaundwa kwa miezi sita si wangekuwa na gari chache sana duniani? Pia gari pekee inayoundwa kwa mikono (handmade cars) ni Rolls Royce na ndio huchukua kipindi hicho katika uundwaji wake. Land Rove (parent company ya Range Rover) hutumia maroboti kama ist tu
Achana na huyo mwongo pale kibaya malori yanaundwa kwa nusu saa iwe range rover.aache uongo huyo
 
mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA

Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi

1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT
Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin hizi zitakuvumilia kwa kipind kifupi baada ya hapo
Utashangaa gari ni IST ila ina mngurumo wa Toyota hilux ya diesel
2)BODY KUTEPETA
gari hii imeundwa kwa ajili yakubeba watu wa 4 tu na au inaweza kubeba kilo 200 tu
Sasa unapishana na IST imejaza washikaji wanaenda kula bata mpaka imeinama yani watu wamepakatana ndan na bado kwenye boot wameweka mizigo wakubeba pickup imebeba IST alafu inavyopigizwa kwenye mashimo baada ya muda unakuta body linaacha mwili yani IST ina sura ya Toyota port
Watu wakuingia kwenye Noah wanafosiwa waingie kwenye IST
3) GIA BOX KUFELI
hii nikutokana na kuweka hidrolic nyingi yani Kuover dose
Kupakia mzigo zaid
Unakuta Mara haibadili GIA
Mara imeunguza cultch
Mara imeuwa valve chesi

4) KUVUKA SERVICE
Ikiwa natabia unaweka oil ya km 3000 ila una tembelea mpaka km 3800-4000 basi ndugu jiandae tu kwenda kununua injin nyingine kama hutapata fundi alie kuwa makini maana siku ikianza kupandisha mashetani utaikimbia
Zingatia na mfumo wa upozaji.umo wa upozaji. Mengine ongezeni wenyeweView attachment 3052458
Labda kwakuwa zinatumia jina la shule
 
Back
Top Bottom