Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

Nadhani kinachoiua ni mentality ya Kitanzania.

IST inachukuliwa kama gari nyepesi mno. Kuanzia bei, spares na hata service, mafuta

Kuwa hata ikiharibika kuitengeneza haitakuchoma hela nyingi. Bei yake unaimudu.

IST zinaendeshwa na kila mtu. Nanuendeshaji wao wa hovyo. Si rahisi kumkuta mtu ambaye ndiyo ameanza kuendesha hivi karibuni anasukuma Range. Si rahisi kumkuta dereva wa hovyo anasukuma v8.

IST imekuwa ni gari ya mafunzo. Kila mtu kuidandia. Mtu hata akigonga sehemu hajali sana. Zitamtoka laki 3, kitu imenyooka. Gongesha zingine, million 5+.
One thing about mentality ya kibongo, wanataka kuendesha vitu kwa gharama nyepesi sana, ila hawataki kuhangaika na maintenance. Ist ni gari nzuri lakini inapigwa ruti ndefu sana, halaf haziwi repeared kwa original parts, even oil ni za kuchakachua. Kwa nn gari isichoke?
 
Imachoka mapema kwa sababu ni ya zamani sana hiyo miaka ya 2004,5,6 na hii ni 2024 mkuu sema ninyi mwaka hamzingatii mpo busy na kuuliza Mileage ambazo wanazitengeneza gari ya 2006 iwe na 40,000 Mileage na wewe unaamini kweli..
 
One thing about mentality ya kibongo, wanataka kuendesha vitu kwa gharama nyepesi sana, ila hawataki kuhangaika na maintenance. Ist ni gari nzuri lakini inapigwa ruti ndefu sana, halaf haziwi repeared kwa original parts, even oil ni za kuchakachua. Kwa nn gari isichoke?
Tunaendesha uchakavu brother kwa sababu tumebanwa na kodi kubwa...Wazambia wanaendesha magari wao wanalipa kodi kutokana na GVM sio mwaka ya zamani au mpya nenda kaangalie vinu wanavyosukuma harafu vinapita hapa hapa Ubungo..
 
Toyota IST inatengenezwa kuundwa kiwandani kwa muda wa saa moja wakati Range Rover linachukua miezi Sita. Hapo utakuwa umepata jibu!
IST ni gari ukinunua na kuuza na ukitunza vizuri haipotezi thamani yake na rahisi kuiuza na kwa bei nzuri, Range yes gari kubwa lakini siku unataka kuiuza utapata bonge la hasara na haziuziki kirahisi. Kwa mtu mwenye matumizi ya kawaida na akitegemea siku kuuza na kununua nenda na IST usfiate mikumbo sijui Range, BMW utafanya maonyesho tu ila utajuta baadae.
 
Vijana wengi WA kike na wa kiume wamevigeuza kuwa Guest bubu, most of them vinakuaga na Tinted, ukikakuta Kwenye parking lot kananguruma ujue kuna Ka bachelor Kako na bank teller, wale WA uhamiaji, nurse au vile vidada vya mikopo na taasisi nyingine zisizo rasmi. Hio ni jioni, IST itafanyiwa hizo kashfa zote Hadi saa tatu usiku ndio kinaondoshwa, kwenye mazingira kama haya KWELI kisichoke?
 
IST ni gari ukinunua na kuuza na ukitunza vizuri haipotezi thamani yake na rahisi kuiuza na kwa bei nzuri, Range yes gari kubwa lakini siku unataka kuiuza utapata bonge la hasara na haziuziki kirahisi. Kwa mtu mwenye matumizi ya kawaida na akitegemea siku kuuza na kununua nenda na IST usfiate mikumbo sijui Range, BMW utafanya maonyesho tu ila utajuta baadae.
Range ipi brother au hiyo Bm sita kweli uzungumzie na ist au tumerogwa ist ni gari ya mizunguko tu mjini ili ikupunguzie gharama za mafuta kwa sisi wasaka nyoka ila Range na Bm za kisasa zitoe kwetu kwanza hakuna anaetaka kununua hizo gari atahitaji ushauri kwa wasaka nyoka labda kama unazungumzia uchakavu wa 2006 na 2007...
 
IST ni gari ukinunua na kuuza na ukitunza vizuri haipotezi thamani yake na rahisi kuiuza na kwa bei nzuri, Range yes gari kubwa lakini siku unataka kuiuza utapata bonge la hasara na haziuziki kirahisi. Kwa mtu mwenye matumizi ya kawaida na akitegemea siku kuuza na kununua nenda na IST usfiate mikumbo sijui Range, BMW utafanya maonyesho tu ila utajuta baadae.
Mkuu umeongea kweli kulingana na uwezo wako. Nimekuelewa sana.
 
Range ipi brother au hiyo Bm sita kweli uzungumzie na ist au tumerogwa ist ni gari ya mizunguko tu mjini ili ikupunguzie gharama za mafuta kwa sisi wasaka nyoka ila Range na Bm za kisasa zitoe kwetu kwanza hakuna anaetaka kununua hizo gari atahitaji ushauri kwa wasaka nyoka labda kama unazungumzia uchakavu wa 2006 na 2007...
Nadhani hujanielewa point yangu, Sijasema IST ni bora hapana itakuwa wazimu nimesema kwa mtu ambaye ananunua gari atumie akitegemea kuja kuuza na kununua tena IST inarudisha pesa, Range sijui BMW ni gari expensive na bora mara alfu ila thamani zake zinashuka sana kwenye kuuza. Ndio maana hizi ni gari za mtu mwenye pesa zake na hajali safari ya mbele kwenye kuuza anakuwa kama kala Bi G na katema.
 
Nadhani hujanielewa point yangu, Sijasema IST ni bora hapana itakuwa wazimu nimesema kwa mtu ambaye ananunua gari atumie akitegemea kuja kuuza na kununua tena IST inarudisha pesa, Range sijui BMW ni gari expensive na bora mara alfu ila thamani zake zinashuka sana kwenye kuuza. Ndio maana hizi ni gari za mtu mwenye pesa zake na hajali safari ya mbele kwenye kuuza anakuwa kama kala Bi G na katema.
Upo sahihi mtu wa Range hafikirii kununua chakavu kwa mtu ila anaejitafuta ndio atanunua ndio maana tunajichanganya hapa hata SA Benz used zipo bei chini sana kwa sababu mtu wa Benz anaenda kufata mpya na sio used ndio maana lazima uuze kwa mtu anaejitafuta..
 
Toyota IST inatengenezwa kuundwa kiwandani kwa muda wa saa moja wakati Range Rover linachukua miezi Sita. Hapo utakuwa umepata jibu!
Wala sio sababu, ma range mangapi tunakuta mtaani wamekufa?

Hapo issue n utunzaji tuu…

How many times inakuwa top selling car in tz? Ingekuwa sio Imara bac watu wasingezichangamkia hivyo..

Cz km sababu n unywaj wa mafuta kunavigari kibao vyenye cc ndogo kuzid ist
 
Nadhani hujanielewa point yangu, Sijasema IST ni bora hapana itakuwa wazimu nimesema kwa mtu ambaye ananunua gari atumie akitegemea kuja kuuza na kununua tena IST inarudisha pesa, Range sijui BMW ni gari expensive na bora mara alfu ila thamani zake zinashuka sana kwenye kuuza. Ndio maana hizi ni gari za mtu mwenye pesa zake na hajali safari ya mbele kwenye kuuza anakuwa kama kala Bi G na katema.
Huyo n mwehu tuu anaekurupuka, huwez fananisha ist na range…

Kwanza kampuni tofauti, car models tofauti, selling target ilikuwa tofauti pia, body, engine capacity, transmission, durability, etc ni tofauti na hata market value pia n tofauti..

Bado kwa nchi zetu Ist n gari bora sn, watu wanye hela za mawazo km huyo mwehu apo anaefananisha Ist n range asijaribu kuvuta hiyo range.. gari gani had side mirrors unaagiza nje?

Hatuna mafundi wakutosha, na waliopo hatuwez mudu gharama zao..

Mm Leo hii ukihitaji range rover ya 2010 kwenda juu kwa milion 20 nakuletea..

Je ilinunuliwa kwa price hiyo?
Ma bmw kibao yanauzwa had milion 6 je yaliagizwa kwa bei hiyo?

Why gari km Ist hata number B inauzwa chap Sana kuliko bmw number E hata km bei yake ni milion 9…

Europe cars kwa uchumi wetu ni cancer, hatuzimudu,
 
Back to your question..
Ist n subcompact car, imeundwa kwa ajiri y watu wenye familia ndogo, and trip town car, japo wajapan walijitaid sn kuiboresha baadhi ya vitu, kwanza cc zake ni 1300 na 1500.

Kwa body type y gari hizi engine zinakupa kila k2, power, speed, lakin pia balance y gari ipo poa sn km sio mtu wa mbio mbio zisizo na Maana.

Ist kwa miaka 5 mfululizo imekuwa top selling car in tz cz inazosifa nyingi sn ambazo subcompact car na gari nyingine ndogo za type yake hazina..

Ist n gari nzuri na ngumu sn, ila inaitaji mtu anaejitambua, hizi sio gari punda, wala kidebe…
Nishakutana na ist kibao number B na zimesimama balaah… ww unapata ujumbe gani?

Wenzetu ulaya wanazielewa sn na huko ndo ma suv yamejaa, ila watu wanapush ist had hii Leo Hii 2024

Kule zilikuwa introduced kwny markets as scion xA 2002 - 2006

See attachment below
 

Attachments

  • 16EE0E2A-01EC-45B8-AC9B-3A187E493F23.png
    16EE0E2A-01EC-45B8-AC9B-3A187E493F23.png
    225.9 KB · Views: 16
  • 6BA78E52-F0F0-4886-9136-3991B7C1A8D9.png
    6BA78E52-F0F0-4886-9136-3991B7C1A8D9.png
    187.6 KB · Views: 15
  • 5ED4D20A-C04F-4F48-86C8-2BD2A623A95D.png
    5ED4D20A-C04F-4F48-86C8-2BD2A623A95D.png
    277.3 KB · Views: 16
Kwa nini IST used inauzwa bei kubwa kuliko gari kama Mark X, Brevis, X-Trail, Voxy, nk?
Ist n gari mdogo wangu…
Fuel consumption and its subcompact body are so epic…
Durable and affordable, service yake ni ndogo sn compare na hayo majini ya juu…
Pia engine yake sio ndo kihivyo km wale akina jimmy’s na passo cjui vits..

Mpaka leo wazungu wanazipushi na kule zilikuwa introduced to the market km scion xA m..
 
Imachoka mapema kwa sababu ni ya zamani sana hiyo miaka ya 2004,5,6 na hii ni 2024 mkuu sema ninyi mwaka hamzingatii mpo busy na kuuliza Mileage ambazo wanazitengeneza gari ya 2006 iwe na 40,000 Mileage na wewe unaamini kweli..
Kwanini nisiamini? Nina gari nilinunua 2009 ilikuwa ya mwaka 2008 ikiwa na km 3,000 na mpaka leo ina Km’s 50,000 tu. Gari inategemea na matumizi yake
 
Kwanini nisiamini? Nina gari nilinunua 2009 ilikuwa ya mwaka 2008 ikiwa na km 3,000 na mpaka leo ina Km’s 50,000 tu. Gari inategemea na matumizi yake
Hauna matumizi bro wewe wa kutoka nyumbani na kazini sio sawa na wale nenda kwa kaburu hapo gari ya 2020 ina mileage zaidi ya laki mbili huku mafuta 3000 muda mwingi gari imepaki kama wahindi...
 
Hapo kwenye rangi ni pakuzingatia sana aisee ila kuna sehemu umetupeleka chaka. Oil watu wengi hawatumii oil na filter sahihi za gari. wengi tunafunga filters fake! Oil pia zinakuwa na specification zake. Engine ya ist ambayo ni 1nzFe inatumia oil ya 5W30, sasa wakuta mtu anaweka engine ya 15w40 monograde na anataka aende kilometre 4000! Oil sahihi ni 5W30 Multigrade fully synthetic API kuanzia SN+ na kuendelea.
Hii haijalishi kampuni: iwe Puma, Shell, Atlantic, total ama castrol, soma vema katika kopo lake ukiona hizo. specifications basi upo salama kabisa.

Angalizo: hakikisha wanunua kutoka kwa wakala au muuzaji wa kuaminika maana sasa hivi fake ni nyingi. kama ni kampuni ambayo wanavituo vyao vya mafuta kama vile Puma au total basi kanunue katika vituo vyao vya mafuta huko huko utakuwa salama zaidi.
Fanya masashihisho!! 15w 40 sio monograde., ni multigrade, utaona kuna 15 na 40. Monograde oil ni zile zenye figure moja tu ya viscosity, ie sae 40.
 
Back
Top Bottom